Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jibu ulilompa hatawaza ujinga tena.Kwa lugha nyepesi wewe uliolewa na baba Yako. Duniani mama aliyekuzaa hawezi ruhusu litokee hata asipokwambia Kwa nini!!!.
Kuna wengine pia wanazalishwa mapema mwisho wa siku wanajikuta wanakuja kugombania mabwana na watoto wao.mambo ya kuzaa mpk watoto wanalingana na wajukuu huo ni uzwazwa
Sio mimi ni jirani mama ake kaja kuwasalimia sasa kuna siku huyo dada akasikia huyo mama anadai matumizi ya mdogo wake na katika kudaiNa kuna usemi huo alisikia mtoto wako amara anadaiwa ada ndio nimekuja kama baba yake utoe .Wewe na mama yako mmepishana miaka mingapi?
Sio mimi jamani hilo shutu la huyu jirani yangu ni kweli mama ndio alianza ila huyo dada hakuwa anaufahamu hadi majuzi hapa .Kama Mama alianza kuzaa nae kabla wewe kuolewa nae...
Wewe na Mumeo na Mama ni washenzi...
Kama wewe ulianza kuolewa alafu mama akafuata kuzaa na mumeo...
Mumeo na mama yako ni washenzi...
Unamkubali ila mume mwachie mamaHivi ukija jua mdogo wako tena kipenzi ni mtoto wa mume wako ambaye amezaa na mama yako utafanyaje?
Naomba ushauri positive not negative.
View attachment 2090994
Yaani mtu na mkwewe wazae?...sio rahisi..... wewe na mama yako mmepishana miaka mingapi?Hivi ukija jua mdogo wako tena kipenzi ni mtoto wa mume wako ambaye amezaa na mama yako utafanyaje?
Naomba ushauri positive not negative.
View attachment 2090994
Hatari sanaSio mimi ni jirani mama ake kaja kuwasalimia sasa kuna siku huyo dada akasikia huyo mama anadai matumizi ya mdogo wake na katika kudaiNa kuna usemi huo alisikia mtoto wako amara anadaiwa ada ndio nimekuja kama baba yake utoe .
Unatulia,unamezea na maisha yanaendeleaHivi ukija jua mdogo wako tena kipenzi ni mtoto wa mume wako ambaye amezaa na mama yako utafanyaje?
Naomba ushauri positive not negative.
View attachment 2090994
Yani umeolewa na baba yako mzazi au mm uelewa wangu ndo umefika mwisho???Hivi ukija jua mdogo wako tena kipenzi ni mtoto wa mume wako ambaye amezaa na mama yako utafanyaje?
Naomba ushauri positive not negative.
View attachment 2090994
Hili ndio jawabu. Ibakie siriInakuwa siri ya familia, maisha yanaendelea...
Dont complicate life.