Hivi uadui wa uisilamu na USA upo kweli? Ulitokana na nini?

Hivi uadui wa uisilamu na USA upo kweli? Ulitokana na nini?

Ugomvi wa Marekani na baadhi ya nchi za mashariki ya kati ni wakimasilahi zaidi wala hauna uhusiano wowote na dini.

Kinacho iponza mashariki ya kati ni mafuta na gesi yake basi.

Marekani linapo kuja kwenye suala la maslahi huwa haangalii usoni kwa sababu yapo mataifa kibao ambayo hayana uhusiano na Uislam yamesha vurugwa na Marekani na kusababisha mauaji makubwa sana.

Siku zote unapo kuwa na sera zinazo hatarisha maslahi yake basi ww ni adui yake haijalishi ni dini gani.

Hata hii Israel mnayo ona inadekezwa kama mtoto siku akijitia kuleta kiburi na kufanya mambo yanayo hatarisha maslahi ya Marekani inaweza geukwa na msiamini.
 
Si KWELI HAYA MANENO ...
USA adui yake MKUBWA uislam coz unapingana na machafu Yao wanatoyaeneza,,

Tishio kubwa duniani inayozuia ajenda zao ni Uislam,,,
Unataka kuzungumzia Ushoga na Usagaji ambao kihistoria umeanzia Middle East?

Hata Afrika utaukuta pwani, Mombasa, visiwani
 
Si KWELI HAYA MANENO ...
USA adui yake MKUBWA uislam coz unapingana na machafu Yao wanatoyaeneza,,Kila kukicha wako bize kupanga vitimbi dhidi ya uislam

Tishio kubwa duniani inayozuia ajenda zao ni Uislam,,

Na vitimbi haviakuanza Leo soma SURAT Nuhu utapata ufahamu mkubwa
Uislam haumiliki technology Wala viwanda Wala silaha unakuaje tishio Sasa.
Wakati kuna base za USA uarabuni
 
Waislam ni dini inayopigania haki za binaadam. Amerika hawataki hivyo
Kama inapigania haki mbona waislamu wanauana wenyewe kwa wenyewe huko Somalia, Sudan, Nigeria, Pakistan Burkina Faso,Mali hao alshababu,bokoharamu mbona wanatumia dini ya kiislamu sijaona waislamu mkiwakemea hawa watu zaidi blame nyingi mnaelekeza kwa wayahudi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kama inapigania haki mbona waislamu wanauana wenyewe kwa wenyewe huko Somalia, Sudan, Nigeria, Pakistan Burkina Faso,Mali hao alshababu,bokoharamu mbona wanatumia dini ya kiislamu sijaona waislamu mkiwakemea hawa watu zaidi blame nyingi mnaelekeza kwa wayahudi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Ktk dunia hii ya mchanganyiko wa di i hayo yatatokea. Hata ukiangalia Vatican swala ubakaji wa watoto limeshika kasi kwa makasisi. Sasa utasema ukiristo una support ubakaji huo?
 
Uislamu originally ni dini ya waarabu.

Uislamu unafundisha ugaidi (jihadism).

Waislamu hawataki kuchangamana na watu wa dini zingine, wakichangamana tu na watu wa dini nyingine wanajihisi kuonewa,kubaguliwa, kunyanyaswa hivyo wanaanza harakati za kujitetea; visasi kwa njia ya ugaidi.

Waarabu ndio wako msatari wa mbele kuitetea dini yao, wanahisi tu dini yao inadharauliwa na kukashfiwa; hivyo wanamtetea Allah ambaye ndiye Mungu wa waarabu.

Bahati mbaya sana, waarabu ndio watu pekee wasio wastaarabu hapa duniani. Wao kuua mtu au kijiua wenyewe kwa ajili ya Allah ni jambo la kawaida sana.

Sasa mtu anayetetea imani yake kwa shari, ugomvi na uhalifu,dawa yake ni kupigwa tu. Waarabu siyo watu wa kuchekea, ni wa kupiga tu. Na ndicho anachokifanya US.
 
Si KWELI HAYA MANENO ...
USA adui yake MKUBWA uislam coz unapingana na machafu Yao wanatoyaeneza,,Kila kukicha wako bize kupanga vitimbi dhidi ya uislam

Tishio kubwa duniani inayozuia ajenda zao ni Uislam,,

Na vitimbi haviakuanza Leo soma SURAT Nuhu utapata ufahamu mkubwa
Kwanini
Si KWELI HAYA MANENO ...
USA adui yake MKUBWA uislam coz unapingana na machafu Yao wanatoyaeneza,,Kila kukicha wako bize kupanga vitimbi dhidi ya uislam

Tishio kubwa duniani inayozuia ajenda zao ni Uislam,,

Na vitimbi haviakuanza Leo soma SURAT Nuhu utapata ufahamu mkubwa
USA anaeneza uchafu gani? Huo uchafu una maslahi gani kwa USA Hadi atumie gharama kubwa??
Kwanini ni waarabu nasio waislamu wa bara Hindi? (Ukanda
 
Kwanini

USA anaeneza uchafu gani? Huo uchafu una maslahi gani kwa USA Hadi atumie gharama kubwa??
Kwanini ni waarabu nasio waislamu wa bara Hindi? (Ukanda
Hivi HII fitna na neno ugaidi imeanzia wapi?

Wateswaji wa hii fitna ni waraabu TU? Hapa tulipo waislamu wangapi wapo magerezani Kwa kisingizio Cha ugaidi?

Doctor Zakir Naik kafukuzwa India kisa ugaidi AO hujui?
 
Uislamu ni dini safi.

Ila waarabu wanaharibu dini ya uislam ndo mana USA hataki uislam wa uarabuni ila turkey na nchi zingine hauna shida kwao
 
Hivi HII fitna na neno ugaidi imeanzia wapi?

Wateswaji wa hii fitna ni waraabu TU? Hapa tulipo waislamu wangapi wapo magerezani Kwa kisingizio Cha ugaidi?

Doctor Zakir Naik kafukuzwa India kisa ugaidi AO hujui?
Ni fitna tena!? Hivi Al shababu ,Al qaida ,Boko Haram ,Isis etc ni magaidi au waislamu safii?
 
Vita zinazotokea Mashariki ya Kati huwa inaelezwa chanzo ni USA, sababu ni chuki dhidi ya Uisilamu.

Kwanini uisilamu? Kwanini isiwe Waarabu bali ihesabike ni Uislamu? Mbona kuna nchi za kiislamu hazina migogoro mfano; Indonesia, Malasyia na hata Turkey?

Kwanini USA ichukie Uislamu na sio dini zingine kama budha na Hindu?

Kwanini migogoro ya Kiarabu inapewa Sura za Dini?

Tujadilini hoja tu.
Fuatilia kwanza utafahamu tu.

Mafano dollar yao imeandikwa “In God We Trust”

Na waislam wanasema “There is no God but Allah”
 
Marekani asilimia kubwa ya mapato ni wizi wa mafuta na ulaghai tu
Middle East yupo kwa maslahi tu ya mafuta
Jambazi sugu hilo
 
Back
Top Bottom