Ni ufinyu tu wa akili.90% ya waislamu Tz,wanaamini USA inachukia uislamu kisa uislamu unakataza ushoga..
Ndio maana nkauliza Kuna ukweli hapo?
Saud Arabia ndio rafiki mkuu wa marekani Qatar ni puppet wa marekani , Israel anatoa support kwa Azerbaijan (nchi ya kiislamu) kuwadunda Armenia (nchi ya kikristo) ubepar hauna dini wao ni Hela tu sasa wewe danganywa uko na masheikh wako wa darasa la saba90% ya waislamu Tz,wanaamini USA inachukia uislamu kisa uislamu unakataza ushoga..
Ndio maana nkauliza Kuna ukweli hapo?
Ni kwa sababu watu wengi hawasomi,hawafatilii historia na hawajui jinsi dunia inavyo operates especially cultural,economically na politically.Shida sio dini Wala race yao bali ni rasilimali walizonazo? Ni kwanini Sasa kila mtu huwa anataka kuhusisha dini na huu mgogoro?
Kwani ukristo ulieneaje duniani,si kwa nguvu hivyo hivyo sasa hapo utofauti ni nini?.Ni kweli hayo Makundi yanaundwa na USA kwani ni uongo??Hao waislam waliounda hayo makundi ya kigaidi wanaamini kwamba Marekani ni kikwazo cha mkakati wao wa "Global Jihad Mission" kufaulu. That's all.
Wanaamini kwamba wanaweza wakaeneza imani yao kwa nguvu duniani na kushurutisha wote waamini katika imani yao kitu ambacho hakiwezekani na ikifika hapo hata hao warussia na wachina wanaowasifia mara kwa mara hawawezi kukubali huo upumbavu.
Sio Saud Arabia ya MBSSaud Arabia ndio rafiki mkuu wa marekani Qatar ni puppet wa marekani , Israel anatoa support kwa Azerbaijan (nchi ya kiislamu) kuwadunda Armenia (nchi ya kikristo) ubepar hauna dini wao ni Hela tu sasa wewe danganywa uko na masheikh wako wa darasa la saba
Na je USA hakuna waislam wanaotokea nchi za kiarabu?Vita zinazotokea Mashariki ya Kati huwa inaelezwa chanzo ni USA, sababu ni chuki dhidi ya Uisilamu.
Kwanini uisilamu? Kwanini isiwe Waarabu bali ihesabike ni Uislamu? Mbona kuna nchi za kiislamu hazina migogoro mfano; Indonesia, Malasyia na hata Turkey?
Kwanini USA ichukie Uislamu na sio dini zingine kama budha na Hindu?
Kwanini migogoro ya Kiarabu inapewa Sura za Dini?
Tujadilini hoja tu.
Huo ni uongo ,mbona wanazuia wakristo kujenga makanisa huko uarabuni na wakristo wa huko wanasali kwa kujificha,dini yenu hiyo ni ya mihemko na chuki kubwa kwa wasio waislamuWaislam ni dini inayopigania haki za binaadam. Amerika hawataki hivyo
Waislam ni dini inayopigania haki za binaadam. Amerika hawataki hivyo
Taja mtume mmoja alietoka Nchi za Magharibi
Iraq ni nchi za magharibi sawa na Libya. Masjid Aqswa ni msikiti wetu wa 3 waislam
Ugomvi wa Marekani na baadhi ya nchi za mashariki ya kati ni wakimasilahi zaidi wala hauna uhusiano wowote na dini.
Kinacho iponza mashariki ya kati ni mafuta na gesi yake basi.
Marekani linapo kuja kwenye suala la maslahi huwa haangalii usoni kwa sababu yapo mataifa kibao ambayo hayana uhusiano na Uislam yamesha vurugwa na Marekani na kusababisha mauaji makubwa sana.
Siku zote unapo kuwa na sera zinazo hatarisha maslahi yake basi ww ni adui yake haijalishi ni dini gani.
Hata hii Israel mnayo ona inadekezwa kama mtoto siku akijitia kuleta kiburi na kufanya mambo yanayo hatarisha maslahi ya Marekani inaweza geukwa na msiamini.
Marekani asilimia kubwa ya mapato ni wizi wa mafuta na ulaghai tu
Middle East yupo kwa maslahi tu ya mafuta
Jambazi sugu hilo
Unajidanganya sana. Waislamu wataurudisha ktk himaya yaoMsikiti wa mchongo hauna muda mrefu utabomolewa na hekalu la wayahudi litajengwa.
Hahahaaa. Kumbe? Wewe akili zako sawa za AITanzania tuna mtume mwamposa anafanya makubwa kuliko hata mudi mzee wa pedophilia.
90% ya waislamu Tz,wanaamini USA inachukia uislamu kisa uislamu unakataza ushoga..
Ndio maana nkauliza Kuna ukweli hapo?
Vita zinazotokea Mashariki ya Kati huwa inaelezwa chanzo ni USA, sababu ni chuki dhidi ya Uisilamu.
Kwanini uisilamu? Kwanini isiwe Waarabu bali ihesabike ni Uislamu? Mbona kuna nchi za kiislamu hazina migogoro mfano; Indonesia, Malasyia na hata Turkey?
Kwanini USA ichukie Uislamu na sio dini zingine kama budha na Hindu?
Kwanini migogoro ya Kiarabu inapewa Sura za Dini?
Tujadilini hoja tu.
Saud ni mali yake binafsi yeye na ukoo wake MBSSio Saud Arabia ya MBS
Hakuna Yesu aliyezaliwa Palestina. Yesu alizaliwa Bethlehemu, Israeli.Adam kazaliwa mashariki ya Kati
Yesu kazaliwa Palestina uarabuni
Mtume wetu kazaliwa Makka
Hakuna mtume aliezaliwa Vatican. Kama unae mlete hapa. Hujui kitu unashabikia kama unashabikia ngoma