EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Majirani zake kila siku wanabubujikwa na machozi na kusema afadhali ya jana kwa kukabwa na mwashambwa akisaidiana na walozi wenzake wasaidiziHao ukoo wao wote ni waganga na ndiyo waasisi wa uchunaji ngozi watu huko kanda ya nyasa,ni jina kubwa kwa mambo ya ndumba huko.
Kama wewe tu.Hivi Lucas mwanaCCM na Erythrocytes na mtu mwenye mwenye mitazamo kama ya Faiza Foxy watu wasiobadilika zaidi ya kutukuza watu ni Ipi ?
Na wana umuhimu gani kwenye Taifa ?
Bila shaka hujui maana ya Chawa ila umeamua tu kunichafua ili ufurahi, basi endelea tuone mwisho wakoChawa sio mpaka ulipe bali definition of chawa ni yule ambaye anasifia kupitiliza hata sehemu apastahili
Ila unautulivu na sio mtu wa matusi kwa hilo nakupongezaBila shaka hujui maana ya Chawa ila umeamua tu kunichafua ili ufurahi, basi endelea tuone mwisho wako
Uko SahihiKama wewe tu.
Unaukosoa ubwabwa ulioupika mwenyewe na kuula. Unadhani una faida kwa taifa hapo?
Ila ni chawa ?Ila unautulivu na sio mtu wa matusi kwa hilo nakupongeza
Nakutakia kila la heriWewe huungi mabadiriko yoyote, wewe ni chawa wa mwenyekiti uliyekubuhu. Mleta mada hajakosea kabisa na wala hajakutukana ila kasema ukweli. Acheni uchawa.
Hapo kwenye kuunga mkono Chadema ndipo uzezeta wako ndipo ulipo, huwez kuwa wanahabari wa siasa the ukawa shabiki wa chama fulani.Ili Upate "LIKES" hapa JFni lazima unitukane mimi, hiyo inafahamika, maana kama hoja yako ni kutukuza watu, hiyo mimi simo, mimi naandika habari za Siasa zikiwemo za vyama vyote, japo mimi naunga mkono Chadema.
Nadhani umeingia jf juzi, hujui vizuri watu wa hapa JF, Lakini unachopaswa kujua ni hiki, nidhalilishe utakavyo ila "KILA UBAYA UTALIPWA"
Unatafuta umaarufu jf?Amina
Ila ujumbe wa mleta mada uufanyie kazi. Haiingii akilini mtu kama wewe kuendelea kuwa chawa badala ya kutumia umaarufu na uwezo wako kuongoza wengine.
Ni muda na wewe wengine wewe chawa wako siyo miaka yote wewe ni chawa.
Wote wako sawa tu kila leo kumnanga Lucas wakati ukweli wote akili na mitizamo yao ni sawa tu, tofauti ni pande wanazotetea
Endelea tuKama umewaza hivyo ni sawa
Lakini huu ni muda wako kuacha uchawa.
Hawana umuhimu wowote.kwa taifa wote hao ni waimbaji watunga nyimbo na kaswida za kusifu na kuabudu watu wawe waliopita zamani au waliopo sasa Hivi au vyote viwili
Wote waimba kwaya na kaswida tu