Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

Mbona kwenye kashfa ya Tegeta Escrow kampuni ya kiingereza ya SFO iliibua madudu? Mbona PwC/E &Y ilichunguza kashfa ya Richmond na kuibua madudu. In fact madini yetu huwa yanakaguliwa na kampuni za nje maana kwenye biashara za kimataifa lazma uwe na global recognized firms kusimamia soko kma SGS. Nani ataamini ripoti ya Mruma ilihali hata maabara kubwa za kijiolojia hatuna? Na ndio maana hata kesi za kibiashara zinaenda ICSID ili kuwepo na neutrality otherwise kila nchi ingevutia kwake mashauri hayo.

Hata CCM ilani yake imeandikwa na wasomi wa nje kutokea Ghana na wengine uchina n.k sasa ukidhani uzalendo ni kuchukua mtanzania tu bila ya experience wala uweledi then utakua na shida kubwa sana.

Kingine mambo ya sayansi methodology zinafahamika so kama mtu akidanganya una uwezo wa kufuata methodology aliyoandika pale na utapata majibu ya kuprove. So hta makinikia kma ingekuja taasisi huru pengine ingekua neutral kuliko kina Mruma coz tyr Rais alikua ana majibu kabla ya uchunguzi so wasingeweza dissapoint.
Wao walishatuomba lini tukawaibulie kashfa zao?
Science science, ipi hiyo ambayo sisi wafrica tumeshindwa kui copy mpaka tue delee kuwa tegemezi kwa kiwango hiki? Ninyi ndugu zetu ndiyo vikwazo vikubwa kwa bara letu na ukute ndiyo mnaotuamulia mambo yetu kwa pretext kuwa hakuna anayeweza kwakua ninyi mkiji asses hamuwezi.....Achieni watanzania wanaoweza waingie na muone mambo yanavyobadilika!

Daah mtu unaumia mpaka unaona roho inataka kutoka
 
Bora hiyo brainwashing ambayo imeacha physical assets kuliko hizi zingine ambazo zinaishia kuwaona binadamu waki nawari wao na vizazi vyao huku the rest wakiendelea kuwa beggars!
Kwahiyo unavyojidanganya kizazi chako wewe ni sawa na kizazi kilichokuwa kwenye circle ya JPM?!

Btw, hizo physical assets kaanza kuacha yeye?! Hao wengine walioacha walim-brainwash nani?!
 
Kwahiyo unavyojidanganya kizazi chako wewe ni sawa na kizazi kilichokuwa kwenye circle ya JPM?!

Btw, hizo physical assets kaanza kuacha yeye?! Hao wengine walioacha walim-brainwash nani?!
Una cheti fake au? Mbona kama vile una kisasi ambacho huwezi kukilipiza?

Safisha kwanza moyo wako ndipo sa utagundua shida zako hazihusiani na marehemu muache apumzike
 
Wao walishatuomba lini tukawaibulie kashfa zao?
Science science, ipi hiyo ambayo sisi wafrica tumeshindwa kui copy mpaka tue delee kuwa tegemezi kwa kiwango hiki? Ninyi ndugu zetu ndiyo vikwazo vikubwa kwa bara letu na ukute ndiyo mnaotuamulia mambo yetu kwa pretext kuwa hakuna anayeweza kwakua ninyi mkiji asses hamuwezi.....Achieni watanzania wanaoweza waingie na muone mambo yanavyobadilika!

Daah mtu unaumia mpaka unaona roho inataka kutoka
Hivi kwani tenda kuhusu huu mradi wa LNG ilitangazwa na utawala wa nani? Na hata hiyo mnayoizungumzia kirahisi rahisi kwamba software ya ku-monitor umeme kwani ilitangazwa utawala upi?
 
Na trilioni 450 tumuulize nani 😀? As far as I know hao kazi yao ni kukagua vitabu tu lakini Rais Mzalendo na Team yake ya akina Kabudi ndio walitakiwa kuhakikisha Capital Gains Tax inalipwa kwa sababu walikuwa kwenye mchakato mzima kuanzia hatua ya kwanza hadi ya mwisho!!
Ha ha haaa! Mkuu nadhani unamuonea sana, Mheshimiwa Kabudi. Ninachojua (labda nitapata ueleweshaji baadaye) Mheshimiwa Kabudi (Mbunge), wakati huo alikiwa anaongoza timu ya majadiliano kwa niaba ya mteja (serikali ya Tanzania).

