Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

Yes ili kuweka good terms, na ndio maana wakatoa Dola milioni 300 na mkataba ulisainiwa upya ili kuinufaisha TZ kitu ambacho hakijawahi kufanyika tokea TZ imeanza kujihusisha na masuala ya madini
Mkataba upi unaoweza kulinganisha na $190 Billion?!

Hivi una habari hata Capital Gains Tax hawakulipa wakati sheria inasema ukiuza shares unatakiwa kulipa capital gain tax?

Na suala la mkataba kusainiwa upya, thanks to Sheria ya Madini ya mwaka 2010, ambayo ilianza kutumika 2012 ambayo inasema mikataba inatatakiwa kuangaliwa upya kila baada ya miaka 5.

Mining Law 12.png


Na hata suala la sisi kumilikishwa shares za "Acacia" ni matokeo ya hiyo Sheria ambayo ilianza kutumika 2012!
Mining Law Government Ownership.png


Kwahiyo SIO KWELI kwamba ni amsha amsha za JPM ndizo zilileta hizo mambo, bali aliingia madarakani wakati keshatenegenezewa sheria ya kufanya alichofanya! Labda apewe credit ya kupata 16% kama unaamini rais mwingine angewezesha kupatikana chini ya 16% lakini suala la kumilikishwa, lipo kisheria, na SHERIA HIYO HAKUINZISHA YEYE!!

Hapo kabla hilo halikufanyika kwa sababu, kama nilivyosema, hiyo sheria imeanza kutumia 2012, na review of dev agreement inatakiwa kufanyika after every 5 years.
 
Mkuu, ile hela ilikokotolewa kuanzia wameanza uchimbaji mpaka leo tokea awamu ya tatu mpaka sasa, na ilionesha ni kiasi gani wamekwepa kwa muda wote huo na je lilikiwa kosa la nani kurihusu upigajiwa dizaini hiyo???
Upo sahihi... tawala za awamu zilizopita ambazo JPM hakuwa sehemu ya tawala hizo!!
 
kmbwembwe chukua toka kwangu. Ripoti ya Mruma iliandikwa kitaalamu ila ilipofika kwake akaichakachua isome Kilo 7 badala ya gramu 700.

Kama angekuwa haja hakachua basi tungepata Ile USD 190 Billion
Mmh ukoloni wa kisasa uujui wewe yani utawaliwe alafu umdai mtawala wako ata kama ni hailki yako upewi
 
Stuxnet kama Dkt Magufuli alitudanganya kwenye makinikia acha ahukumiwe huko aliko ila kama watanzania alituambia ukweli basi wewe Stuxnet upate ajali uvunjike miguu yote ila ubaki na mikono ya kuja kushuhudia hapa. Ukiomba msamaha utapona.
Ulemavu wa ubongo ni mbaya kuliko wa maungoni na hauna dawa wala speak. Pole Mudawote kama bado unamuamini Magufuli.
 
Ndugu zangu Watanzania, kuna watu bado hawajui au hawaamini kama ukoloni na ubeberu ni matokeo ya hila kubwa ya nchi za magharibi na raia wao ikiwepo marekani. Kuna ushirika mkubwa kati ya nchi za kibeberu na makampuni mbalimbali ya nchi hizo linapokuja suala la kuendelea kumiliki uchumi wa nchi changa hasa za afrika.

Hivi niwaulize swali. Kama hayati Magufuli asingetuongoza kujiamini wenyewe tukakodi kampuni ya kingereza kufanyia uchunguzi yale makinikia acacia wakiita mchanga tungejua kile kilichokua ndani yake?

Januari Makamba ni mtu hawezi kufikiri kwa akili yake hadi akodishe mzungu kwa hela ya umma kufikiri kwa ajili yake. Sijui nini anapata kwa kuwaamini sana wageni hasa wazungu. Tabia kama hiyo ndio analeta kwenye uongozi wa mashirika nyeti chini ya wizara yake. Tangu amewekwa waziri wa nishati tumeona akisaini kandarasi na wageni kusimamia mambo yetu ya uchumi. Kandaradi moja baada ya nyingine.

Tumeona ikiletwa kampuni ya kihindi kukodisha mfumo wa electronic wa usimamizi tanesco kwa dola milioni 30. Je hakuna watanzania wanaweza kubuni mfumo kwa shughuli kama hiyo. Je hao wahindi walishindanishwa na kamuni zipi?

