Sawa boss ila pitia hapa uone upendo wa watanzania kwa JPMWalinzi wa serikali toka lini wakatembea na majambia? Ila ulinzi wa kweli huutoa Mungu maana imeandikwa amelaaniwa yule amtegemeaye binadamu mwenzake kama kinga.
Haya mengine huwa ni protocol za kidunia tuu maana pia tuliambiwa tutii mamlaka zilizowekwa hapa Duniani ila ulinzi wa kweli na uhakika ni wa kupiga goti na kufanya maombi.
October 28th tujitokeze kwa wingi tukampe kura za ndio JPM maana ni Kiongozi aliyetukumbusha kumlilia Mungu tulipokuwa katika nyakati ngumu za Covid 19.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Serikali hii ikikupatia mlinzi kutoka kwao basi hapo unakuwa umejimaliza mwenyewe kwasabb huyo mlinzi atakuwa ni mpelelezi na mambo yako yote unayopanga atayapeleka upande wa pili.Oh ok. Sikujua hilo.
Basi huenda huyo jamaa ni wa kutoka serikalini...
Usalama wa taarifa?Kuna mlinzi mmoja namjua kapewa na serikali, nadhani ni usalama wa taarifa au polis ila sio huyo wa kwenye picha
Wapiga kura wapo 29M sasa umeniattachia watu wanne kweli...nyie subirieni CCM ndio magwiji wa siasa za Tanzania asubuhi mapema October 28th JPM anajibebea kura za ndio.Sawa boss ila pitia hapa uone upendo wa watanzania kwa JPMView attachment 1601700View attachment 1601701View attachment 1601702View attachment 1601703View attachment 1601704View attachment 1601705
Wapiga kura wapo 29M sasa umeniattachia watu wanne kweli...nyie subirieni CCM ndio magwiji wa siasa za Tanzania asubuhi mapema October 28th JPM anajibebea kura za ndio.
Tarehe 29 October aliyechukua nafasi ya pili atakuwa kwenye pipa safari ya Brussels.
Tusisahau October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Yupoje uyo?Kuna mlinzi mmoja namjua kapewa na serikali, nadhani ni usalama wa taarifa au polis ila sio huyo wa kwenye picha
Wacha ujinga wewe! Kuna mlinzi kutoka serikalini hapo, ni yule dogo anapiga miwani. Huyo aliyechomeka ki pen ni mlinzi binafsi kutoka CHADEMA! Namfahamu tangu siku nyingi! Ila yule jamaa anayebeba mkuki mgongoni huyo sijamwelewa kabisa anamaanisha nini?Hao ni walinzi binafsi wa Lissu na wametokea nje ya mipaka
Wanatumia vigezo gani?Kuna walinzi wa serikali ila nahisi huyo mwenye kaunda ni wengine wapo 4 wanamlinda kutoka serikali.
Kila mgombea hupewa walinzi/mlinzi.
Mfano Lisu na Magufuli wanao walinzi wengi zaidi kulingana na ukubwa wa CHAMA ,na possibility ya kushika dola.
Kwenye suala la uongozi kitengo huwa hakina siasa.
Au ni wewe?Mmoja kapewa na serikali mwingine toka kampuni binafsi ya Ulinzi.
Hapana kwenye suala la ulinzi hakunaga itikadi.sababu kubwa n kwamba kitengo cha ulinzi kinaamini kila mgombea ana possibility kuwa Rais...hakuna ubaguzMi mwenyewe nitawashangaa Chadema wakikubali ulinzi wa TISS.
Nchi hii unaposema usalama wa Taifa ni sawa na kusema Usalama wa CCM.
Sasa ccm itamlinda lisu kweli!!?
Sizani kwakweli mkubwa wangu kwani TISS imegawanyika katika vitengo vingapi?Hapana kwenye suala la ulinzi hakunaga itikadi.sababu kubwa n kwamba kitengo cha ulinzi kinaamini kila mgombea ana possibility kuwa Rais...hakuna ubaguz
Ukiacha kitengo cha propaganda cha TISS ,kigezo kinachotuma ni kuwapa ulinzi wagombea kwanza ni kuimarisha ulinz kwa wagombea wasije kudhurika na watesi wao ,pili political part substitute nani (mbadala wa chama kilichopo madarakani).kingine n kwamba mgombea yoyote wa Urais n Rais mtarajiwa.Wanatumia vigezo gani?
We umejuaje sula bovu kama kalio la nyaniMmoja kapewa na serikali mwingine toka kampuni binafsi ya Ulinzi.
Kuna kitengo cha propaganda na spinningSizani kwakweli mkubwa wangu kwani TISS imegawanyika katika vitengo vingapi?
TISS imegawanyika idara 4.Sizani kwakweli mkubwa wangu kwani TISS imegawanyika katika vitengo vingapi?
Ni sheria kaka sio matakwa ya mtu binafsJiwe huyu huyu anayemtakia mabaya lissu ndio ampe ulinzi hili ni ajabu la 8 la dunia.