Hivi tofauti kati ya watu kama kina Lucas Mwashambwa na kina Erythrocytes/ faiza Foxy ipi ? Wana umuhimu gani katika Taifa ?

Hivi tofauti kati ya watu kama kina Lucas Mwashambwa na kina Erythrocytes/ faiza Foxy ipi ? Wana umuhimu gani katika Taifa ?

Mmmmmmmmmm.muombe samahani mleta mada Yuko sahihi
Kwa kumbukumbu zangu mimi ndiye mtu anayetukanwa zaidi hapa jf, kwa sababu ya kuunga mkono Mabadiliko, lakini sijawahi kuogopa kutukanwa na Masikini, kwa vile najua shida yao iko wapi.

Unaposema mtu kama mimi ni chawa ni lazima ujiridhishe kwamba nalipwa, Unless otherwise umeamua tu kumtumia mtu huyo kujipatia umaarufu, sisi wengine tunatumia hela nyingi mno kupigania haki kwenye nchi hii, sasa tunapokejeliwa huwa inashangaza sana! hata hivyo hatuwezi kukatishwa tamaa na mamluki
 
Kwa kumbukumbu zangu mimi ndiye mtu anayetukanwa zaidi hapa jf, kwa sababu ya kuunga mkono Mabadiliko, lakini sijawahi kuogopa kutukanwa na Masikini, kwa vile najua shida yao iko wapi.

Unaposema mtu kama mimi ni chawa ni lazima ujiridhishe kwamba nalipwa, Unless otherwise umeamua tu kumtumia mtu huyo kujipatia umaarufu, sisi wengine tunatumia hela nyingi mno kupigania haki kwenye nchi hii, sasa tunapokejeliwa huwa inashangaza sana! hata hivyo hatuwezi kukatishwa tamaa na mamluki
Kuna chawa hawalipwi hata Mia
Uchawa sio lazima uwe unalipwa

Sio machawa wote ni malofa japo wengi asilimia kubwa huwa malofa

Faizafoxy mfano sio lofa lakini chawa mwimba kaswida za kusifu na kuabudu waliopita zamani na waliopo

Baadhi ya machawa wachache Sana sio malofa lakini asilimia kubwa ya machawa malofa wawinda fursa

Kwenye hilo kundi asiye lofa lakini chawa na asiyetafuta fursa ni Faizafoxy tu japo naye kuna maneno fursa sio lazima ziwe pesa kuna kulipwa Kwa Aina zingine yaweza kuwa sifa NK yeye hutaka malipo Kwa sifa za kusifiwa misikitini

Uchawa wake Faizafoxy ni WA kutafuta malipo ya sifa misikitini hatafuti fursa za teuzi wala pesa

Lakini yote malipo na hayaondoi definition ya MTU kuwa chawa whether analenga kulipwa fursa,pesa au sifa kwenye uchawa wake

Mleta mada hongera kwake kawa identify vizuri mno.kwenye maelfu ya wachangiaji

Yuko vizuri
 
Kwamba Lucas ana nini hadi hasifae kua kundi moja na wengine mpaka wewe usipende?
Tena Mwashambwa ndio kipimio kizuri Sana cha uchawa Jamii forums

Chawa yeyote lazima alinganishwe na Mwashambwa kama Yardstick

Kuwa huyu ni chawa kama Mwashambwa bila kujali chama chake cha siasa,kabila au dini nk
 
Kuna chawa hawalipwi hata Mia
Uchawa sio lazima uwe unalipwa

Sio machawa wote ni malofa japo wengi asilimia kubwa huwa malofa

Faizafoxy mfano sio lofa lakini chawa mwimba kaswida za kusifu na kuabudu waliopita zamani na waliopo

Baadhi ya machawa wachache Sana sio malofa lakini asilimia kubwa ya machawa malofa wawinda fursa

Kwenye hilo kundi asiye lofa lakini chawa na asiyetafuta fursa ni Faizafoxy tu japo naye kuna maneno fursa sio lazima ziwe pesa kuna kulipwa Kwa Aina zingine yaweza kuwa sifa NK yeye hutaka malipo Kwa sifa za kusifiwa misikitini

Uchawa wake Faizafoxy ni WA kutafuta malipo ya sifa misikitini hatafuti fursa za teuzi wala pesa

Lakini yote malipo na hayaondoi definition ya MTU kuwa chawa whether analenga kulipwa fursa,pesa au sifa kwenye uchawa wake

Mleta mada hongera kwake kawa identify vizuri mno.kwenye maelfu ya wachangiaji

Yuko vizuri
Maana ya Chawa ni nini?
 
Kwa kumbukumbu zangu mimi ndiye mtu anayetukanwa zaidi hapa jf, kwa sababu ya kuunga mkono Mabadiliko, lakini sijawahi kuogopa kutukanwa na Masikini, kwa vile najua shida yao iko wapi.

Unaposema mtu kama mimi ni chawa ni lazima ujiridhishe kwamba nalipwa, Unless otherwise umeamua tu kumtumia mtu huyo kujipatia umaarufu, sisi wengine tunatumia hela nyingi mno kupigania haki kwenye nchi hii, sasa tunapokejeliwa huwa inashangaza sana! hata hivyo hatuwezi kukatishwa tamaa na mamluki
Wewe pia ni chawa kama wengine maana upo kwenye praise and worship team ya Chadema
 
Kwa kumbukumbu zangu mimi ndiye mtu anayetukanwa zaidi hapa jf, kwa sababu ya kuunga mkono Mabadiliko, lakini sijawahi kuogopa kutukanwa na Masikini, kwa vile najua shida yao iko wapi.

Unaposema mtu kama mimi ni chawa ni lazima ujiridhishe kwamba nalipwa, Unless otherwise umeamua tu kumtumia mtu huyo kujipatia umaarufu, sisi wengine tunatumia hela nyingi mno kupigania haki kwenye nchi hii, sasa tunapokejeliwa huwa inashangaza sana! hata hivyo hatuwezi kukatishwa tamaa na mamluki
Waambie ili wakome.
 
Kwa kumbukumbu zangu mimi ndiye mtu anayetukanwa zaidi hapa jf, kwa sababu ya kuunga mkono Mabadiliko, lakini sijawahi kuogopa kutukanwa na Masikini, kwa vile najua shida yao iko wapi.

Unaposema mtu kama mimi ni chawa ni lazima ujiridhishe kwamba nalipwa, Unless otherwise umeamua tu kumtumia mtu huyo kujipatia umaarufu, sisi wengine tunatumia hela nyingi mno kupigania haki kwenye nchi hii, sasa tunapokejeliwa huwa inashangaza sana! hata hivyo hatuwezi kukatishwa tamaa na mamluki
Mbona umekasirika sana? 🐼
 
Mwashambwa licha ya kuwa chawa lakini ana kazi yake ya uganga wa kienyeji na ndio inayomlisha ukiachana na ile 7500 anayoichukua lumumba kila mwishoni mwa mwezi
Hao ukoo wao wote ni waganga na ndiyo waasisi wa uchunaji ngozi watu huko kanda ya nyasa,ni jina kubwa kwa mambo ya ndumba huko.
 
Hivi Lucas mwanaCCM na Erythrocytes na mtu mwenye mwenye mitazamo kama ya Faiza Foxy watu wasiobadilika zaidi ya kutukuza watu ni Ipi ?

Na wana umuhimu gani kwenye Taifa ?
lucas ana umuhimu aisee lakini erythrocyte huyo ni chawa wa mbowe hana manufaa yoyoye yeye ni kuramba miguu ya mbowe tu
 
Back
Top Bottom