Michael Rweikiza
Member
- Oct 6, 2017
- 53
- 24
Mzinzi,huwez kumwona Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si umuache?Unazani mwanzon anakua hakupend au na we we humpend tatzo ukisha oa tu ndio mabadirko yanapojionyesha ambapo mwanzo havukuwepo
Haya mambo ya ndoa ni kuomba Mungu akupe mtu mnayefanana. Ni kama mchezo wa bahati nasibu, kama mdogo wako anateswa na mumewe basi yupo mwanaume vike vile anateswa na mkewe kama mdogo wako.Sasa kwann usimwambii mwenzio kama humpend ili ajue na yy aanzishe maisha yake anaweza pata mtu atakae mpenda kuliko unavyomfanyia kumbuka huyo mchepuko wako nae ukimuoa utajikuta unamuona wakaida na hutompenda ...siku zote mapenz ya uhawara huwa hayaishi hamu hata mkae miaka 20 sababu kila mtu yupo kwake mkikutana kila mtu anakua hot hamjagusana kitu kimelegea ila ndoa uvumilivu mwenzio anashinda na wtt kaz za nyumban zote Zake stress kwenda mbele na bado mda wa tendo huwez kumpa maneno matamu yakumsahaulisha stress zake we ukigusa kiuno ukiona halegei unaweka mate unamaliza mchezo ..kwa stail hyo utamchukia mkeo maisha yako yote ...wanaume weus hamjui kuwapet pet wake zenu ni wabinafsi mnajijali nyie tu.
Maskini weeh!Duh mm mmoja wao yaan I hate my wife. Sijawahipiga picha naye toka tumeoana, nikitoka naye out mara chache sana toka tumeoana over 9yrs nishatoka nae mara 4 huwa natafuta sababu yyt either tukae mada mfupi sana, ama naondoka namwacha na watoto. Mchepuko ndo naupenda balaa, nimekaa nao for 4yrs umegoma kuzaa nanmm eti mme wa mtu, juzi juzi ikabidi niuteme, ss una mimba ila bado nauoenda s\na tu na kila siku lazima tuongee. Na wenyewe unanipenda kufa kupona.na wala si kwa sababu ya kunichu la hasha hata huwa simhudumii kivile
ambao wanapenda michepuko, wapo katika hiyo ratio ukilinganisha na walio wengi...Liroooooo, ndo nini hiyo?
Unaweza kukuta mumeo ni mjaluo ...unajitia kuponda weusi wakat wanaume weupe unaona dyudyu zao kwenye v.deo za pono tu. Ushawahi hata kudate msomali ukaona utofauti? Tuondolee stress zako za kuolewa hapa!! ShwainSasa kwann usimwambii mwenzio kama humpend ili ajue na yy aanzishe maisha yake anaweza pata mtu atakae mpenda kuliko unavyomfanyia kumbuka huyo mchepuko wako nae ukimuoa utajikuta unamuona wakaida na hutompenda ...siku zote mapenz ya uhawara huwa hayaishi hamu hata mkae miaka 20 sababu kila mtu yupo kwake mkikutana kila mtu anakua hot hamjagusana kitu kimelegea ila ndoa uvumilivu mwenzio anashinda na wtt kaz za nyumban zote Zake stress kwenda mbele na bado mda wa tendo huwez kumpa maneno matamu yakumsahaulisha stress zake we ukigusa kiuno ukiona halegei unaweka mate unamaliza mchezo ..kwa stail hyo utamchukia mkeo maisha yako yote ...wanaume weus hamjui kuwapet pet wake zenu ni wabinafsi mnajijali nyie tu.
Mweeh hili chogo huku sasa[emoji85] [emoji85] [emoji85]. To God be the Glory[emoji120] [emoji120]Heaven Sent is one brilliant, no quest.
To top it, she's an awesome Baddass gal!
