Hivi tofauti kati ya watu kama kina Lucas Mwashambwa na kina Erythrocytes/ faiza Foxy ipi ? Wana umuhimu gani katika Taifa ?

Hivi tofauti kati ya watu kama kina Lucas Mwashambwa na kina Erythrocytes/ faiza Foxy ipi ? Wana umuhimu gani katika Taifa ?

Hivi Lucas mwanaCCM na Erythrocytes na mtu mwenye mwenye mitazamo kama ya Faiza Foxy watu wasiobadilika zaidi ya kutukuza watu ni Ipi ?

Na wana umuhimu gani kwenye Taifa ?
Kama wewe tu.
Unaukosoa ubwabwa ulioupika mwenyewe na kuula. Unadhani una faida kwa taifa hapo?
 
Ili Upate "LIKES" hapa JFni lazima unitukane mimi, hiyo inafahamika, maana kama hoja yako ni kutukuza watu, hiyo mimi simo, mimi naandika habari za Siasa zikiwemo za vyama vyote, japo mimi naunga mkono Chadema.

Nadhani umeingia jf juzi, hujui vizuri watu wa hapa JF, Lakini unachopaswa kujua ni hiki, nidhalilishe utakavyo ila "KILA UBAYA UTALIPWA"
Hapo kwenye kuunga mkono Chadema ndipo uzezeta wako ndipo ulipo, huwez kuwa wanahabari wa siasa the ukawa shabiki wa chama fulani.
Ww sema tuu, n wanahabari wa Chadema.
 
Amina
Ila ujumbe wa mleta mada uufanyie kazi. Haiingii akilini mtu kama wewe kuendelea kuwa chawa badala ya kutumia umaarufu na uwezo wako kuongoza wengine.
Ni muda na wewe wengine wewe chawa wako siyo miaka yote wewe ni chawa.
Unatafuta umaarufu jf?
 
20240611_155431.jpg
 
Hawana umuhimu wowote.kwa taifa wote hao ni waimbaji watunga nyimbo na kaswida za kusifu na kuabudu watu wawe waliopita zamani au waliopo sasa Hivi au vyote viwili

Wote waimba kwaya na kaswida tu

⚖️Justice for Asimwe & fellow victims#
 
Back
Top Bottom