Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

Kwanza huna taarifa sahihi, kwa sababu wangesema mchanga yasingeitwa tena makinikia!! Tafuta Ripoti ya TMAA ya 2011, na kama huwezi kufanya hivyo basi soma thread yangu inayosema Ripoti ya Kitalaamu Kuhusu Uchenjuaji wa Mchanga wa Madini, ambapo moja ya paragraph inasema:-

Unaona hapo, ni COPPER CONCENTRATE na hakuna popote taarifa inaposema ni MCHANGA!

Mwiba zaidi, Ripoti ikasema:-

Kwamba, madini yanayopatikana kwenye makinikia hayatoshelezi kutufanya tujenge mtambu wa kuchambua hayo makinikia hapa hapa!!

Watu wakatoa povu ile mbaya, wengine wakatukana lakini kila mwenye akili timamu anafahamu JPM HAKUZUNGUMZIA TENA suala la kujenga Copper Concerates smelters, na HADI KESHO MAKINIKIA YANASAFIRISHWA!!

So, suala la JPM kuajiri wataalamu kutoka nje, mosi lisingekuwa na mantiki kwa sababu sekta ya madini sio ngeni kwetu na kwahiyo tunao hao watalaamu! Lakini kama angeamua kufanya hivyo, Wataalamu hao wangetuepusha na aibu ya kusema tunadai Sh 420 trillion na matokeo yake tunaishia kupata vibilioni kadhaa!!!

Siwezi kurudia kwa sababu HatibuZ amekuonesha tenda ilitangazwa lini! In short, hata JPM Administartion ilifahamu hatuna watu wenye uzoefu kwenye sekta ya gesi na mafuta! Hili jambo lipo wazi sana, hivyo nashangaa kwanini watu tunataka kuleta uzalendo fake wakati we all know hii sekta ni mpya!!

Kama hujawahi kuwa na commercial oil and gas industry from engineering level, hivi mnatarajia hao wataalamu wa Kitanzania hiyo kazi walikuwa wanafanyia?!

Hapo tena jaribu kutafuta taarifa uone huo mradi kwanza sponsor ni nani, na umeanza wakati gani!

Tafuteni taarifa, na mjifunze!!
Una akili sana we jamaa.
 
hao wakina Maluma mnaowadhalau ndio walioleta chachu ya kubadilisha sheria za madini,pamoja na kutishwa sana na wapuuzi kama nyie eti tutashitakiwa Miga
Hii nchi wajinga ni wengi, Lissu alisema kama mnakamata makontena mjitoe MIGA na mbadili sheria maana tunaibiwa kupitia sheria sio makontena!!!

Sasa si ndio mlichofanya mkabadili sheria kabla ya negotiation kama alivyoshauri Lissu, sasa toka lini kubadili sheria utashtakiwa MIGA? nlichogundua waTanzania wengi hatufuatilii mambo tunakurupuka tu.
mbona accecia walifutiliwa mbali na hawakwenda mahakamani Kudai fidia,Kama walikuwa halali na hawaibi?
Walifutiliwa mbali wapi si mliingia ubia na kampuni yao mama na mkaanzisha subsidiary ambayo mmepewa 16% hisa huku wao wakipiga 84% zote then mmewafutilia wapi??

Mwanyika mliyemuita msaliti na jizi hadi JPM akasema anawasiliana na Lissu!!....... Ndio mkampa ubunge wa CCM huko Makambako!!

Kweli JPM aliwalaghai wengi sana
 
Hii nchi wajinga ni wengi, Lissu alisema kama mnakamata makontena mjitoe MIGA na mbadili sheria maana tunaibiwa kupitia sheria sio makontena!!!

Sasa si ndio mlichofanya mkabadili sheria kabla ya negotiation kama alivyoshauri Lissu, sasa toka lini kubadili sheria utashtakiwa MIGA? nlichogundua waTanzania wengi hatufuatilii mambo tunakurupuka tu.
Walifutiliwa mbali wapi si mliingia ubia na kampuni yao mama na mkaanzisha subsidiary ambayo mmepewa 16% hisa huku wao wakipiga 84% zote then mmewafutilia wapi??

