Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳Dada,yaan mtu anaonyesha matendo yote anakudanganya then nijiaminishe ananipenda🤣🤣 Nahisi nimeshindwa aiseeJifunze kujipenda, kuwa selfish, sio dhambi kuwa selfish.
Kingine have positive imagination, we amini unapendwa, Kama hakupendi shauri zake....na Kama yeye hakupendi kuna wengine wanakupenda.
Adam ndiye aliyempenda Hawa ila Hawa alimpenda Zaidí Nyoka na kutamani kuonyeshwa njia ya kuwa kama Mungu Ili akirudi Nyumbani amtawala Adam au awe Sawa Naye mana alichoka na mambo ya Adamu ya kumtajataja Mungu na kumsifia Mungu.Mapenzi 1 mstari wa 3
Usipende kupitiliza utajitesa bure
Mapenzi 1 mstari wa 15
Wenye mapenzi ya dhati walikuwa adam na hawa wengine kaa mguu pande mguu sawa
Sinyanyaswi,,sinyanyasi…Kabla ya kulala...
Toa muongozo, wewe hakuna anayekunyanyasa au unayemnyanyasa kimapenzi...
Pole....Ila mapenzi hayashaurikiii, yakikuzidia utafanya maamuzi🤣 sie majirani tupo tumekaa pale chini ya mti, we pambana nayo!😳Dada,yaan mtu anaonyesha matendo yote anakudanganya then nijiaminishe ananipenda🤣🤣 Nahisi nimeshindwa aisee
Hakika🤜Tafuteni pesa.Money is not everthing in a relationship. Money is the only thing.
Ukiwa na pesa hutanyanyasika kimapenzi.Utegemezi ndio unaleta manyanyaso.Hasa wanaume akijua umempenda na unamtegemea basi atakunyanyasa.Economic freedom is the key.Hatakushobokea ovyo.
Niruhusu nimnyoshe...Yaani huyo ni mbabe adi namuogopa
Hachelewi kukurushia sufuria la uso
Naomba nikunyanyase...Sinyanyaswi,,sinyanyasi…
ShindwaaaaNaomba nikunyanyase...
Naomba nikupige tukio mbele ya macho yako...Shindwaaaa
Ila siwezi kulegea hata nikishindwa...Shindwaaaa
Nipige tu 😂😂Naomba nikupige tukio mbele ya macho yako...
UmelegeaIla siwezi kulegea hata nikishindwa...
Mh!! Mwanaume analegeaje macho...Umelegea
Angalia hayo macho