Juzi tena hapa tumeona mkataba na kampuni ya kingereza eti kushauri tpdc mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji. Hizo kampuni zinafuata templates za kinyonyaji tu sisi kubwaga resources zetu kwa wawekezaji. Tumeona timu yetu ya wazalendo ya kina kabudi ikiweka namna mpya ya mikataba kwenye madini hadi nchi nyingi za kiafrika ziki copy na ku paste mikataba yetu. Ukiuliza kama hiyo kampuni ya kingereza imepewaje hiyo kazi huwezi ona kama wameshindanishwaje.

Hawa mareactionaries wapinga maendeleo mama anawarudisha ndio wataturudisha nyuma kwa maendeleo. Wao wanatafuta maendeleo yao binafsi hivyo watatumika na maadui wa maendeleo ya umma.
Tutayaona mengi. Hivi wateule ambao ni watoto wa viongozi wastaafu ni wateule au lazima wapewe vyeo.
 
Kwanza mpuuzi ni wewe unayeshindwa hata kuandika kwa Kiswahili fasaha, kenge wewe!!

Pili, ni mpumbavu tu ndie anaweza kusema mbona hao Acacia hawakwenda huko MIGA manake kila mwenye akili timamu anafahamu Acacia hawakuwa na sababu ya kwenda kwa sababu Serikali ya Mtukufu ilishaingizwa chaka, ama kwa kutofahamu au watu walishakula chao!!

Hivi ungekuwa wewe ndo Acacia, ungeenda MIGA kufanya nini wakati:-

1. Mliambiwa mnadaiwa kodi TSZ Trilioni 450 lakini mnatoa kishika uchumba cha Sh 700 Billion, ambayo haifiki hata 0.5%, tena unakubaliwa kulipa kwa mafungu halafu mnapigiwa makofi!

2. Mmefanya share transfer au mmeuza 34% ya share wakati Sheria inasema unapouza share unatakiwa kulipa 30% kama Capital Gains Tax, lakini hamkulipa!
View attachment 2100483

3. Mmeambiwa itabidi mjenge kiwanda cha kuchenjua hayo makinikia hapa hapa, nanyi mnasema haitalipi, na kwahiyo mnaruhusiwa muendelee kupeleka makinikia Japan!

Sasa kama unatumia kichwa chako sawasawa, na wewe ndie Acacia mwenyewe, hapo ungeenda MiGA kufanya nini?! Soma ile framework uone kilichoandikwa!!

Hivi kwa akili yako pamoja na favors zote hizo bado ulitarajia Acacia waende MIGA ambako kesi zinachukua zaidi ya miaka 5 wakati pale bandarini kulikuwa na makinikia yanayochangia 30% ya mapato yake!!

Lakini kama msingefanya ujinga wa kutoa favors zote hizo, Acacia wangeenda tu kwa sababu wasingekubali kulipa anything like trillions ambazo mlikuwa mnafurahia kwamba mnawadai!

Soma thread hii hapa kuhusu nini alisema Tundu Lissu na ujue ni kwanini jamaa walikuwa wanajidai sana! In short Lissu aliwaambia kama kweli tupo serious na hizi kampuni za madini, basi tujiondoe kwanza MIGA kwa sababu ukishajitoa kule, wanakuwa hawana pa kukimbilia zaidi kwenye mahakama zetu wenyewe!!

Lakini kwavile bado tulikuwa MIGA, Acacia na Barrick bado waliendelea na danadana zao, na serikali ilikuwa inahofia ku-press hard kwa sababu, ingawaje wewe mpiga makofi hujui lolote, wenyewe ( serikali) walifahamu hawa ukiwakandamiza hadi wakose pumzi, watakachofanya ni kukimbilia MIGA ambako TUSINGETOKA kwa sababu hata ukaguzi wenyewe ulikuwa wa upande mmoja!

