Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watutsi huwa wakoje?Anao kama wanne hivi, wengine kama Watutsi yaani.
Hapo imetumika mentality ya Mchawi Mpe Mwanao Akulelee. Mana angetumia walinzi tofauti na we Serikali wangeweza mdhuru wakasema walinzi wake hawana sifa. Kwa sasa chochote kitakachotokea, watakao banwa no Serikali.yaani waliotaka kumuua wamlinde?
hii ni mentality kutoka sayari gani hii?
hii ni kwa serekali yenye akili inayo think straight, siyo hii twisted!Hapo imetumika mentality ya Mchawi Mpe Mwanao Akulelee. Mana angetumia walinzi tofauti na we Serikali wangeweza mdhuru wakasema walinzi wake hawana sifa. Kwa sasa chochote kitakachotokea, watakao banwa no Serikali.
Ndio huyo huyo ndie atakaetumiwa kumuwekea SUMU kwenye majiOh ok. Sikujua hilo.
Basi huenda huyo jamaa ni wa kutoka serikalini.
Alitaka kuonesha ukuu wake, Mungu ukaa katika sifa, kama alivyokua na uwezo wa kuzuia majanga mengi yasitokee lakini mengine huyaacha ili wewe na mimi wenye mapungufu tupate kusadiki ya kuwa yeye ndiye.....Alfa na OmegaKwa nini huyo mungu hakuzizuia hizo risasi 16 kuliko kumwacha atandikwe nazo?
Ndio JPM gari 30 za walinzi plus helicopter ,makirikiri bado unaamini analindwa na Mungu?au ndo ubongo mdogo tunafikiria kupitia masaburiWalinzi wa serikali toka lini wakatembea na majambia? Ila ulinzi wa kweli huutoa Mungu maana imeandikwa amelaaniwa yule amtegemeaye binadamu mwenzake kama kinga.
Haya mengine huwa ni protocol za kidunia tuu maana pia tuliambiwa tutii mamlaka zilizowekwa hapa Duniani ila ulinzi wa kweli na uhakika ni wa kupiga goti na kufanya maombi.
October 28th tujitokeze kwa wingi tukampe kura za ndio JPM maana ni Kiongozi aliyetukumbusha kumlilia Mungu tulipokuwa katika nyakati ngumu za Covid 19.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
DuhNdio huyo huyo ndie atakaetumiwa kumuwekea SUMU kwenye maji
Usalama wa taifa katika nchi ya Tanzania wote wanatumiwa na CCM..
TISS ni department ya CCM,..
Mbona unaandika kama vile umeona mi nimemsema vibaya Lissu?Uchaguzi ujao gombea utapata jibu, wagombea wote umemuona Lissu tu.
Gilesi afande?Nini we GiLeSi? [emoji1787]
Ili ahamishie na Bahari kabisa CHATOHuyo hapo.
October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA View attachment 1601635
Analindwa na Mungu haswaa hayo mengine ni protocol za kidunia alishaambiwa atii mamlaka zilizowekwa Duniani ila Mungu na sala za wananchi wazalendo ndio Silaha zake.Ndio JPM gari 30 za walinzi plus helicopter ,makirikiri bado unaamini analindwa na Mungu?au ndo ubongo mdogo tunafikiria kupitia masaburi
YesMsingeweza kukombolewa bila yeye kusulubiwa?
Wapo 4, siyo huyo mmoja tu unyemuona. Na Lissu anakaa nao sambamba na wale wa kwake wanaolipwa na Chama.Oh ok. Sikujua hilo.
Basi huenda huyo jamaa ni wa kutoka serikalini...
Huyo akili zake, mungu tu anazijua! Huwa hamnazoNini we GiLeSi? 🤣
Umesema tangu mwanzo umekuwa ukifuatilia!Mbona unaandika kama vile umeona mi nimemsema vibaya Lissu?
Mi nimeuliza tu.
Na ndiyo, Lissu ndo mgombea mpinzani mkuu wa Rais Magufuli.
Sikuona haja ya kuuliza kuhusu Membe wala Rungwe..
Huh? Umelewa wewe?Umesema tangu mwanzo umekuwa ukifuatilia!