Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤣🤣🤣Huwezi kumpaka mwenzako matope halafu wewe ukaendelea kua msafi!
⚖️Justice for Asimwe & fellow victims#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Huwezi kumpaka mwenzako matope halafu wewe ukaendelea kua msafi!
Kwa kumbukumbu zangu mimi ndiye mtu anayetukanwa zaidi hapa jf, kwa sababu ya kuunga mkono Mabadiliko, lakini sijawahi kuogopa kutukanwa na Masikini, kwa vile najua shida yao iko wapi.
Unaposema mtu kama mimi ni chawa ni lazima ujiridhishe kwamba nalipwa, Unless otherwise umeamua tu kumtumia mtu huyo kujipatia umaarufu, sisi wengine tunatumia hela nyingi mno kupigania haki kwenye nchi hii, sasa tunapokejeliwa huwa inashangaza sana! hata hivyo hatuwezi kukatishwa tamaa na mamluki
Kuna chawa hawalipwi hata Mia
Uchawa sio lazima uwe unalipwa
Sio machawa wote ni malofa japo wengi asilimia kubwa huwa malofa
Faizafoxy mfano sio lofa lakini chawa mwimba kaswida za kusifu na kuabudu waliopita zamani na waliopo
Baadhi ya machawa wachache Sana sio malofa lakini asilimia kubwa ya machawa malofa wawinda fursa
Kwenye hilo kundi asiye lofa lakini chawa na asiyetafuta fursa ni Faizafoxy tu japo naye kuna maneno fursa sio lazima ziwe pesa kuna kulipwa Kwa Aina zingine yaweza kuwa sifa NK yeye hutaka malipo Kwa sifa za kusifiwa misikitini
Uchawa wake Faizafoxy ni WA kutafuta malipo ya sifa misikitini hatafuti fursa za teuzi wala pesa
Lakini yote malipo na hayaondoi definition ya MTU kuwa chawa whether analenga kulipwa fursa,pesa au sifa kwenye uchawa wake
Mleta mada hongera kwake kawa identify vizuri mno.kwenye maelfu ya wachangiaji
Yuko vizuri
🎯👏👌👍🎯Tena Mwashambwa ndio kipimio kizuri Sana cha uchawa Jamii forums
Chawa yeyote lazima alinganishwe na Mwashambwa kama Yardstick
Kuwa huyu ni chawa kama Mwashambwa bila kujali chama chake cha siasa,kabila au dini nk
🎯👍👌🛡️Wewe pia ni chawa kama wengine maana upo kwenye praise and worship team ya Chadema
🤣🤣🤣Majirani zake kila siku wanabubujikwa na machozi na kusema afadhali ya jana kwa kukabwa na mwashambwa akisaidiana na walozi wenzake wasaidizi
Ila unautulivu na sio mtu wa matusi kwa hilo nakupongeza
Kila mtu chawa sehemu yake
Wewe ephenSubiri waje
Abee🤸Wewe ephen
Kuna uzi nimekusalimia ukanichunia😭Abee🤸
Unajua notifications ni nyingi kwenye kufungua naweza kuacha zingine bila kujuaKuna uzi nimekusalimia ukanichunia😭
Kuitwa chawa ni tusi kubwa. Ni kuharibiwa ÇVMbona umekasirika sana? 🐼
Mr Bob umepotelea wap ? Kitambo sana mkuu.Kuitwa chawa ni tusi kubwa. Ni kuharibiwa ÇV
Mr Bob umepotelea wap ? Kitambo sana mkuu.
Kijakazi kivp mkuu😁😁😁Mimi nipo. Kuna kijikazi kimeniweka Busy