Hivi tofauti kati ya watu kama kina Lucas Mwashambwa na kina Erythrocytes/ faiza Foxy ipi ? Wana umuhimu gani katika Taifa ?

Hivi tofauti kati ya watu kama kina Lucas Mwashambwa na kina Erythrocytes/ faiza Foxy ipi ? Wana umuhimu gani katika Taifa ?

Soma magazeti mkuu acha maneno mengi. Magazeti hutupa habari za matukio na taarifa
1000286584.jpg
 
Lucas ni chawa wa maccm zile post zake zinaandaliwa na kitengo lumumba anapewa apost ni mjinga tu

Faiza ni mdini akili zake ni kutetea dini yake hata mtawala na utawala wake ukiwa mbovu atattetea ili mradi ni dini yake

Elythocyte ni mtu safi anatetea demokrasia utawala wa Sheria na katiba mpya tumuunge mkono
 
Ili Upate "LIKES" hapa JFni lazima unitukane mimi, hiyo inafahamika, maana kama hoja yako ni kutukuza watu, hiyo mimi simo, mimi naandika habari za Siasa zikiwemo za vyama vyote, japo mimi naunga mkono Chadema.

Nadhani umeingia jf juzi, hujui vizuri watu wa hapa JF, Lakini unachopaswa kujua ni hiki, nidhalilishe utakavyo ila "KILA UBAYA UTALIPWA"
 
Ili Upate "LIKES" hapa JFni lazima unitukane mimi, hiyo inafahamika, maana kama hoja yako ni kutukuza watu, hiyo mimi simo, mimi naandika habari za Siasa zikiwemo za vyama vyote, japo mimi naunga mkono Chadema.

Nadhani umeingia jf juzi, hujui vizuri watu wa hapa JF, Lakini unachopaswa kujua ni hiki, nidhalilishe utakavyo ila "KILA UBAYA UTALIPWA"
Sijapenda kabisa ulipo wekwa kundi moja na mzee wa kububujikwa na machozi.
 
Ili Upate "LIKES" hapa JFni lazima unitukane mimi, hiyo inafahamika, maana kama hoja yako ni kutukuza watu, hiyo mimi simo, mimi naandika habari za Siasa zikiwemo za vyama vyote, japo mimi naunga mkono Chadema.

Nadhani umeingia jf juzi, hujui vizuri watu wa hapa JF, Lakini unachopaswa kujua ni hiki, nidhalilishe utakavyo ila "KILA UBAYA UTALIPWA"
Mmmmmmmmmm.muombe samahani mleta mada Yuko sahihi
 
Ili Upate "LIKES" hapa JFni lazima unitukane mimi, hiyo inafahamika, maana kama hoja yako ni kutukuza watu, hiyo mimi simo, mimi naandika habari za Siasa zikiwemo za vyama vyote, japo mimi naunga mkono Chadema.

Nadhani umeingia jf juzi, hujui vizuri watu wa hapa JF, Lakini unachopaswa kujua ni hiki, nidhalilishe utakavyo ila "KILA UBAYA UTALIPWA"
Huwezi kumpaka mwenzako matope halafu wewe ukaendelea kua msafi!
 
Back
Top Bottom