Hivi ukipatwa na msiba wa kifamilia, ni baada ya kipindi gani ndio wakati sahihi wa kufanya mapenzi?

Hivi ukipatwa na msiba wa kifamilia, ni baada ya kipindi gani ndio wakati sahihi wa kufanya mapenzi?

Waulize wanaccm wenzako mbumbumbu , SHENZI KABISA, unapata Msiba alafu unawaza ngono ngono, na unakuta huyo wkaufanya naye ngono ,umepatana naye hapohapo msibani.
gentleman?

hii ndio inaitwa kwenye starehe kijiko kimefikaje? au nyumba ya shetani mwendawazimu kaingiaje?🐒
 
Hawajaguswa moyoni hao...ngoja afe yule mtu kipenzi chako either mtoto au mzazi huo uchungu wake mbona chululu haisimami
 
au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee?

maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji.

au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee kupita kiasi, upwiru au laana?🐒
Haina shida ni maamuzi yako tuu maana wwngine huko huko msibani ndo tunapata mademu au namba
 
Marehemu akipelekwa mortuary, chukua mke mfanye
 
au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee?

maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji.

au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee kupita kiasi, upwiru au laana?🐒
Ukiona mtu ànaleta kisingizio mgonjwa huyo,
 
Sasa kwani marehemu kaondoka na uume/uke wako.

Yani kama nyege zikiruhusu kabla hata hamjazika ukipata fursa unanjuna tu.

Kuna wengine starehe zao za faraja ni ngono tu, haijalishi ni wapi na saa ngapi.
 
Inategemea na connection aliyonayo mfiwa kwa marehemu.
Kuna mtu anaweza kufariki kwenye familia akawaacha waliobaki kwa maumivu makali Sana especially Kama huyo mtu ndo aliyekuwa breadwinner wa familia husika.

Sasa kwa maumivu hayo aliyowaacha nayo unadhani mtu atatoa wapi hisia za kufanya mapenzi?
Mtu atahitaji muda wa kutosha aomboleze roho itulie ndo aweze kuendelea na Mambo mengine Kama hayo.
Sasa kuna mmoja aliumwa, mke akavumilia ni ugonjwa baada ya mwaka mdogo wake akadariki, sasa kisingizio anamsiba mpaka 🤣🤣 mwaka wa Tano, mke wa marehemu Hadi ameshapata bwana, sasa huyo mke sahizi anaomba taraka asepe.
 
Waulize wanaccm wenzako mbumbumbu , SHENZI KABISA, unapata Msiba alafu unawaza ngono ngono, na unakuta huyo wkaufanya naye ngono ,umepatana naye hapohapo msibani.
Mbona makasiriko sana 🤣, sasa wengi akisafiri na misiba huko majumbanj ni tia maji tia maji kwahiyo huko ndiko wanapata fursa akirudi kwake mwepesi huyo mvivu akae na uvivu wake.
 
au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee?

maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji.

au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee kupita kiasi, upwiru au laana?🐒
Mkuu pole sana kwa kuondokewa na mpendwa wako.
 
Kwa wazazi wote wawili zingatie miezi 6 ya ziwa lakwanza linalokuwezesha kuona na maisha mengine.....ONYO usikosee
 
Back
Top Bottom