Timu ya Mheshimiwa Kabudi ilivyomaliza kazi ya majadiliano na kufanikiwa kuweka makubaliano yaiyofikiwa mezani kwa mteja. Ilikuwa wajibu wa mteja kupitia Waziri mwenye dhamana ya mambo ya kodi kufuatilia jambo hilo. Sijui kwa nini unamkingia kifua muhusika mkuu. Ha ha haaa!
 
Una cheti fake au? Mbona kama vile una kisasi ambacho huwezi kukilipiza?

Safisha kwanza moyo wako ndipo sa utagundua shida zako hazihusiani na marehemu muache apumzike
Typical JPM Supporter! Wengi wenu ni weupe na reasoning level yeni ni ya chini mno, na ndo maana hamna "hoja" mnazokimbilia:-

1. Ulikuwa unaishi kwa kupiga madili
2. Utakuwa mwathirikla wa vyeti feki
3. Mna chuki na JPM
4. Kibaraka wa mabeberu!!

Yaani hamna ubavu wa kujenga hoja, na hapo ndipo mnapojibanza!

So, kukujibu swali lako: NDIYO, NINA VYETI FAKE, NA NIMEATHIRIKA SANA NA KAMPENI ZA MZALENDO MAGU ZA KUTOANDOA KAZINI SIE TULIOKUA NA VYETI FAKE!

Jibu sasa nilichokuuliza!!!
 
Ha ha haaa! Mkuu nadhani unamuonea sana, Mheshimiwa Kabudi. Ninachojua (labda nitapata ueleweshaji baadaye) Mheshimiwa Kabudi (Mbunge), wakati huo alikiwa anaongoza timu ya majadiliano kwa niaba ya mteja (serikali ya Tanzania).

Timu ya Mheshimiwa Kabudi ilivyomaliza kazi ya majadiliano na kufanikiwa kuweka makubaliano yaiyofikiwa mezani kwa mteja. Ilikuwa wajibu wa mteja kupitia Waziri mwenye dhamana ya mambo ya kodi kufuatilia jambo hilo. Sijui kwa nini unamkingia kifua muhusika mkuu. Ha ha haaa!
Kabudi na Governmen Team sijawaonea hata chembe kwa sababu, kama utakumbuka moja ya makubaliano ya majadiliano yale ilikuwa ni kuizika Acacia! Unaizika vipi Acacia kama sio kwa ku-transfer shares ownership?

Na kwavile hizo shares zilikuwa minority shareholders, ina Majority Shareholders alilazimika kuzinunua!! Haya mambo yote yalifahamika zaidi na Team Kabudi kuliko hao wengine! Ni Team Kabudi ndio ilitakiwa kuiarifu wizara husika kwamba tumefikia makubaliano ya kuiua Acacia kwahiyo hakikisheni kodi yetu mnachukua in case kutakuwa na uuzaji wa shares!!
 
Hivi kwani tenda kuhusu huu mradi wa LNG ilitangazwa na utawala wa nani? Na hata hiyo mnayoizungumzia kirahisi rahisi kwamba software ya ku-monitor umeme kwani ilitangazwa utawala upi?
Nani kaongelea utawala? Uwe utawala gani haiondoi ukweli is not proper...Mimi siongelei tawala naongelea the act regardless of utawala...
 
Typical JPM Supporter! Wengi wenu ni weupe na reasoning level yeni ni ya chini mno, na ndo maana hamna "hoja" mnazokimbilia:-

1. Ulikuwa unaishi kwa kupiga madili
2. Utakuwa mwathirikla wa vyeti feki
3. Mna chuki na JPM
4. Kibaraka wa mabeberu!!

Yaani hamna ubavu wa kujenga hoja, na hapo ndipo mnapojibanza!