Halafu ndugu yangui TUJITEGEMEE, Serikali ya Mzalendo Magu ilipeleka wapi 30% yetu ya Capital Gains Tax?
Asante Chige kwa madini unayomwaga. Tusichoke tuendelee kuwasomesha japo level ya Magufuli brainwash si ya kitoto
 
Halafu ndugu yangui @TUJITEGEMEE, Serikali ya Mzalendo Magu ilipeleka wapi 30% yetu ya Capital Gains Tax?
Swali zuri sana hili. Kwa haraka haraka Aulizwe waziri wa fedha wa wakati huo na CAG wa wakati huo na wasasa hivi, maana bado mnao. Huku mimi nikiendelea kupekua Makabrasha yangu juu ya jambo hili.
 
Mkuu, ile hela ilikokotolewa kuanzia wameanza uchimbaji mpaka leo tokea awamu ya tatu mpaka sasa, na ilionesha ni kiasi gani wamekwepa kwa muda wote huo na je lilikiwa kosa la nani kurihusu upigajiwa dizaini hiyo???
jibu ni tawala za awamu zilizopita, na ndio maana baada ya mazungumzo ikabidi ziwekwe terms mpya kuwa yaliyopita sio ndwele ni kweli makosa yalifanyika ila sasa yasijirudie thats why kikatolewa kishika uchumba cha dola mil 300 na mkataba ukasainiwa upya huku TZ ikipewa umiliki wa asilimia kadhaa, kitu ambacho kitaongeza kiasi ambacho kilikuwa kinapata kutoka kwenye madini maradufu ya awali

je pasipo na uthubutu wa kuzuia yale makontena, tungepata yote hayo?????

ni miaka mingapi makontena yalikuwa yakisafirishwa tu bila kujua kilichomo ndani???
Just Distinctions una kichwa kigumu sana kuelewa. Sijui waalimu wako walihangaika kiasi gani kukuelewesha. Tumekuambia container la 20 ft lina 0.7kg za dhahabu. Ukokotozi wa Magufuli uli base kwenye takwimu za uwongo za 7.0 Kg kwa container.

Kila kinachofuata hapo ni UBATILI MTUPU
 
Ulemavu wa ubongo ni mbaya kuliko wa maungoni na hauna dawa wala speak. Pole Mudawote kama bado unamuamini Magufuli.
Nakuhakikishia iko siku si nyingi wazalendo wataichukua hii nchi na kutawala tena, kinatakachofuata ni kuwaua watu kama ninyi mnaoendekeza uporaji wa rasilimali za nchi yetu, tutawaua wote kabisa ili wabaki wazalendo wenye moyo wa huruma na uadilifu kwa Tanzania ya vizazi vya sasa na vijavyo.
 
Look at you! Kama ni JPM ndie anastahili sifa za hizo barabara, kwanini sifa za SGR hapewi Waziri wa Ujenzi?! Kwanini hizo makinikia unazosema, sifa usimpe Waziri wa Madini?! Au ndo ile "chako ni changu na changu ni changu"!
Kwani hao wengine walikuja kua rais wa jamhuri? Hapa tunaangalia trend ya mtu aliyekuja kua rais. Tukimuangalia samia sijui tuna cha kueleza kipi maana urais umemuangukia kama embe dodo.
 
Ndugu zangu Watanzania, kuna watu bado hawajui au hawaamini kama ukoloni na ubeberu ni matokeo ya hila kubwa ya nchi za magharibi na raia wao ikiwepo marekani. Kuna ushirika mkubwa kati ya nchi za kibeberu na makampuni mbalimbali ya nchi hizo linapokuja suala la kuendelea kumiliki uchumi wa nchi changa hasa za afrika.

Hivi niwaulize swali. Kama hayati Magufuli asingetuongoza kujiamini wenyewe tukakodi kampuni ya kingereza kufanyia uchunguzi yale makinikia acacia wakiita mchanga tungejua kile kilichokua ndani yake?

Januari Makamba ni mtu hawezi kufikiri kwa akili yake hadi akodishe mzungu kwa hela ya umma kufikiri kwa ajili yake. Sijui nini anapata kwa kuwaamini sana wageni hasa wazungu. Tabia kama hiyo ndio analeta kwenye uongozi wa mashirika nyeti chini ya wizara yake. Tangu amewekwa waziri wa nishati tumeona akisaini kandarasi na wageni kusimamia mambo yetu ya uchumi. Kandaradi moja baada ya nyingine.

Tumeona ikiletwa kampuni ya kihindi kukodisha mfumo wa electronic wa usimamizi tanesco kwa dola milioni 30. Je hakuna watanzania wanaweza kubuni mfumo kwa shughuli kama hiyo. Je hao wahindi walishindanishwa na kamuni zipi?

