Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Hivi ukipenda ni lazima unyanyasike?

Kuteseka ndio mapenzi yenyewe sasa
Kuna mdada nilianza kulipenda Na kumuonesha mapenzi miezi michache iliyopita, likawa linanipotezea, halinijali wala nini, mara ooh liko busy, ila kwa vile mm Saa ingine mm hutumia ubongo kuwaza, kwa body language za yule mdada niligundua pale sina mtu, sahivi nikiwa na hamu ya kuongea nae nampigia simu kinafiki huku namzomea, ili kumjulia hali, Saa ingine anapokea saa ingine hapokei simu, nikasema ningependa kijinga, si mwanzo wa kunywa sumu Evelyn Salt Beesmom
 
Nipe mitaa yako Beesmom natoka mbalizi hivi

Naelewa hali unayopitia pole sana , haina haja ya kujistress maisha ni haya haya na watu ni hawa weka huyu leo akizingua fanya haraka uweke mwingine

Sema neno nipate kupita hapo ulipo tuondoke tukajisaulishe shida hizi za dunia.
🤣Unataka ukanimwagie?
 
Kuna mdada nilianza kulipenda Na kumuonesha mapenzi miezi michache iliyopita, likawa linanipotezea, halinijali wala nini, mara ooh liko busy, ila kwa vile mm Saa ingine mm hutumia ubongo kuwaza, kwa body language za yule mdada niligundua pale sina mtu, sahivi nikiwa na hamu ya kuongea nae nampigia simu kinafiki huku namzomea, ili kumjulia hali, Saa ingine anapokea saa ingine hapokei simu, nikasema ningependa kijinga, si mwanzo wa kunywa sumu Evelyn Salt Beesmom
Mjinga huyo
 
Haha usimwite mjinga dada wa watu hana makosa, kutonipenda ndo asili yake, ni sawa umtukane jogoo kwasababu anawika, unaetukana utakua unakosea, hata mm kumnafikia dada wa watu nakosea.. ilitakiwa nimkaushie tu Beesmom
Sahihi Kabisa usemayo
 
Kuteseka kwenye mapenzi ni gharama au sadaka unayoitoaa,,Tenga mda wako kamsiklze dizasta vina
 
Tafuteni pesa.Money is not everthing in a relationship. Money is the only thing.
Ukiwa na pesa hutanyanyasika kimapenzi.Utegemezi ndio unaleta manyanyaso.Hasa wanaume akijua umempenda na unamtegemea basi atakunyanyasa.Economic freedom is the key.Hatakushobokea ovyo.
Unaweza ukatafuta pesa na kuzipata.

Ila ukanyanyasika vile vile
Mara nyingi anaye nyanyasika ni yule ambaye pendo limemzidia au kwa kifupi aliyependa kupitiliza.

Pendeni kwa akili ila msizizarau hisia zenu ili muweze kufurahisha nyoyo zenu.
 
Unaweza ukatafuta pesa na kuzipata.

Ila ukanyanyasika vile vile
Mara nyingi anaye nyanyasika ni yule ambaye pendo limemzidia au kwa kifupi aliyependa kupitiliza.

Pendeni kwa akili ila msizizarau hisia zenu ili muweze kufurahisha nyoyo zenu.
🤣nibalance shobo yaan🤝
 
Kuna watu wakipendwa sana wanachukulia kua ni udhaifu wa anayewapenda,wana anza kujiona kama vile labda wao wapo level fulani ya juu kuliko anayewapenda,

Mapenzi ni hisia,huwezi mlazimisha mtu awe na feeling na jambo fulani,mapenzi huanzia kwenye mioyo ya wapendanao kisha inafuata kupendana physical,

Kila mtu amepangiwa partner wake,utampata akupendae na utasahau yote uliyoyapitia,

Mapenzi yametesa watu wengi sana,mapenzi yameua watu,take easy and enjoy ur life.
😭Bado natembea na hili rafiki yangu🙏
 
Back
Top Bottom