Uliandika comment wakati muda huo nalia Ivo nikakosa Cha kukujibu rafiki,but Santee Kwa ushauri
Unalia nini shida mshikaji wangu, we tatizo upendwe tu, hebu chukua elfu 10 yako nunua kuku upike supu ya kuku kwa chapati zitafune, shushia na juice ya parachichi, mix na ndizi usagie maziwa utanishukuru kesho kutwa.
Hakupendi yeye kuna wengine wanakupenda, yaani jitu lisilokupenda kikuumize ifike hatua uumwe ama ukufe uwape shida na mawazop wenye kukupenda, acha huo upuuzi mamii
Tena acha mara moja
Ye nani kwani, umezaliwa nae, mapacha waakati mwingine hawapendani itakuwa nyinyi we wa Mbeya ue wa kasulu sijui hukk😂
Kwani ye ndio wa kwanza, hujawahi kupenda na ukapita hivi maisha yakaendelea,
Ye ndio kashika pumzi zako.
Piga chini fanya mengine.
Ye ana umuhimu kuliko wanao? Ana umuhimu kuliko wazazi wako?