Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na uhamisho nakutafutia iwe JUMLA KWELIKWELISawa,nakusubiri ...kikubwa usije niambia nirudi home ..nikija ndo nimekuja jumla
Mimi pia nimeongopa mkuu nipo KinondoniNimeongopa mkuu,mi mbeya one huku
Yeah!🤜ndo mpango, mapenz ni ujingaujinga tu
Nipo hapa naangalia mwelekeo tu,uzuri wa mambo haya majibu yake Huwa hayachelewi kabisaNashaur:
Tuliza akili kwanza, unachotaka kikifanya hapo Aya ya kwanza Huenda kikakugharimu Sana.
Badala ya faraja yanaweza geuka majuto makuu
🤣🤣🤣eti mateso bila chukiKabinti kale nilikapendaga sana moyoni bila kujijua na nikiwa na Kila sababu ya kutokumfanya wangu-cha ajabu mpaka huruma nilikuwa nakaonea , nikaja kugundua imekuwa ngumu kutenganishana ndiyo nateseka kwa Sasa hivi.
Aiseee mapenzi yamechanganyikana na mateso- ni mateso bila chuki Sasa hivi 😅😅😅😅
Ndiyo laa pombe, mbona kitandani uwa hivyo hivyo kuna baadhi wakipiga kimoja chali kama vile ndiyo mwisho wa safari.Mi nikinywa dompo kizibo kimoja chali
Njoo Lushoto basi uje upunge upepo.😔nimesema wa kunibeba kesho
Mapenzi 1 mstari wa 15
Wenye mapenzi ya dhati walikuwa adam na hawa wengine kaa mguu pande mguu sawa