muheza2007
JF-Expert Member
- Mar 19, 2010
- 483
- 771
Lakini kodi za wapinzani kuendesha na kuwalipa mishahara hao wafanyakazi wa TBC wanazitaka siyo??
Hao washenzi achana naoTBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?
Hata wanaozitumia wanalipa kodi piaKutumia zana zako ambazo hulipwa mishahara kwa kodi za watanzania wote ni ushetani ni matumizi haramu ya pesa za umma
ukimchunguza sana bata huwezi kumla ndgu yangu..mengne tuyaangalie tu na kuyaacha inatosha sio kila kitu tuhoji.....hao tbc wanajua wanachofanya ni kujitoa ufahamu tuTBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?
hata sielewagi maana ya kuwa television ya taifa sielewi kabisaHao washenzi achana nao
jengeni hoja msitukanane jamaniWewe ni utopolo. Kuidhinisha ndio nini?
Chadema mliwafukuza TBC, Sasa mnalalamika Nini tena??TBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?
Ulisikia nchi gani kipindi Cha kampeni haiwi na rais?kama yeye ni rais anafanya kampeni za nini?
Usikatae vipi, kwa kubweka π£οΈ hapa Jf, au..?Sasa haya ni matumizi mabaya ya kodi. Kama vipi wananchi tukatae huu ubaguzi.
Wenyewe watakwambia wanamtanguliza mungu!TBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?
Mkuu achana na huyo π mpumbavu, nimegundua wengine,wanapenda ubishi tu, kichwani hawana shule.Ulisikia nchi gani kipindi Cha kampeni haiwi na rais?
Chadema si mliwafukuza TBC?,pia kumbe mnaangalia na TBC[emoji23]TBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?
πππ Hawa jamaa wajinga Sana.Chadema si mliwafukuza TBC?,pia kumbe mnaangalia na TBC[emoji23]
Hapo ndio mwisho wako wa kufikiri naona!Magufuli ni rais, lazima aoneshwe mara nyingi.
wajinga wa kwanza ni wale waliokuleta duniani kwani walimleta mjinga.πππ Hawa jamaa wajinga Sana.
Tuwape muda watajirekebisha baada ya makubaliano na nec.TBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote. Kwanini Magufuli peke yake ndio anaonyeshwa kwenye hii TV ya taifa?
Yaani hata akiwa anasalimiana na watu barabarani TBC inamwonyesha. Mbona wagombea wa vyama vingine hawaonyeshwi kama anavyoonyeshwa huyu?