Hivi ukija kujua hili kama wewe utafanyaje?

Hivi ukija kujua hili kama wewe utafanyaje?

Kama Mama alianza kuzaa nae kabla wewe kuolewa nae...
Wewe na Mumeo na Mama ni washenzi...

Kama wewe ulianza kuolewa alafu mama akafuata kuzaa na mumeo...
Mumeo na mama yako ni washenzi...
 
mambo ya kuzaa mpk watoto wanalingana na wajukuu huo ni uzwazwa
Kuna wengine pia wanazalishwa mapema mwisho wa siku wanajikuta wanakuja kugombania mabwana na watoto wao.
Unakuta mtu na mamake wamepishana miaka 14.
 
Huyo mtoto na ww nan kamkuta mwenzie kwa huyo mwanaume (yan naomba kujua umri wa mtoto na umri wa mahusiano yako na huyo mme wako) nisije toa ushauri kumbe wewe ndio uliibi mme wa mama ako
 
Wewe na mama yako mmepishana miaka mingapi?
Sio mimi ni jirani mama ake kaja kuwasalimia sasa kuna siku huyo dada akasikia huyo mama anadai matumizi ya mdogo wake na katika kudaiNa kuna usemi huo alisikia mtoto wako amara anadaiwa ada ndio nimekuja kama baba yake utoe .
 
Kama Mama alianza kuzaa nae kabla wewe kuolewa nae...
Wewe na Mumeo na Mama ni washenzi...

Kama wewe ulianza kuolewa alafu mama akafuata kuzaa na mumeo...
Mumeo na mama yako ni washenzi...
Sio mimi jamani hilo shutu la huyu jirani yangu ni kweli mama ndio alianza ila huyo dada hakuwa anaufahamu hadi majuzi hapa .
 
Sio mimi ni jirani mama ake kaja kuwasalimia sasa kuna siku huyo dada akasikia huyo mama anadai matumizi ya mdogo wake na katika kudaiNa kuna usemi huo alisikia mtoto wako amara anadaiwa ada ndio nimekuja kama baba yake utoe .
Hatari sana
 
Aisee Kama uko resi umelewa huwezi kuelewa hii thread Ina mix ubongo
 
Hapo hakuna cha kufanya ni kuachana nalo tu hilo jambo maana uki focus nalo linalotokea linaweza lisielezeke
 
Back
Top Bottom