Na uhamisho nakutafutia iwe JUMLA KWELIKWELISawa,nakusubiri ...kikubwa usije niambia nirudi home ..nikija ndo nimekuja jumla
Mimi pia nimeongopa mkuu nipo KinondoniNimeongopa mkuu,mi mbeya one huku
Yeah!🤜ndo mpango, mapenz ni ujingaujinga tu
Nipo hapa naangalia mwelekeo tu,uzuri wa mambo haya majibu yake Huwa hayachelewi kabisaNashaur:
Tuliza akili kwanza, unachotaka kikifanya hapo Aya ya kwanza Huenda kikakugharimu Sana.
Badala ya faraja yanaweza geuka majuto makuu
🤣🤣🤣eti mateso bila chukiKabinti kale nilikapendaga sana moyoni bila kujijua na nikiwa na Kila sababu ya kutokumfanya wangu-cha ajabu mpaka huruma nilikuwa nakaonea , nikaja kugundua imekuwa ngumu kutenganishana ndiyo nateseka kwa Sasa hivi.
Aiseee mapenzi yamechanganyikana na mateso- ni mateso bila chuki Sasa hivi 😅😅😅😅
Ndiyo laa pombe, mbona kitandani uwa hivyo hivyo kuna baadhi wakipiga kimoja chali kama vile ndiyo mwisho wa safari.Mi nikinywa dompo kizibo kimoja chali
Njoo Lushoto basi uje upunge upepo.😔nimesema wa kunibeba kesho
Mapenzi 1 mstari wa 15
Wenye mapenzi ya dhati walikuwa adam na hawa wengine kaa mguu pande mguu sawa