Ungejibu kwanza ndio nikwambieWewe umetumia lipi? Ebu nipe maujanja unayotumiaga!
Jiulize pia bana yule akidondoka itakuwjePoleni wanasiasa wa pande zote.
Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.
Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.
Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.
Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?
Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
AshashindwaLissu sio wa kusema hewala bwana. Na magu akitumia silaha za moto ICC na mabeberu wanakuja.
Hatoshinda pamoja na mbwembwe zote. Wa TZ wanajielewa sana.Poleni wanasiasa wa pande zote.
Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.
Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.
Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.
Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?
Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Poleni wanasiasa wa pande zote.
Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.
Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.
Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.
Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?
Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
[/QUO
Na akishinda mtafanyaje?
Pili unasema umeacha siasa 2015 na hii ni 2020 unazungumzia siasa,umeacha vipi wakati bado unaiongelea?
Poleni wanasiasa wa pande zote.
Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.
Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.
Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.
Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?
Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Nawe jiulize, Meko akishindwa uchaguzi mtafanya nini?
Joto la Lisu naona mtandaoni tu huku napokaa upinzani tunaona bendera za Kina Lipumba na Act kwa sanaNi wazi kwa joto lililopo huku mtaani Lissu ATASHINDA kwa over 60% isipokuwa anaweza KUTOTANGAZWA.
kifuatacho?
hata mimi sijui.... so, naungana na wewe kuuliza swali kama lako!
mkoani kwangu kote kumejaa mabango ya picha za Lissu tu kila kona!Joto la Lisu naona mtandaoni tu huku napokaa upinzani tunaona bendera za Kina Lipumba na Act kwa sana
Basi kila mtu ashinde mechi zakemkoani kwangu kote kumejaa mabango ya picha za Lissu tu kila kona!
poa poaBasi kila mtu ashinde mechi zake
Mabeberu wanaweza wakamuua maana kala hela zao na aliwahakikishia ushindi na hali inavyoonekana atashindwa, so they will kill him ili watafute kiki ya kuleta mapigano, ingawa hiyo move haitofanikiwa maana kila mtanzania anajua kabisa katumwa with a mission so his death will justify wazo la mabeberu na hakuna mtanzania atakaye sympathise na msaliti, Lisu will die in the hands of mabeberu na watanzania tutamsahau na kumzika as if kafa inzi.Poleni wanasiasa wa pande zote.
Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.
Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.
Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.
Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?
Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Hamtaki kuambiwa ukwel aya nenden kapigen kura uchaguz ukiisha muanze kulalama tume imetuibia kuraKwa akili hizi mtatawaliwa na ccm hadi mkome
Hii nakataa kabisa, au mimi ndio una mission hizo?Mabeberu wanaweza wakamuua maana kala hela zao na aliwahakikishia ushindi na hali inavyoonekana atashindwa, so they will kill him ili watafute kiki ya kuleta mapigano, ingawa hiyo move haitofanikiwa maana kila mtanzania anajua kabisa katumwa with a mission so his death will justify wazo la mabeberu na hakuna mtanzania atakaye sympathise na msaliti, Lisu will die in the hands of mabeberu na watanzania tutamsahau na kumzika as if kafa inzi.
Pole sana,umezungumza kwa hisia kali sana ila kumbuka Lowasa anaijua CCM ndani kabisa hadi kwenye maini, alikua na ushawishi mkubwa sana ndani ya ccm na nje ya CCM alikusanya umati sana lakini aliishia wap?
Kipindi cha Lowasa ndio ilikua nafasi ya kuitoa ccm kwa sababu kula raia alikua ameichoka ccm kiasi kwamba hata ungeweka malaika pale ccm agombee watu wangemkataa tu.
Lisu yeye anaijua? Nachoshukuru kuwa unajua kabisa unapigana lakini hushindi hapo tuko pamoja.