Hivi umewahi kuhisi kuna upendeleo wa baadhi ya watoto kwenye familia yenu?

Nashukuru wazazi wangu waliweza kubalance hiyo hali. Tupo wa 4 lkn sijawahi hisi nani anapendwa zaidi. Tumekuwa treated equally kwenye kila kitu.
Now nina Mtoto mmoja tu mapenzi yote yapo kwake.
 
Shukrani sana Da'Vinci kwa mifano hai, ila hapo mwishoni pamenichekesha, enwei, msalimie 'roho yako' I'm praying akuwe smart kama kaka yake..!
 
Mungu azidi kukupigania ndugu yangu, akakujaze faraja ya kweli itokayo kwake, hilo nalo litapita, jipe moyo mkuu...!
 
you have to be thankful hata kuipata hiyo nafasi ya kudeka deka, wenzio wanaitamani na hawaipati ujue, Heshima imfikie Baba yako hakika.!
 
Udhaifu mkubwa sana kwa mzazi kuonyesha upendo wa wazi kwa mtoto mmoja na kuwa ignore wengine. My two kids nitahakikisha hakuna atakayejua ni yupi anapendwa zaidi ya mwenzake. I'll balance my love kwao.
A huge Amen to that, na Mungu azidi kukusaidia uendelee kuwa Baba bora kaka mkubwa.!
 
Nashukuru wazazi wangu waliweza kubalance hiyo hali. Tupo wa 4 lkn sijawahi hisi nani anapendwa zaidi. Tumekuwa treated equally kwenye kila kitu.
Now nina Mtoto mmoja tu mapenzi yote yapo kwake.
aaaw'...!
Mshukuru Mungu ulipata wazazi bora kabisa..! I can't imagine kanavyodeka kenyewe..!
 
It differs from one parent to another. Other kids, relatives and neighbours may suspect but without 100% assurance.

Ule upendo huwa haufichiki BAK ujue, mzazi anajikaza weeh' ila anateleza tu na ghafla dunia inajua fav child ni yupi,
 
Basii vitoto vinavyojua vinapendwa huwa vinajua kudeka, huwa huvimbi kweli Cvez.??
 
Ila daudi alipendwa Sana na MUNGU japokuwa alikuwa mtata sana

Na yeye alielewa pia ni jinsi gani MUNGU anampendelea
 
nisiwe muongo huwa siwezi kuvumilia nikiona mtoto hata wa miaka mitatu kasoro ananyonyeshwa😁😁😁

I imagine ningekuwa ndugu yako ningepata feelings za kukubutua mara ngapi kwa siku

ila pole mkuu kwa kumpoteza mother, Mungu amlaze mahali pema πŸ™πŸ™
 
Hii topic muhimu sana na ina ukweli mwingi tu sema si rahisi sana kuielezea vizuri.
Mie pia ni muathirika wa hii kitu, nilikua karibu sana na Baba kuliko Mama, japo Baba alitupenda wote.

Baada ya yeye kutangulia mbele za haki nikawa nimebaki sina pa kushika.
 
Amen Dear.

It applies to most things in life actually.

Kitu kikiwa common una adapt tu, hakuna maajabu.

Lakini hata unavyo mtaja huyo mtoto wa pili inaonyesha kabisa mambo yake ya kulia lia na utundu yanakukera, unatumia hili toto...litundu...wakati wa kwanza hata kumtaja unachagua kwa umakini herufi za kutumia.
 
Leo niende personal maana mada imenigusa

Kuna kuona mtu flani anapendwa kitu ambacho kwangu ni kawaida ila kuna kubaguliwa

mzazi kukuchukulia kama of low class, yaani ndugu yako yoyote anaona anakumudu maana mkienda kwa mzazi ni nadra kuwa balanced na kukaa upande wako hata kama unaonewa

yaani nilibaguliwa na kuoneshwa LIVE, imagine mpo sebuleni ndugu zako wanaomba hela ya nguo wanapewa bila shaka ila wewe unaomba hela ya masomo ya ziada school tena cheaper mara hata 100 lakini unanyimwa kwa kejeli na ndugu zako wanakucheka

ilikuwa worse than that !!

Ila imenijenga kuwa mtu wa kutopenda misaada kirahisi au vitu vya bure. I fight on my own, kheri nipate buku nisonge ugali nile kuliko kumuomba mtu 100k ambayo anaweza kunipa

Kingine nampenda first born wetu, Alinionesha kunipenda sana na alikuwa karibu kuniprotect. ile Ukinigusa ujiandae kupambana nae na 90% ya kupigana kwake home sababu ni mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, Japo ni kivuruge hatari ila kama kuna mtu dunia hii najua ananipenda without a doubt bhasi ni yeye and i love him sana sana sanaaaa

nimeshakuwa emotional ngoja niishie haps 😁
 
ni baraka sana kama amekuja kutulia ukubwani, hivi ninyi hiyo hali haikuwasumbua kabisa.?
Haikusumbua kabisa maana Mimi na last born tukawa kipenzi cha baba,naona Mzee nae aligundua mkewe ana mpenda sana bro.ndio alikuja kutulia saivi katika watoto yeye ndo msomi zaidi na kazi pesa nzuri,wakati alikua ndo mkorofi zaidi ya wote,nunda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…