Mwanyika mliyemuita msaliti na jizi hadi JPM akasema anawasiliana na Lissu!!....... Ndio mkampa ubunge wa CCM huko Makambako!!

Kweli JPM aliwalaghai wengi sana
Kuna msemo unaosema kwenye msafala wa Mamba na kenge wamo, wewe unajua aliyekuwa akiiba tarifa za accecia na kuzileta selikalini?ukiambiwa serikali inamkono mrefu usiulize,Watu wengine wamo humo kwa niaba ya serikali hata Kama watasemwa vibaya, maana wapo kikazi,wakimaliza kazi Ndio wanapewa kazi nyingine za kuwapoza,nyie huku mtaani mnabaki kubishana tu.
 
Ndugu zangu Watanzania, kuna watu bado hawajui au hawaamini kama ukoloni na ubeberu ni matokeo ya hila kubwa ya nchi za magharibi na raia wao ikiwepo marekani. Kuna ushirika mkubwa kati ya nchi za kibeberu na makampuni mbalimbali ya nchi hizo linapokuja suala la kuendelea kumiliki uchumi wa nchi changa hasa za afrika.

Hivi niwaulize swali. Kama hayati Magufuli asingetuongoza kujiamini wenyewe tukakodi kampuni ya kingereza kufanyia uchunguzi yale makinikia acacia wakiita mchanga tungejua kile kilichokua ndani yake?

Januari Makamba ni mtu hawezi kufikiri kwa akili yake hadi akodishe mzungu kwa hela ya umma kufikiri kwa ajili yake. Sijui nini anapata kwa kuwaamini sana wageni hasa wazungu. Tabia kama hiyo ndio analeta kwenye uongozi wa mashirika nyeti chini ya wizara yake. Tangu amewekwa waziri wa nishati tumeona akisaini kandarasi na wageni kusimamia mambo yetu ya uchumi. Kandaradi moja baada ya nyingine.

Tumeona ikiletwa kampuni ya kihindi kukodisha mfumo wa electronic wa usimamizi tanesco kwa dola milioni 30. Je hakuna watanzania wanaweza kubuni mfumo kwa shughuli kama hiyo. Je hao wahindi walishindanishwa na kamuni zipi?

Juzi tena hapa tumeona mkataba na kampuni ya kingereza eti kushauri tpdc mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji. Hizo kampuni zinafuata templates za kinyonyaji tu sisi kubwaga resources zetu kwa wawekezaji. Tumeona timu yetu ya wazalendo ya kina kabudi ikiweka namna mpya ya mikataba kwenye madini hadi nchi nyingi za kiafrika ziki copy na ku paste mikataba yetu. Ukiuliza kama hiyo kampuni ya kingereza imepewaje hiyo kazi huwezi ona kama wameshindanishwaje.

Hawa mareactionaries wapinga maendeleo mama anawarudisha ndio wataturudisha nyuma kwa maendeleo. Wao wanatafuta maendeleo yao binafsi hivyo watatumika na maadui wa maendeleo ya umma.
Hayo makampuni sio ya kigeni, ni yake binafsi na washikaji zake. Yanaitwa ya kigeni ili tuyalipe hela ndefu ya kigeni
 
Sawa hata kama tuliambulia kidogo lakini kazi hii ilifanywa na Watanzania,lini Watanzania tuliowasonesha kwa Kodi zetu watajengewa uwezo wa kufanya Mambo makubwa,ikiwa kila kitu ni mzungu anatufanyia? hata kufunga mfumo wa kumonita umeme mpaka tuite Waindi kuja kufunga tena kwa malipo ya mabilioni,ina maana Tanzania amna wataalamu wa IT?
Acha kuongea vitu usivyovijua wewe...

Uliza TANESCO walitangaza tenda mara ngapi hadi anakuja kupatikana mtu mwenye sifa!! Sijui ni nani aliwadanganya habari za software ya ku-monitor umeme!

Moja ya tenda za huo mradi ni hii hapa chini:-
Tender TanescO.png


Ona hapo #4. Tenda ilianza kutangazwa back 2016, ikaja kurudiwa November 2017, na tena 2018 lakini bado haikupatikana kampuni yenye sifa, na ikaja kutangazwa tena June 2020! Je, baada ya kutangazwa tena June 2020, alipatikana mzabuni?

