Hivi tumepotea njia? Tunanunua ndege kwa Cash halafu tunakopa pesa kujenga vyoo vya shule na madarasa

Hivi tumepotea njia? Tunanunua ndege kwa Cash halafu tunakopa pesa kujenga vyoo vya shule na madarasa

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Hivi hili taifa halina wachumi au watalaamu wa mipango?

Hivi waliopo madarakani hawana huruma na wananchi?

Taifa bado maskini kabisa ambalo huduma za kijamii na kiuchumi bado zipo duni kabisa linakwenda kukopa Tril 1.3 na kujenga vyoo vya shule na madarasa huku likitumia Cash kununua ndege za matrilion ya shilingi!

Taifa letu limemkosea nini Mungu?

Kama ni ishu ya kufanya biashara ya ndege itakayolipa kwanini tusikope hizo ndege halafu tukatumia cash tuliyonayo kujenga vyoo na madarasa?
 
Kupanga ni kuchagua, Katiba Bora inatakiwa hatujui maruhani ya Mama kesho yatamwagiza lipi.
 
Hii nchi tumechezewa sana, nasema Kongo ndugu zangu
 
Tanzania ilipotea njia tangu ccm ilipoundwa. Pengine nia ilikuwa njema lakini imepindua pindua matarajio ya taifa letu!
Tusipoiondosha ccm madarakani tutazidi kutokomea kusikojulikana!
 
Hivi hili taifa halina wachumi au watalaamu wa mipango?

Hivi waliopo madarakani hawana huruma na wananchi...
Chama Cha Mazuzu.

Chama Cha Mazezeta.

Chama Cha Mafisadi.

Mkuu ananisisitiza tule kwa urefu wa kamba tusivimbiwe. Yaani tuibe kwelikweli.

Kila kinachofanywa na serikali ya ccm kinafanywa ili kuwanufaisha wakubwa na sio kwamba kinafanywa kwa maslahi mapana ya taifa
 
Pesa za Ndege alikopa mwendazakeakasema tumenunua cash kwa kodi zetu, sasa kodi zenyewe jiulize zilikwenda wapi yani hawa Wasukuma wa Chato wanapenda pesa kuliko Wachaga, bora ya Mchaga anayeipenda pesa hadharani na akiipata mnakula wote kuliko yule mwehu aliyejifanya yeye si mpenda pesa kumbe ni roho mbaya na wivu na anaipenda pesa kuliko Mchagga
 
Hivi hili taifa halina wachumi au watalaamu wa mipango?

Hivi waliopo madarakani hawana huruma na wananchi?

Taifa bado maskini kabisa ambalo huduma za kijamii na kiuchumi bado zipo duni kabisa linakwenda kukopa Tril 1.3 na kujenga vyoo vya shule na madarasa huku likitumia Cash kununua ndege za matrilion ya shilingi!

Taifa letu limemkosea nini Mungu?

Kama ni ishu ya kufanya biashara ya ndege itakayolipa kwa nini tusikope hizo ndege alafu tukatumia cash tuliyonayo kujenga vyoo na madarasa?
Hasara ya nchi kutokuwa na Tume ya Mipango ambayo iliuliwa na mpango ambaye alipandishwa cheo na kuwa Makamu wa rais
 
Hasara ya nchi kutokuwa na Tume ya Mipango ambayo iliuliwa na mpango ambaye alipandishwa cheo na kuwa Makamu wa rais
HAINA tofauti na reshuffles Tu zingine, Waziri RC DC sijui mkurugenzi anavurunda hapa, anahamishiwa huku, yaani tuna recycle mpaka kichefuchefu, si waweke watu wapya! Nchii hii ni yetu sote, tuifaidi mema wote!
 
Hivi hili taifa halina wachumi au watalaamu wa mipango?

Hivi waliopo madarakani hawana huruma na wananchi?

Taifa bado maskini kabisa ambalo huduma za kijamii na kiuchumi bado zipo duni kabisa linakwenda kukopa Tril 1.3 na kujenga vyoo vya shule na madarasa huku likitumia Cash kununua ndege za matrilion ya shilingi!

Taifa letu limemkosea nini

Hivi hili taifa halina wachumi au watalaamu wa mipango?

Hivi waliopo madarakani hawana huruma na wananchi?

Taifa bado maskini kabisa ambalo huduma za kijamii na kiuchumi bado zipo duni kabisa linakwenda kukopa Tril 1.3 na kujenga vyoo vya shule na madarasa huku likitumia Cash kununua ndege za matrilion ya shilingi!

Taifa letu limemkosea nini Mungu?

Kama ni ishu ya kufanya biashara ya ndege itakayolipa kwa nini tusikope hizo ndege alafu tukatumia cash tuliyonayo kujenga vyoo na madarasa?
Population growth ni kubwa 4% haiendani na pato la taifa.

Kibaya zaidi hakuna ajira,viwanda vya Mwalimu Nyerere vilivyokuwa vina ajiri mamilioni havipo tena.
Watoto wanao anza darasa la kwanza shule tu za serikali ni zaidi ya milioni mmoja kwa mwaka.
Magufuli aliposema shule za serikali zitoe elimu bure kutoka darasa la kwanza hadi form four aliibebesha serikali mzigo mkubwa hadi pesa ya kujenga vyoo !

Unakusanya wastani wa Trillion 1 kwa mwezi approximately Trillion 12 kwa mwaka lakini bajeti yako ni Trillion 30 lazima utaenda kukopa tu.

Kuna miradi kama kujenga Capital City ya Dodoma kwa kutumia fedha ya walipo kodi hiyo hakikubariki.Au mazagazaga ya Chato nayo hayaendani na mahitaji yetu.
 
..sehemu ya mkopo wa covid 19 tuliopewa majuzi imetumika kulipa baadhi ya madeni ya serikali huko nje.
 
Back
Top Bottom