Hivi ukipatwa na msiba wa kifamilia, ni baada ya kipindi gani ndio wakati sahihi wa kufanya mapenzi?

Hivi ukipatwa na msiba wa kifamilia, ni baada ya kipindi gani ndio wakati sahihi wa kufanya mapenzi?

Msibani huwa kuna mademu wazuri alafu hawana makeup
 
au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee?

maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji.

au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee kupita kiasi, upwiru au laana?🐒
Machawa hamstahili kula mzigo
 
umenikumbusha mbali kuna manzi yangu mmoja nilikuwa nataka mchezo wiki 3 mbele baada ya kufiwa na baba yake akawa ananiambia subiria 40 ipite, kwakuwa namjua nilimgusa sehemu mbili tatu shughuli ikaisha kesho yake akasema nimembaka
 
Inategemea na connection aliyonayo mfiwa kwa marehemu.
Kuna mtu anaweza kufariki kwenye familia akawaacha waliobaki kwa maumivu makali Sana especially Kama huyo mtu ndo aliyekuwa breadwinner wa familia husika.

Sasa kwa maumivu hayo aliyowaacha nayo unadhani mtu atatoa wapi hisia za kufanya mapenzi?
Mtu atahitaji muda wa kutosha aomboleze roho itulie ndo aweze kuendelea na Mambo mengine Kama hayo.
wengine wanaweza kuwa na connection kubwa na marehemu lakini wakipata kile kitendo wanapata relief nzuri zaidi especially kwa women
 
Nyege haijui huzuni.

Ukipata fursa kula mzigo.
 
au haina uhusiano na wala hakuna muda muafaka? au mazingira yakiruhusu tu kazi iendelee?

maana naona mambo haya yanaendelea tu hadi msibani, na tena wengine ndio fursa kabisaa ya kuchepukia, si wafiwa wala waombolezaji.

au ni roho ngumu, watu hawana uchungu na wapendwa wao, ujasiri wa kipekee kupita kiasi, upwiru au laana?🐒
Kwani hayo mapenzi utafanya na marehemu? Kama nibu ni ndiyo basi muda mzuri ni kabla ya mazishi.
 
Back
Top Bottom