lowasa mwenye uzoefu wa ccm miaka karibia 50 amenawa mikono na yeye alikua ndan ya ccm , uyo mbuzi anaepungia miti ndo unasema amechangamsha uchaguzi? mbna mshindi anajulikana mpaka 2100
Weka alama huu uzi, nakwambia angalia figisu tu hapo jana HaiHakuna cha kuijua au kutoijua CCM. Wala sijaandika kwa hisia zozote. Nimekupa fact tu. Kila mtu anajua Magufuli atatangazwa mshindi. Haina mjadala. 2015 Lowassa hata kwa kutoongea sana alipata kura nyingi kutokana na raia wengi kuichoka CCM kama ulivyosema. Hakupewa ushindi.
2020 raia ndio wameichoka CCM vibaya sana. KIBAYA ZAIDI, CHADEMA imemteua “kichaa” Lissu ambaye atatoa dozi ya maumivu kwa mgombea wa CCM kiasi kwamba hata ushindi ukitangazwa utakuwa wa kuugulia. Hilo halikwepeki safari hii labda ipatikane namna ya kumuengua TL kwenye kugombea.
Siyo akishindwa, Lissu keshashindwa kabla ya siku ya uchaguzi, wengine hata pressure hatuna maana tunajua hata 20% ya kura hatapata.
Wewe kilaza unastahili maombezi, shwainHamtaki kuambiwa ukwel aya nenden kapigen kura uchaguz ukiisha muanze kulalama tume imetuibia kura
Nguvu ya UMMA itamtoa Magu Ikulu kama namna ambavyo Laurent Bagbo alivyotolewa.Poleni wanasiasa wa pande zote.
Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.
Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.
Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.
Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?
Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
mkuu mpaka wanaingia kwenye mapambano wanayatambua na tiyari wana mwarobain wa hayo , hapa cha msingi wapinzani washindwe kwa haki sawa , ila mkifanya mazoea ya kila siku kwamba ushindi ni lazima , mtakipata cha mtema kuni , iccc wataenda wengi tu kwa sasa moto wa kimbunga 2020 ,utawapitia wengi tu wasipokua makiniPoleni wanasiasa wa pande zote.
Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana 🔥 sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.
Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.
Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.
Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?
Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.
Ila Lisu kuingiza watu barabarani na vikindi vya kuvunja Amani ni Sawa?Lissu sio wa kusema hewala bwana. Na magu akitumia silaha za moto ICC na mabeberu wanakuja.
Ni wazi kwa joto lililopo huku mtaani Lissu ATASHINDA kwa over 60% isipokuwa anaweza KUTOTANGAZWA.
kifuatacho?
hata mimi sijui.... so, naungana na wewe kuuliza swali kama lako!
Lissu atapata kura za kumpa ushindi hiloka halina mashaka ila hatatangazwa, tofauti na Lowasa yeye Hatakubali. Kitakachotokea kinategemea support atakayopata kutoka kwa wanachadema/wananchi.
Magufuli hawezi kushindwa kabisa hii ni ndoto ya mchanaKwanza lazima ukubali kwa hata akishinda au akishindwa iwe kwa halali au dhulma,basi Lissu hatakuwa wa kwanza kufanya hivyo.Japo kila anaeenda shambani matarajio yake ni kuvuna.hapo hujafikiria mbinu bora au hafifu za kilimo.kila jambo,kitu kina upeo wake.MBONA HUSEMI MAGUFULI AKISHINDWA ITAKUWAJE kwa sababu hapo ndipo penye shida.Magufili anaemiliki vyombo vyote vya dola.
Unahisi atakuwa wa kwanza.kuna waliokaa madarakani miaka 30 na wakati uliongea wakaondoka.kuna mambo ambayo machoni pa mtu yanaonekana km magumu san kutokea lakini katika hali ya kushangaza na isiyotegemewa hutokea.Magufuli hawezi kushindwa kabisa hii ni ndoto ya mchana
Magufuli alisema urais mgumu na amechoka mboa kagombea tena bad enough kakataza wenzake wasichukue form?Poleni wanasiasa wa pande zote.
Nimekaa naangalia matukio ya kisiasa yanayoendelea nchini kwanzia upinzani hadi chama tawala. Upande wa CCM hawana [emoji91] sana sababu wanajua ushindi ni uhakika na lazima.
Upande wa upinzani wamejitoa ufahamu kabisa wamesahau mbinu CCM wanazotumia kushinda wamesahau kuwa bado tuko na tume ileile ya miaka yote hasa ya 2015. Ww mpizani unashindia wapi wakati matokeo hayatangazwi hata na radio za nje tena?.
Kwanini msijiandae kisaikolojia kama mkishindwa ni sawa tu? Nasikitika sana mtu kupoteza muda kwenye box la kura wakati mshindi anajualikana.
Haya tuseme Lissu kashashindwa wewe mpiga kura na mnazi wa upinzani utafanya nini? Mtanzania action ya kwanza ni kukimbia kwenye kicharazio cha simu yake na kuanza kulalamika mitandaoni basi,hakuna zaidi ya hapo. Anaejua mbinu ingine aitaje?
Mimi niliacha siasa toka 2015 toka Edo alivyoshindwa akawauza watu.