markp
Senior Member
- Sep 26, 2013
- 194
- 327
Kwa wataalamu wa mambo ya sanaa pamoja na sayansi ya uandishi wa habari napenda mtujulishe kazi zao zina mipaka kiasi gani kwa viongozi wa nchi?
Habari zinazoandikwa na kuripotiwa ni zile zinazojitokeza zenyewe tu by nature hakuna habari za uchunguzi za kisiasa.
wanachunguza mambo ya afya za wanadamu utafikiri wao ni madaktari, habari za michezo utadhani wanamiliki timu
Linapofikia kuchunguza au kuuliza maswali magumu na muhmu kwa viongozi wa serikali wanaogopa kama watuhumiwa.
Unakuta habari zimeenea kwenye mitandao ya kijamii mfano wa hili la naibu spika kugombea uspika wakati bado amehodhi nafasi yake ya unaibu. Waandishi wanapajua nyumbani kwake wanajua ofisi yake ilipo wanashindwaje kwenda tu kumuuliza swali ambalo linawasumbua wananchi mjini na vijijini?
Maswala ya haki za muungano kwa bara na visiwani imekuwa mjadala kwenye mitandao na mitaani kuna tetesi kuwa mama anapendelea hivi wandishi wa habari.
Hawana aksesi ya kuuliza mambo kama hayo kwa viongozi ili kupata majibu.
Matokeo ya watu kupewa kesi za ugaidi au uhujumi uchumi ni uzembe wa waandishi wa habari utadhani hawana umoja.
Mwandishi wa habari anashindwa kuhoji kero za wananchi kwa viongozi wa serikali wanaona ni kazi ya wapinzani na wabunge. Matokeo yake mpinzani akihoji na vile anaitwa mpinzani anapewa mkesi wa ugaidi.
Mbunge akihoji anatakiwa ajiudhuru mwananchi ukihoji unapotezwa au kuwekwa kwenye kiroba unatupwa baharini ukome.
Mwandishi wa habari ni mtu wa kipekee anayeweza kupenya popote na kuleta majibu kwa wananchi ili kuuza habari. Wetu hawa wanatoa ripoti zisizo na ripoti.
Habari zinazoandikwa na kuripotiwa ni zile zinazojitokeza zenyewe tu by nature hakuna habari za uchunguzi za kisiasa.
wanachunguza mambo ya afya za wanadamu utafikiri wao ni madaktari, habari za michezo utadhani wanamiliki timu
Linapofikia kuchunguza au kuuliza maswali magumu na muhmu kwa viongozi wa serikali wanaogopa kama watuhumiwa.
Unakuta habari zimeenea kwenye mitandao ya kijamii mfano wa hili la naibu spika kugombea uspika wakati bado amehodhi nafasi yake ya unaibu. Waandishi wanapajua nyumbani kwake wanajua ofisi yake ilipo wanashindwaje kwenda tu kumuuliza swali ambalo linawasumbua wananchi mjini na vijijini?
Maswala ya haki za muungano kwa bara na visiwani imekuwa mjadala kwenye mitandao na mitaani kuna tetesi kuwa mama anapendelea hivi wandishi wa habari.
Hawana aksesi ya kuuliza mambo kama hayo kwa viongozi ili kupata majibu.
Matokeo ya watu kupewa kesi za ugaidi au uhujumi uchumi ni uzembe wa waandishi wa habari utadhani hawana umoja.
Mwandishi wa habari anashindwa kuhoji kero za wananchi kwa viongozi wa serikali wanaona ni kazi ya wapinzani na wabunge. Matokeo yake mpinzani akihoji na vile anaitwa mpinzani anapewa mkesi wa ugaidi.
Mbunge akihoji anatakiwa ajiudhuru mwananchi ukihoji unapotezwa au kuwekwa kwenye kiroba unatupwa baharini ukome.
Mwandishi wa habari ni mtu wa kipekee anayeweza kupenya popote na kuleta majibu kwa wananchi ili kuuza habari. Wetu hawa wanatoa ripoti zisizo na ripoti.