Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Nipo pumziko ya week moja standard 7 wanahitimu alhamisi Ivo matichel twala Bata....mwenye nafasi aje anichukue kesho jumatatu tafadhali.......

Turudi kwenye mada,najua kupenda kupo Tena kunachukua nafas kubwa moyoni...Sasa nilitaka nijue kuwa kumpenda mtu ni fimbo Yaan ni lazima uteseke,udharaulike,unyanyasike na huyo umpendae? Yaan ana dalili zote hakupendi,na una dalili zote unaforce mapenz na kuaminika kwake...je ni lazima unyanyasike ndo uprove unapenda? Yaan huwezi kusepa ila unaweza kuvumilia dharau...kwani lazima upitie hayo?
Jipende wewe zaidi. Binadamu ni the most selfish..... Ukimpenda anakudharau anachukulia kama ni udhaifu
 
Screenshot_20220917-072304_Quora.jpg

Siku saba za bata zinaisha lini Beesmom ?
 
Watu humu kwa kuonesha misimamo ya ajabu ajabu hamjambo. Et penda kushoto mara nini. Ninyi semeni mnatamani na mnakua na watu msiowapenda basi. Ila upendo wa kweli hauwezi kujigawa wala kupretend. Yaan upende haswa then ujigawe acheni uongo bana.

Dear Sister pole. Ndio maisha kwa Kadri muda unavyoenda utakua Sawa. Usiogope kupenda ila kua makini na nani wa kumpenda.
 
Subiri wapungue PM kwanza, af ntakuja nkutoe ukapigwe upepo mwanana ufukweni.
Swali la kizushi, mwili wa kuvalia swim suit unao kwanza?
Pm wapo wachache sana hivyo waweza kumchukua nafasi, kuhusu mwili wa swim suit Sina niwe mkweli usije umbuka hata kuoga nami🤦
 
Watu humu kwa kuonesha misimamo ya ajabu ajabu hamjambo. Et penda kushoto mara nini. Ninyi semeni mnatamani na mnakua na watu msiowapenda basi. Ila upendo wa kweli hauwezi kujigawa wala kupretend. Yaan upende haswa then ujigawe acheni uongo bana.

Dear Sister pole. Ndio maisha kwa Kadri muda unavyoenda utakua Sawa. Usiogope kupenda ila kua makini na nani wa kumpenda.
🤣🤣🤣So unasema haiwezekani kupenda kiupande upande mkuu
 
Pm wapo wachache sana Ivo waweza kumchukua nafasi,kuhusu mwili wa swim suit Sina niwe mkweli usije umbuka hata kuoga nami🤦
Hilo wala lisikupe shida kuhusu mwili. Ushaniambia kitambo kuwa wewe ni futi 5. Hicho ndo muhim kwangu.
Jiandae na mabegi nakuja chap kwa haraka.
 
Hilo wala lisikupe shida kuhusu mwili. Ushaniambia kitambo kuwa wewe ni futi 5. Hicho ndo muhim kwangu.
Jiandae na mabegi nakuja chap kwa haraka.
Sawa, nakusubiri... kikubwa usije niambia nirudi home.. nikija ndio nimekuja jumla
 
Back
Top Bottom