Juzi tena hapa tumeona mkataba na kampuni ya kingereza eti kushauri tpdc mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji. Hizo kampuni zinafuata templates za kinyonyaji tu sisi kubwaga resources zetu kwa wawekezaji. Tumeona timu yetu ya wazalendo ya kina kabudi ikiweka namna mpya ya mikataba kwenye madini hadi nchi nyingi za kiafrika ziki copy na ku paste mikataba yetu. Ukiuliza kama hiyo kampuni ya kingereza imepewaje hiyo kazi huwezi ona kama wameshindanishwaje.

Hawa mareactionaries wapinga maendeleo mama anawarudisha ndio wataturudisha nyuma kwa maendeleo. Wao wanatafuta maendeleo yao binafsi hivyo watatumika na maadui wa maendeleo ya umma.
Mimi nakuuliza makinikia yako wapi? Au tumepata kiasi gani kutokana na Makinikia?
 
Makinikia sasa yanakwenda kama makinikia sio kama mchanga. Kinacholipwa sasa sio kile cha mchanga. Hii ni mojawapo ya faida za ule uchunguzi.
Yanakwenda vilevile hakuna kilichobadilika.
 
Kwani hao wengine walikuja kua rais wa jamhuri? Hapa tunaangalia trend ya mtu aliyekuja kua rais. Tukimuangalia samia sijui tuna cha kueleza kipi maana urais umemuangukia kama embe dodo.
Alikuwa na kauli ipi ya kumzidi rais hadi awe na uwezo wa kuifanya bajeti ya wizara ya ujenzi kuwa kubwa zaidi kuliko wizara nyingine? Hivi kwa akili yako unadhani Mzee wa Msoga alishindwa kutoa bajeti kubwa zaidi kwa wizara ya maji au hata elimu na afya badala ya bajeti kubwa kuipa wizara ya ujenzi?
 
Swali zuri sana hili. Kwa haraka haraka Aulizwe waziri wa fedha wa wakati huo na CAG wa wakati huo na wasasa hivi, maana bado mnao. Huku mimi nikiendelea kupekua Makabrasha yangu juu ya jambo hili.
Na trilioni 450 tumuulize nani 😀? As far as I know hao kazi yao ni kukagua vitabu tu lakini Rais Mzalendo na Team yake ya akina Kabudi ndio walitakiwa kuhakikisha Capital Gains Tax inalipwa kwa sababu walikuwa kwenye mchakato mzima kuanzia hatua ya kwanza hadi ya mwisho!!
 
Ndugu zangu Watanzania, kuna watu bado hawajui au hawaamini kama ukoloni na ubeberu ni matokeo ya hila kubwa ya nchi za magharibi na raia wao ikiwepo marekani. Kuna ushirika mkubwa kati ya nchi za kibeberu na makampuni mbalimbali ya nchi hizo linapokuja suala la kuendelea kumiliki uchumi wa nchi changa hasa za afrika.

Hivi niwaulize swali. Kama hayati Magufuli asingetuongoza kujiamini wenyewe tukakodi kampuni ya kingereza kufanyia uchunguzi yale makinikia acacia wakiita mchanga tungejua kile kilichokua ndani yake?

Januari Makamba ni mtu hawezi kufikiri kwa akili yake hadi akodishe mzungu kwa hela ya umma kufikiri kwa ajili yake. Sijui nini anapata kwa kuwaamini sana wageni hasa wazungu. Tabia kama hiyo ndio analeta kwenye uongozi wa mashirika nyeti chini ya wizara yake. Tangu amewekwa waziri wa nishati tumeona akisaini kandarasi na wageni kusimamia mambo yetu ya uchumi. Kandarasi moja baada ya nyingine.

Tumeona ikiletwa kampuni ya kihindi kukodisha mfumo wa electronic wa usimamizi tanesco kwa dola milioni 30. Kiwango kikubwa sana. Je hakuna watanzania wanaweza kubuni mfumo kwa shughuli kama hiyo. Je hao wahindi walishindanishwa na kampuni zipi?

