Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Nadhan utafit ulifanyika na matokeo yalitoka ujinga ni mtaji wa chama gani?
Ujinga ndo mtaji wa Chedema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga ndo mtaji wa Chedema.
Urais ikulu ķwenye kinyang'anyiro haki sawa kama hawataki waondoe uchaguziMagufuli ni Rais, lazima aoneshwe mara nyingi.
Huu uchaguzi hata Magufuli akishindwa lazima atangazwe mshindi na akishatangazwa mshindi biashara imeishaUrais ikulu ķwenye kinyang'anyiro haki sawa kama hawataki waondoe uchaguzi
Chadema.Nadhan utafit ulifanyika na matokeo yalitoka ujinga ni mtaji wa chama gani?
Hata wewe ukitaka uwe unaonyeshwa mara kwa mara kama yeye unaweza si unalipia tu matangazo😂TBC inaendeshwa kwa kodi za Watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?
Taja mara ngapi kila saa c watu watachoka wajameni.Magufuli ni Rais, lazima aoneshwe mara nyingi.
Channel ten haijanunuliwa,imeporwa. Kuna vitu ukiongea na hawa maburushi,watakwambia wanavyoporwa.Sasa najiuliza walivyonunua Chaneni Tena walikuwa na mpango gani kama TBC inaonyesha kampeni za mgombea wa Chama cha Mapinduzi?
Hata baba yako wanaweza kumuonyesha tatizo hana mvutoTBC inaendeshwa kwa kodi za Watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya Taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?
matusi ya namna gani? yatajeMwambieni jamaa yenu, aache matusiiii atamulikwa tuuuu . hata vyombo vingine vitamtupilia mbali asipojirekebishaaa.
Kuwatukana watumishi wa uma eti matakataka ya jalalani alipokuwa kulembeya mjiniimatusi ya namna gani? yataje
Kwa hiyo na baba ako hana mvuto ndio maana haonyeshwi au Magufuli ndio baba ako?Hata baba yako wanaweza kumuonyesha tatizo hana mvuto
Sasa ccm na media house wapi na wapi? Maana kwenye asset zake nyingine magumashi tu hamna lolote la maana.Channel ten haijanunuliwa,imeporwa. Kuna vitu ukiongea na hawa maburushi,watakwambia wanavyoporwa.
R. Aziz, Pirmohamed Mulla ni wahanga wa unyanganyi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app