So, kukujibu swali lako: NDIYO, NINA VYETI FAKE, NA NIMEATHIRIKA SANA NA KAMPENI ZA MZALENDO MAGU ZA KUTOANDOA KAZINI SIE TULIOKUA NA VYETI FAKE!

Jibu sasa nilichokuuliza!!!
Ofcourse with no doubts I am how about you? Am CCM typical blood inside out I am supporting the CCM ideology siyo nyingine yeyote anayeenda na ideology ya kujitegemea nitamsupport na yeyote atakayeenda against sintomsupport kwakua atakuwa ametudanganya wana CCM kwakua atakuwa ametumia chama chetu kupenyeza personal interest na siyo yale tunayoamini!
 
Ofcourse with no doubts I am how about you? Am CCM typical blood inside out I am supporting the CCM ideology siyo nyingine yeyote anayeenda na ideology ya kujitegemea nitamsupport na yeyote atakayeenda against sintomsupport kwakua atakuwa ametudanganya wana CCM kwakua atakuwa ametumia chama chetu kupenyeza personal interest na siyo yale tunayoamini!
Sijakuuliza habari za wewe kuwa CCM...

Nilichokuuliza ni hiki hapa:-
Kwahiyo unavyojidanganya kizazi chako wewe ni sawa na kizazi kilichokuwa kwenye circle ya JPM?!

Btw, hizo physical assets kaanza kuacha yeye?! Hao wengine walioacha walim-brainwash nani?!
 
Nani kaongelea utawala? Uwe utawala gani haiondoi ukweli is not proper...Mimi siongelei tawala naongelea the act regardless of utawala...
Hapa chini ambapo ni BOLD RED VS BOLD BLACK ulikuwa una-compare ni nini?
Bora hiyo brainwashing ambayo imeacha physical assets kuliko hizi zingine ambazo zinaishia kuwaona binadamu waki nawari wao na vizazi vyao huku the rest wakiendelea kuwa beggars!
Au ndo kama huyu jamaa hapa chini anayejiona kajificha kwa kuficha kichwa chini ya ardhi huku kiwili wili chote kikiwa nje?
 
Sijakuuliza habari za wewe kuwa CCM...

Nilichokuuliza ni hiki hapa:-
Nikujibu ili iweje kwamfano...Punguza stress kwanza ukishatulia rudi kutafuta jibu lako mbona lipo hapo
 
Hapa chini ambapo ni BOLD RED VS BOLD BLACK ulikuwa una-compare ni nini?

Au ndo kama huyu jamaa hapa chini anayejiona kajificha kwa kuficha kichwa chini ya ardhi huku kiwili wili chote kikiwa nje?
So what?
 
Good, coz you know it, and I know it that, the "so what" up there is just another way of admitting your failure to answer the question! It's not like you don't know the answer but you're aware the answer will unbury your head and become clear even to yourself that you can't be invisible only by burying your head alone!

So, stay blessed!
 
Good, coz you know it, and I know it that, the "so what" up there is just another way of admitting your failure to answer the question! It's not like you don't know the answer but you're aware the answer will unbury your head and become clear even to yourself that you can't be invisible only by burying your head alone!

So, stay blessed!
Una matatizo sana why should I bury my head? If thats what you think whats a problem? Sipendagi kuwa rude ila kwa mt7 wa jinsi yako I wonder why I feel its okay!
 
Una matatizo sana why should I bury my head? If thats what you think whats a problem? Sipendagi kuwa rude ila kwa mt7 wa jinsi yako I wonder why I feel its okay!
Hivi unajua maaana ya mtu kuwa rude? Au hujaelewa kilichoandikwa?
Hongera kujua hilo mapema....We upo form form two nadhani😂😂😂
Thubutu yangu, ndo kwanza nipo Darasa la Sita... anything else?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hivi kwani tenda kuhusu huu mradi wa LNG ilitangazwa na utawala wa nani? Na hata hiyo mnayoizungumzia kirahisi rahisi kwamba software ya ku-monitor umeme kwani ilitangazwa utawala upi?
Kutangazwa sio hoja ila kandarasi zimetolewa lini ndio hoja.
 
Back
Top Bottom