Jamani wandugu, tunavyopita kuchovya chovya tuwe makini na hizi dhambi maana dunia imekaribia stendi.
Tukio 1. Jamaa karudi kwake usiku mkubwa ile kaingia bafuni meseji imeingia. Wife kasoma meseji " mpenzi umeshafika? Asante, ,leo umenito*****mba vizuri sana nimeinjoi kweli. Ila angalia dogo asijue" wife kuangalia namba, ni ya mama yake.
Tukio 2. Lori driver kakutana na ka binti katika ruti zake, kakapelekea bakora. Badae katika story za kufahamiana, dogo anataja jina lake kamili , dereva wa lory anashangaa jina ni lake, kuuliza jina la mama yake, mzee ni demu wake wa siku nyingi na anajua wana mtoto ila hakuwahi kumuona. Hapo tayari mama na mtoto wa damu wameliwa.