Jibu hili hapa chini :-
TANESCO DEADLINE EXT.png

Unaona hapo, waka-extend muda from September to October...

What happen next? Jibu tena hili hapa chini:-

TANESCO DEADLINE EXT2.png


Hata baada ya ku-extend muda hadi October bado ngoma ilikuwa mbichi ndipo wakatoa hiyo taarifa mwezi November ya nia yao kuongeza muda!!

Sasa hivi kwa akili yako kama lingekuwa jambo rahisi rahisi tu unadhani lingetokea hilo suala la kila wakati bidders kuomba clarification na hatimae ku-extend deadline lakini bado unashindwa kupata mtu na kuamua kutangaza upya?
na kwa kumbukumbu zangu hata hapo hakuweza kupatikana!!

Btw, muda wote huo JPM si bado alikuwa mzima na bukheri wa afya... kwanini basi utawala wake haukutoa hiyo tenda kwa Watalaamu wenu wa IT?

Narudia kama nilivyokueleza mwanzo na ninavyowaeleza wenzako: TAFUTENI TAARIFA badala ya kuleta porojo kwenye mambo msiyoyajua!
 
Sawa hata kama tuliambulia kidogo lakini kazi hii ilifanywa na Watanzania,lini Watanzania tuliowasonesha kwa Kodi zetu watajengewa uwezo wa kufanya Mambo makubwa,ikiwa kila kitu ni mzungu anatufanyia?hata kufunga mfumo wa kumonita umeme mpaka tuite Waindi kuja kufunga tena kwa malipo ya mabilioni,ina maana Tanzania amna wataalamu wa IT?hao wakina Maluma mnaowadhalau ndio walioleta chachu ya kubadilisha sheria za madini,pamoja na kutishwa sana na wapuuzi kama nyie eti tutashitakiwa Miga, mbona accecia walifutiliwa mbali na hawakwenda mahakamani Kudai fidia,Kama walikuwa halali na hawaibi?
Kwahiyo ungekuwa wewe ndo mfanya maamuzi ungechukua kampuni ya Kitanzania hata kama haina sifa na haijawahi kufanya hiyo kazi kisha ikushauri?

Sasa anakushauri nini wakati hata mwenyewe hajawahi kufanya kazi husika?

Hivi nyie watu mnajua mnachokiongea kweli nyinyi?!

Nawe nitakueleza: Hizo habari za mfumo wa kompyuta HAMJUI what's it all about! Huu sio mfumo like just installing softwarre and you're done kama mnavyodanganyana!

Angalia Post #66 hapo juu nimeweka ni mara ngapi TANESCO walitangaza tenda ya hicho mnachodhani ni it's just a electricity monitoring software, na tena ilikuwa wakati wa huyo huyo mnayemuona mzalendo!!

Chachu ya kubadilisha sheria ya madini haikuletwa na akina Mruma, again kama unavyodhani! Angalia Sheria ya Madini ya mwaka 2010, Kifungu cha 12 ambayo ilianza kutumika 2012 inayosema:-
Mining Law 12.png
 
Acha kuongea vitu usivyovijua wewe...

Uliza TANESCO walitangaza tenda mara ngapi hadi anakuja kupatikana mtu mwenye sifa!! Sijui ni nani aliwadanganya habari za software ya ku-monitor umeme!

Moja ya tenda za huo mradi ni hii hapa chini:-
View attachment 2099758

Ona hapo #4. Tenda ilianza kutangazwa back 2016, ikaja kurudiwa November 2017, na tena 2018 lakini bado haikupatikana kampuni yenye sifa, na ikaja kutangazwa tena June 2020! Je, baada ya kutangazwa tena June 2020, alipatikana mzabuni?

Jibu hili hapa chini :-
View attachment 2099838
Unaona hapo, waka-extend muda from September to October...

What happen next? Jibu tena hili hapa chini:-

View attachment 2099842

Hata baada ya ku-extend muda hadi October bado ngoma ilikuwa mbichi ndipo wakatoa hiyo taarifa mwezi November ya nia yao kuongeza muda!!

