Hivi tumepotea njia? Tunanunua ndege kwa Cash halafu tunakopa pesa kujenga vyoo vya shule na madarasa

Hivi tumepotea njia? Tunanunua ndege kwa Cash halafu tunakopa pesa kujenga vyoo vya shule na madarasa

Hivi hili taifa halina wachumi au watalaamu wa mipango?

Hivi waliopo madarakani hawana huruma na wananchi?

Taifa bado maskini kabisa ambalo huduma za kijamii na kiuchumi bado zipo duni kabisa linakwenda kukopa Tril 1.3 na kujenga vyoo vya shule na madarasa huku likitumia Cash kununua ndege za matrilion ya shilingi!

Taifa letu limemkosea nini Mungu?

Kama ni ishu ya kufanya biashara ya ndege itakayolipa kwanini tusikope hizo ndege halafu tukatumia cash tuliyonayo kujenga vyoo na madarasa?
Aliyenunua ndege cash ni Nani??? Tusimtwike mama wa watu lawama asizostahili. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe.

Yule mshamba wa ndege ndio alikuwa ananunua tu bila kuwa hata na plan yeyote, shirika limejikuta Lina mandege hayana vibali vya kuruka kwenda nchi kadhaa.

Zinazurura tu Leo unakuta moja kaichukua waziri Mkuu, nyingine Makamu wa Rais, nyingine bi mkubwa anazurura nayo kupiga shanting ya Dar to Dodoma, hizo nyingine zinazurura tu hakuna kitu.

Mwaka juzi walireport loss ya revenue na mwaka jana loss tupu imebidi wasamehewe madeni wanayodaiwa na serikali ili kucover hizo loss zao Ila hakuna kitu.

Wangepakia watoto wanapoenda mashuleni na vyuo bure.
 
Chama Cha Mazuzu.

Chama Cha Mazezeta.

Chama Cha Mafisadi.

Mkuu ananisisitiza tule kwa urefu wa kamba tusivimbiwe. Yaani tuibe kwelikweli.

Kila kinachofanywa na serikali ya ccm kinafanywa ili kuwanufaisha wakubwa na sio kwamba kinafanywa kwa maslahi mapana ya taifa
Hatari sana aisee. Hii kauli inatafakarisha mnoo yaani. Mkuu wa nchi kabisa anawaambia wasaidizi wake wale kwa urefu wa kamba yao na wasivimbiwe? Hakika inasikitisha mnoooo
 
Chama Cha Mazuzu.

Chama Cha Mazezeta.

Chama Cha Mafisadi.

Mkuu ananisisitiza tule kwa urefu wa kamba tusivimbiwe. Yaani tuibe kwelikweli.

Kila kinachofanywa na serikali ya ccm kinafanywa ili kuwanufaisha wakubwa na sio kwamba kinafanywa kwa maslahi mapana ya taifa
I see.
 
Tokea tujenge Chato hair-port, tulikuwa, tulishapotea njia! Tukisema airport ni uongo, inakoelekea hakuna hata ndege ya dharura itatua pale!
Na ujenzi ule WA kumpigia simu Mfugale, barabarani, na kusema hii barabara ianze kujengwa!
Huo ujenzi ni safi sana!

Siyo huu wa kuleni ila msivimbiwe!
 
Pesa za Ndege alikopa mwendazakeakasema tumenunua cash kwa kodi zetu, sasa kodi zenyewe jiulize zilikwenda wapi yani hawa Wasukuma wa Chato wanapenda pesa kuliko Wachaga, bora ya Mchaga anayeipenda pesa hadharani na akiipata mnakula wote kuliko yule mwehu aliyejifanya yeye si mpenda pesa kumbe ni roho mbaya na wivu na anaipenda pesa kuliko Mchagga
Kwa hiyo hata huyu wa sasa nae ni msukuma kumbe?
 
Aliyenunua ndege cash ni Nani??? Tusimtwike mama wa watu lawama asizostahili. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe.

Yule mshamba wa ndege ndio alikuwa ananunua tu bila kuwa hata na plan yeyote, shirika limejikuta Lina mandege hayana vibali vya kuruka kwenda nchi kadhaa.

Zinazurura tu Leo unakuta moja kaichukua waziri Mkuu, nyingine Makamu wa Rais, nyingine bi mkubwa anazurura nayo kupiga shanting ya Dar to Dodoma, hizo nyingine zinazurura tu hakuna kitu.

Mwaka juzi walireport loss ya revenue na mwaka jana loss tupu imebidi wasamehewe madeni wanayodaiwa na serikali ili kucover hizo loss zao Ila hakuna kitu.

Wangepakia watoto wanapoenda mashuleni na vyuo bure.
Kwa hiyo huyu mamaako hujasikia hata siku moja kama nae kalipia ndege?
 
Kwa hiyo huyu mamaako hujasikia hata siku moja kama nae kalipia ndege?
Hakuna ndege alizolipia acha ubwege, hayo mandege yote yalilipiwa na msukuma wenu. Hizi zilikuwa wanatengeneza bado Ila zilishalipiwa kila shilingi usifanye hatujui mzee.
 
Back
Top Bottom