Hivi ukipatwa na msiba wa kifamilia, ni baada ya kipindi gani ndio wakati sahihi wa kufanya mapenzi?

Hivi ukipatwa na msiba wa kifamilia, ni baada ya kipindi gani ndio wakati sahihi wa kufanya mapenzi?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee?

maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji.

au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee kupita kiasi, upwiru au laana?🐒
 
au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee?

maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji.

au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee kupita kiasi, upwiru au laana?🐒
Hata haina muda kaka wewe kuwa mwepesi tu .
Aliyekufa kafa hawezi kuzuia shughuli nyingine
 
au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee?

maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji.

au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee kupita kiasi, upwiru au laana?🐒
Hndomolaa kaka .maisha n sex
 
Hamna sehemu rahisi kupata tendo la ndoa kama msibani.
Halafu una huzuni, Sasa dawa yake nzuri ni kufanya mapenzi.
 
Inategemea na connection aliyonayo mfiwa kwa marehemu.
Kuna mtu anaweza kufariki kwenye familia akawaacha waliobaki kwa maumivu makali Sana especially Kama huyo mtu ndo aliyekuwa breadwinner wa familia husika.

Sasa kwa maumivu hayo aliyowaacha nayo unadhani mtu atatoa wapi hisia za kufanya mapenzi?
Mtu atahitaji muda wa kutosha aomboleze roho itulie ndo aweze kuendelea na Mambo mengine Kama hayo.
 
Inategemea na connection aliyonayo mfiwa kwa marehemu.
Kuna mtu anaweza kufariki kwenye familia akawaacha waliobaki kwa maumivu makali Sana especially Kama huyo mtu ndo aliyekuwa breadwinner wa familia husika.

Sasa kwa maumivu hayo aliyowaacha nayo unadhani mtu atatoa wapi hisia za kufanya mapenzi?
Mtu atahitaji muda wa kutosha aomboleze roho itulie ndo aweze kuendelea na Mambo mengine Kama hayo.
Sikubaliani na Hilo.
Sema inategemea na nani anataka kukupa penzi. Kuna wanawake akikutumia text uje kutunukiwa, huchomoki.
Na hiyo huondoa majonzi kulikoni mchango wa mshikaji wa elfu kumi au kusaidia kuchanja kuni.
 
Back
Top Bottom