Sasa hivi kwa akili yako kama lingekuwa jambo rahisi rahisi tu unadhani lingetokea hilo suala la kila wakati bidders kuomba clarification na hatimae ku-extend deadline lakini bado unashindwa kupata mtu na kuamua kutangaza upya?
na kwa kumbukumbu zangu hata hapo hakuweza kupatikana!!

Btw, muda wote huo JPM si bado alikuwa mzima na bukheri wa afya... kwanini basi utawala wake haukutoa hiyo tenda kwa Watalaamu wenu wa IT?

Narudia kama nilivyokueleza mwanzo na ninavyowaeleza wenzako: TAFUTENI TAARIFA badala ya kuleta porojo kwenye mambo msiyoyajua!
Chige
Ona hapo #4. Tenda ilianza kutangazwa back 2016, ikaja kurudiwa November 2017, na tena 2018 lakini bado haikupatikana kampuni yenye sifa, na ikaja kutangazwa tena June 2020! Je, baada ya kutangazwa tena June 2020, alipatikana mzabuni?

Hiyo haina maana kwamba Tenda ilianza kutangwazwa back 2016, etc. - Bali maana yake ni hizo regulations zitakazotumia kumtafuta Bidder ndio za hiyo miaka ya July 2016, revised ....
Hii tenda inaonekana GPN(General Procurement Notice) ilitangazwa 18th Feb. 2020 na Specific Procurement Notice ilitangwazwa 22nd June 2020
 
Hii nchi wajinga ni wengi, Lissu alisema kama mnakamata makontena mjitoe MIGA na mbadili sheria maana tunaibiwa kupitia sheria sio makontena!!!

Sasa si ndio mlichofanya mkabadili sheria kabla ya negotiation kama alivyoshauri Lissu, sasa toka lini kubadili sheria utashtakiwa MIGA? nlichogundua waTanzania wengi hatufuatilii mambo tunakurupuka tu.
Walifutiliwa mbali wapi si mliingia ubia na kampuni yao mama na mkaanzisha subsidiary ambayo mmepewa 16% hisa huku wao wakipiga 84% zote then mmewafutilia wapi??

Mwanyika mliyemuita msaliti na jizi hadi JPM akasema anawasiliana na Lissu!!....... Ndio mkampa ubunge wa CCM huko Makambako!!

Kweli JPM aliwalaghai wengi sana

..tatizo la hawa vijana ni kusikiliza habari za upande mmoja.

..hawajisumbui kutafuta UKWELI kwa kujiridhisha na taarifa toka vyanzo mbalimbali.

..nina hakika wakati mgogoro ule unaendelea hawa vijana hawakujisumbua kutafuta habari toka vyanzo vya acaccia au barrick.

..matokeo yake wamejiaminisha / wamejipotosha kwamba mgogoro ule haukufika mahakamani au miga kama wanavyopenda kusema.

..acaccia walikwenda mahakamani na shauri lao lilisitishwa baada ya barrick kukubali kununua hisa za minority shareholders.

..baada ya acaccia kuwa 100% miliki ya barrick ndipo majadiliano na serikali ya Tz yakaendelea na kufikia conclusion.

..kwa upande mwingine Tz / serikali ndio walalamikaji kwamba tumeibiwa usd 191 billion. Sasa tujiulize kwanini hatukushtaki ktk mahakama yoyote?

..hivi ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza kuibiwa usd 191 billion halafu akaridhika na kusitisha madai yake kwa kulipwa usd 300 million?
 
Chige
Ona hapo #4. Tenda ilianza kutangazwa back 2016, ikaja kurudiwa November 2017, na tena 2018 lakini bado haikupatikana kampuni yenye sifa, na ikaja kutangazwa tena June 2020! Je, baada ya kutangazwa tena June 2020, alipatikana mzabuni?

Hiyo haina maana kwamba Tenda ilianza kutangwazwa back 2016, etc. - Bali maana yake ni hizo regulations zitakazotumia kumtafuta Bidder ndio za hiyo miaka ya July 2016, revised ....
Hii tenda inaonekana GPN(General Procurement Notice) ilitangazwa 18th Feb. 2020 na Specific Procurement Notice ilitangwazwa 22nd June 2020
Kwa hicho kipengele cha ku-revise, upo sahihi, nili-overlook! Nimechanganya suala la hiyo the so-called just a software na mradi mzima wa TAZA ambao moja ya implementation zake ilikuwa ndo installation ya hiyo software!