Juzi tena hapa tumeona mkataba na kampuni ya kingereza eti kushauri tpdc mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji. Hizo kampuni zinafuata templates za kinyonyaji tu sisi kubwaga resources zetu kwa wawekezaji. Tumeona timu yetu ya wazalendo ya kina kabudi ikiweka namna mpya ya mikataba kwenye madini hadi nchi nyingi za kiafrika ziki copy na ku paste mikataba yetu. Ukiuliza kama hiyo kampuni ya kingereza imepewaje hiyo kazi huwezi ona kama wameshindanishwaje.

Hawa mareactionaries wapinga maendeleo mama anawarudisha ndio wataturudisha nyuma kwa maendeleo. Wao wanatafuta maendeleo yao binafsi hivyo watatumika na maadui wa maendeleo ya umma.
Umeandika kwa hisia zako....
 
Asante Chige kwa madini unayomwaga. Tusichoke tuendelee kuwasomesha japo level ya Magufuli brainwash si ya kitoto
Hapo pa level ya Magufuli naomba ni-declare kitu!!

Wakati wote niliamini hakuna Rais atakayemzidi JK kwa usanii lakini alipoingia JPM, kiwango chake cha brainwashing ni level zingine!!

Lakini ukiangalia sana, Viongozi wote duniani wenye silika ya JPM na kujifanya wazalendo sana, ndio wanaoongoza kwenye brainwashing na wapo vizuri katika hilo!! Viongozi wa aina huwa wanaingia akilini mwa watu baada ya kujua wnapenda kusikia nini na hatimae kuwaaminisha kama si yeye nchi haiwezi kufika popote!!
 
Kwa uandishi wako na mpangilio wa sentensi nahisi Elimu yako siyo zaidi ya Form 4.

Kwa kifupi ripoti ya MAKINIKIA ilikuwa rubbish yaani takataka.

Baada ya kuwa Rais alitaka ku-prove kuwa ACACIA wanatuibia madini kupitia makinikia, ndipo akaunda tume ya Prof Mruma na Prof Osoro. Kiukweli Tume ya Prof Mruma ilikuta kuwa kontaina la 20ft lina 0.7Kg ya madini ya dhahabu na silver. Na kiasi hicho ndiyo kimekuwa kikilipiwa na ACACIA/ Barrick kodi sahihi kuanzia 1998.

Kwa vile Jiwe alidhani tunaibiwa madini wakati si kweli akaichakachua ripoti ya Prof Mruma na kuandika kuwa kuna 7.0 Kg kwa kila container. Hapa ndiyo ile hoja ya ACACIA kukwepa ushuru wa USD 190 bilioni au Tsh 450 Trillioni ndipo ilipojitokeza. Hiki kitu Tundu Lissu aliita professorial rubbish kwa kuwa ni uzandiki mtupu. Na kweli hatujapata hiyo Tsh 450 Trilion aka Noah moja kwa kila Mtanzania.

Ila Tanzania Ina wajinga wengi sana kama kmbwembwe wao bado wanaamini uwongo wa Magufuli
Si bora huyu mwenye elimu ya form four ambaye akili yake ya asili haijavurugwa kuliko mnaodhani haya ni mambo ya kuchekelea? Hampangi kuwezesha watanzania miaka zaidi ya 60 ili wajenge uwezo wa kuamua kuhusu rasilimali zao bado mpo busy kusema hatuna wataalamu; no wonder Magungo baada ya kuoga na mzungu akajiona yupo sawa naye what a shame in this 21st century kuwa tegemezd hata kwa mambo ya wazi na rahisi kama maamuzi tu!
 
Hapo pa level ya Magufuli naomba ni-declare kitu!!

Wakati wote niliamini hakuna Rais atakayemzidi JK kwa usanii lakini alipoingia JPM, kiwango chake cha brainwashing ni level zingine!!

Lakini ukiangalia sana, Viongozi wote duniani wenye silika ya JPM na kujifanya wazalendo sana, ndio wanaoongoza kwenye brainwashing na wapo vizuri katika hilo!! Viongozi wa aina huwa wanaingia akilini mwa watu baada ya kujua wnapenda kusikia nini na hatimae kuwaaminisha kama si yeye nchi haiwezi kufika popote!!
Bora hiyo brainwashing ambayo imeacha physical assets kuliko hizi zingine ambazo zinaishia kuwaona binadamu waki nawari wao na vizazi vyao huku the rest wakiendelea kuwa beggars!
 
Back
Top Bottom