Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Hakuna kitu kigumu mno kama ukishndwa kubalance shobo kwenye mapenzi..halafu unapendaje mtu kiasi hiko? hebu achana na jambazi ilo
 
Ukipenda lazima unyanyasike,ukipendwa lazima unanyanyase full stop
 
The Icebreaker ushauri wako tafadhali😔
Kuna watu wakipendwa sana wanachukulia kua ni udhaifu wa anayewapenda,wana anza kujiona kama vile labda wao wapo level fulani ya juu kuliko anayewapenda,

Mapenzi ni hisia,huwezi mlazimisha mtu awe na feeling na jambo fulani,mapenzi huanzia kwenye mioyo ya wapendanao kisha inafuata kupendana physical,

Kila mtu amepangiwa partner wake,utampata akupendae na utasahau yote uliyoyapitia,

Mapenzi yametesa watu wengi sana,mapenzi yameua watu,take easy and enjoy ur life.
 
Kuna watu wakipendwa sana wanachukulia kua ni udhaifu wa anayewapenda,wana anza kujiona kama vile labda wao wapo level fulani ya juu kuliko anayewapenda,

Mapenzi ni hisia,huwezi mlazimisha mtu awe na feeling na jambo fulani,mapenzi huanzia kwenye mioyo ya wapendanao kisha inafuata kupendana physical,

Kila mtu amepangiwa partner wake,utampata akupendae na utasahau yote uliyoyapitia,

Mapenzi yametesa watu wengi sana,mapenzi yameua watu,take easy and enjoy ur life.
Likewise ❤️❤️❤️❤️
 
Back
Top Bottom