Lakini multiple deadline extension ya hiyo tenda bado inathibitisha kitu kile kile kwamba it's not that simple na ndo maana mara kwa mara Bidders walikuwa wanaomba clarifications!!

On top of that, hiyo tenda ilitangazwa wakati wa uhai wa JPM, kwahiyo kwavile wanaamini ingekuwa wakati wa JPM hilo shavu angepewa Mtanzania basi tenda mzima ingekuwa local. Na kwavile financier ni World Bank, I doubt kama World Bank wangekubali aliyeshinda alipwe 30M wakati hiyo pesa inatoka kwao!!!

Thanks any way!
 
Kwa uandishi wako na mpangilio wa sentensi nahisi Elimu yako siyo zaidi ya Form 4.

Kwa kifupi ripoti ya MAKINIKIA ilikuwa rubbish yaani takataka.

Baada ya kuwa Rais alitaka ku-prove kuwa ACACIA wanatuibia madini kupitia makinikia, ndipo akaunda tume ya Prof Mruma na Prof Osoro. Kiukweli Tume ya Prof Mruma ilikuta kuwa kontaina la 20ft lina 0.7Kg ya madini ya dhahabu na silver. Na kiasi hicho ndiyo kimekuwa kikilipiwa na ACACIA/ Barrick kodi sahihi kuanzia 1998.

Kwa vile Jiwe alidhani tunaibiwa madini wakati si kweli akaichakachua ripoti ya Prof Mruma na kuandika kuwa kuna 7.0 Kg kwa kila container. Hapa ndiyo ile hoja ya ACACIA kukwepa ushuru wa USD 190 bilioni au Tsh 450 Trillioni ndipo ilipojitokeza. Hiki kitu Tundu Lissu aliita professorial rubbish kwa kuwa ni uzandiki mtupu. Na kweli hatujapata hiyo Tsh 450 Trilion aka Noah moja kwa kila Mtanzania.

Ila Tanzania Ina wajinga wengi sana kama kmbwembwe wao bado wanaamini uwongo wa Magufuli

Kasahau na zile Noah zetu [emoji23]
Umeelezea vile vile ninavyojua hata mimi wa la 7!
 
Hii nchi wajinga ni wengi, Lissu alisema kama mnakamata makontena mjitoe MIGA na mbadili sheria maana tunaibiwa kupitia sheria sio makontena!!!

Sasa si ndio mlichofanya mkabadili sheria kabla ya negotiation kama alivyoshauri Lissu, sasa toka lini kubadili sheria utashtakiwa MIGA? nlichogundua waTanzania wengi hatufuatilii mambo tunakurupuka tu.
Walifutiliwa mbali wapi si mliingia ubia na kampuni yao mama na mkaanzisha subsidiary ambayo mmepewa 16% hisa huku wao wakipiga 84% zote then mmewafutilia wapi??

Mwanyika mliyemuita msaliti na jizi hadi JPM akasema anawasiliana na Lissu!!....... Ndio mkampa ubunge wa CCM huko Makambako!!

Kweli JPM aliwalaghai wengi sana
Mkuu, Mwanyika si mtu wa kawaida JPM RIP alishikwa sikio.
 
Yani we bado upo gizani, ile report ya makinikia ilikuwa ni blahblah za awamu danganyifu iliyopita. Hakuna la maana baada ya pale na makinikia yanatoka kama kawaida tangu mwendazake akiwepo ni kiini macho, ni upupu mtupu hakuna cha nini wala nini.
Makinikia sasa yanakwenda kama makinikia sio kama mchanga. Kinacholipwa sasa sio kile cha mchanga. Hii ni mojawapo ya faida za ule uchunguzi.
 
..tatizo la hawa vijana ni kusikiliza habari za upande mmoja.

..hawajisumbui kutafuta UKWELI kwa kujiridhisha na taarifa toka vyanzo mbalimbali.

..nina hakika wakati mgogoro ule unaendelea hawa vijana hawakujisumbua kutafuta habari toka vyanzo vya acaccia au barrick.

..matokeo yake wamejiaminisha / wamejipotosha kwamba mgogoro ule haukufika mahakamani au miga kama wanavyopenda kusema.

..acaccia walikwenda mahakamani na shauri lao lilisitishwa baada ya barrick kukubali kununua hisa za minority shareholders.

..baada ya acaccia kuwa 100% miliki ya barrick ndipo majadiliano na serikali ya Tz yakaendelea na kufikia conclusion.

..kwa upande mwingine Tz / serikali ndio walalamikaji kwamba tumeibiwa usd 191 billion. Sasa tujiulize kwanini hatukushtaki ktk mahakama yoyote?

..hivi ni mtu gani mwenye akili timamu anaweza kuibiwa usd 191 billion halafu akaridhika na kusitisha madai yake kwa kulipwa usd 300 million?
Yaani hili suala la watu kupenda kusikiliza taarifa za upande mmoja, tena upande wa wanasiasa inaniogopesha sana manake tafsiri yake ni kwamba, taifa litaendelea kuburuzwa na wanasiasa kwa sababu wanafahamu watu huwa hatutafuti ukweli!

Halafu umenikumbusha hilo la Barrick kumiliki 100% manake kuna kitu kila nikijiuliza, huwa nashindwa kupata jibu!!

Mwanzoni, out of 100% Share of Acacia, Barrick walikuwa wanamiliki around 64%. Na kama hivi sasa wanamiliki 100% ina maana minority shareholders waliuza around 36% shares of Acacia... kampuni iliyosajiriwa Tanzania!

Kwa mujibu wa Sheria ya Kodi ya Mapato, hawa jamaa walitakiwa kulipa 30% Capital Gains Tax lakini sijawahi kusikia popote kwamba hii kodi ililipwa... what am I missing?!
 
Acha kuongea vitu usivyovijua wewe...

Uliza TANESCO walitangaza tenda mara ngapi hadi anakuja kupatikana mtu mwenye sifa!! Sijui ni nani aliwadanganya habari za software ya ku-monitor umeme!

Moja ya tenda za huo mradi ni hii hapa chini:-
View attachment 2099758

Ona hapo #4. Tenda ilianza kutangazwa back 2016, ikaja kurudiwa November 2017, na tena 2018 lakini bado haikupatikana kampuni yenye sifa, na ikaja kutangazwa tena June 2020! Je, baada ya kutangazwa tena June 2020, alipatikana mzabuni?

Jibu hili hapa chini :-
View attachment 2099838
Unaona hapo, waka-extend muda from September to October...

What happen next? Jibu tena hili hapa chini:-

View attachment 2099842

Hata baada ya ku-extend muda hadi October bado ngoma ilikuwa mbichi ndipo wakatoa hiyo taarifa mwezi November ya nia yao kuongeza muda!!

Sasa hivi kwa akili yako kama lingekuwa jambo rahisi rahisi tu unadhani lingetokea hilo suala la kila wakati bidders kuomba clarification na hatimae ku-extend deadline lakini bado unashindwa kupata mtu na kuamua kutangaza upya?
na kwa kumbukumbu zangu hata hapo hakuweza kupatikana!!

Btw, muda wote huo JPM si bado alikuwa mzima na bukheri wa afya... kwanini basi utawala wake haukutoa hiyo tenda kwa Watalaamu wenu wa IT?

Narudia kama nilivyokueleza mwanzo na ninavyowaeleza wenzako: TAFUTENI TAARIFA badala ya kuleta porojo kwenye mambo msiyoyajua!
Kipindo hicho watu walikuwa wanogopa kunde kutoa rushwa kwa PPRA na hakika hata hiyo kampuni hana vigezo vyovyote vile zaidi kuhonga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipindo hicho watu walikuwa wanogopa kunde kutoa rushwa kwa PPRA na hakika hata hiyo kampuni hana vigezo vyovyote vile zaidi kuhonga

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Vigezo vilikuwa ni vipi?
2. Hiyo kampuni ilikosa kigezo kipi, kipi, kipi, kipi, kipi, kipi, kipi, na kipi miongoni mwa vigezo ambavyo vilikuwa vinatakiwa?!
 
na kutishwa sana na wapuuzi kama nyie eti tutashitakiwa Miga, mbona accecia walifutiliwa mbali na hawakwenda mahakamani Kudai fidia,Kama walikuwa halali na hawaibi?
ACACIA haikufutwa ilibadili "Letterhead", watu ni walewale na makunikia yanaendelea kubebea, mamlaka ya migogoro bado ni London na siyo Mahakama za Tanzania, smelter bado hakuna, 50/50 economic benefits siyo fedha. Kimoja tu ndiyo akina Kabudi waliweza; kupandisha mrahaba kutoka 6% hadi 16%.
Kasahau na zile Noah zetu [emoji23]
Umeelezea vile vile ninavyojua hata mimi wa la 7!
Wewe ni zaidi ya la Saba kama unaelewa issue ya Noah
 
ACACIA haikufutwa ilibadili "Letterhead", watu ni walewale na makunikia yanaendelea kubebea, mamlaka ya migogoro bado ni London na siyo Mahakama za Tanzania, smelter bado hakuna, 50/50 economic benefits siyo fedha. Kimoja tu ndiyo akina Kabudi waliweza; kupandisha mrahaba kutoka 6% hadi 16%.

Wewe ni zaidi ya la Saba kama unaelewa issue ya Noah

I was joking
Or in other word Taking a piss
Thanks anyway [emoji120]
 
Ndugu zangu Watanzania, kuna watu bado hawajui au hawaamini kama ukoloni na ubeberu ni matokeo ya hila kubwa ya nchi za magharibi na raia wao ikiwepo marekani. Kuna ushirika mkubwa kati ya nchi za kibeberu na makampuni mbalimbali ya nchi hizo linapokuja suala la kuendelea kumiliki uchumi wa nchi changa hasa za afrika.

Hivi niwaulize swali. Kama hayati Magufuli asingetuongoza kujiamini wenyewe tukakodi kampuni ya kingereza kufanyia uchunguzi yale makinikia acacia wakiita mchanga tungejua kile kilichokua ndani yake?

Januari Makamba ni mtu hawezi kufikiri kwa akili yake hadi akodishe mzungu kwa hela ya umma kufikiri kwa ajili yake. Sijui nini anapata kwa kuwaamini sana wageni hasa wazungu. Tabia kama hiyo ndio analeta kwenye uongozi wa mashirika nyeti chini ya wizara yake. Tangu amewekwa waziri wa nishati tumeona akisaini kandarasi na wageni kusimamia mambo yetu ya uchumi. Kandaradi moja baada ya nyingine.

Tumeona ikiletwa kampuni ya kihindi kukodisha mfumo wa electronic wa usimamizi tanesco kwa dola milioni 30. Je hakuna watanzania wanaweza kubuni mfumo kwa shughuli kama hiyo. Je hao wahindi walishindanishwa na kamuni zipi?

Juzi tena hapa tumeona mkataba na kampuni ya kingereza eti kushauri tpdc mambo ya kisheria kuhusu uwekezaji. Hizo kampuni zinafuata templates za kinyonyaji tu sisi kubwaga resources zetu kwa wawekezaji. Tumeona timu yetu ya wazalendo ya kina kabudi ikiweka namna mpya ya mikataba kwenye madini hadi nchi nyingi za kiafrika ziki copy na ku paste mikataba yetu. Ukiuliza kama hiyo kampuni ya kingereza imepewaje hiyo kazi huwezi ona kama wameshindanishwaje.

Hawa mareactionaries wapinga maendeleo mama anawarudisha ndio wataturudisha nyuma kwa maendeleo. Wao wanatafuta maendeleo yao binafsi hivyo watatumika na maadui wa maendeleo ya umma.
Tusinge kodi kampuni za nje tungeweza kujua hata tuna Gesi kiasi gani?.
 
eti akachakachua, sasa kwanini hawakwenda mahakamani kama walivyodai??

na ulivyo kolo sasa eti ni 0.7 hivi wewe kontena unalijua au unaongea ushubwada
hivi kwa akili tu ya kawaida tu hata ile ya kuvukia barabara ni mwekezaji ambae atarisk kusafirisha kontena ili achenjue 0.7 ya dhahabu na silver???? lazima kutakuwa na shida mahali kwenye fikra zako
Mbona sasa mliishia kupewa kishika uchumba.
 
Back
Top Bottom