I SUPPORT THIS AND TOTALLY BUY YOUR COMMENTS...NO DOUBT NO LOAN IT'S 100%
Mweeh hili chogo huku sasa[emoji85] [emoji85] [emoji85]. To God be the Glory[emoji120] [emoji120]
hahaaaah hahahaaa duuuhhhAisee ni kweli kuna wakati unamuangalia mkeo na kujiambia nilibugi step.
yaaani ndio maana watu wengi wanatumia fake ID humu ..imagine mke wahuyo Jamaa kama angekuwa anaona hayo maneno aliyoyaongea mkewe...dadeq dunia inamambo hiiSasa kwann usimwambii mwenzio kama humpend ili ajue na yy aanzishe maisha yake anaweza pata mtu atakae mpenda kuliko unavyomfanyia kumbuka huyo mchepuko wako nae ukimuoa utajikuta unamuona wakaida na hutompenda ...siku zote mapenz ya uhawara huwa hayaishi hamu hata mkae miaka 20 sababu kila mtu yupo kwake mkikutana kila mtu anakua hot hamjagusana kitu kimelegea ila ndoa uvumilivu mwenzio anashinda na wtt kaz za nyumban zote Zake stress kwenda mbele na bado mda wa tendo huwez kumpa maneno matamu yakumsahaulisha stress zake we ukigusa kiuno ukiona halegei unaweka mate unamaliza mchezo ..kwa stail hyo utamchukia mkeo maisha yako yote ...wanaume weus hamjui kuwapet pet wake zenu ni wabinafsi mnajijali nyie tu.
hata wanawake weusi nao nikabali mkuuNdio ...tumeoana mwaka wa 7 huu lkn kila cku kama mmeoana leo ...lkn mdg wangu mwaka wa 2 kwenye ndoa tyr malalamiko kibao
hahaasa hahaaaa nimecheka mpaka mtaa mzima umeskia yaani...kwahiyo hata juice now days waiskia kwa radioahhh maisha magumu haya shoga tuwazage kutafuta tu hela mengine mbwembwe!yaan ukitaka unikere andika kama hvyo !hahahahahaha
ngoja afikisike ndio atakuja kuitambua thamani ya familia yakeKama ni kweli usemayo, unafanya mambo ya kipumbavu sana mkuu.
Thamini mke mchepuko ni mapito tu.
Upendo ni pamoja na uvumilivuMtu mmekutana mkiwa mnamiaka kuanzia 20 au 30....mmekaa kidogo mmeoana.....ulikua unahisi umemuelewa kumbe ndo hata asilimia 1 hukufika..ukikaa nae unaona mambo mengi ya ndani ambayo huyajui....upendo wa kudumu utatoka wapi hapo?.
Watu kwenye ndoa wanavumiliana tu na kupotezea..hamna jipya...
Kudefine neno upendo ni kazi sana.
Wapo wanaochagua mnoo na bado wanapata koroma... Mda mwingine jitose ukiridhika na mtu, utajua mengine mbeleniTatizo ni kuwa watu hawaamini kuwa ndoa huja kwa wakati MUAFAKA (mara lipatikanapo chaguo sahihi) na sio kwa sababu umefikia umri au hatua fulani ya maisha. Wengi zaidi ya 90% huoa/kuolewa kwa sababu ya shinikizo la jamii. Yaani akiona agemates wake wanaoana wanaisha na jamii inaanza kumuuliza wewe lini basi anaolewa/anaoa (na yeyote anayekuja mbele yake) na majuto yanaanza MARA TU baada ya kiapo cha ndoa.
Tatizo mnataka binadamu awe na sifa nzuri tuuu wakati hali halisi mtu anakua na tabia nzuri na mbaya...ishi ukifurahia mema yake zaidi yamulike kuliko mabaya utamfurahia hata the worst person..Yani ukisikia ninge huja likishatokea,kipind namuoa nilijua nimepata kwel,mpole,msikivu,mwelewa,ushung 24hrs after kuoa tu sio mapichapicha hayo gubu,wivu Wa kijinga usisalimiane na Jirani ohh demu wako haijarish at a awe bibi.kinacho nisikitisha ananyota ya kupotze mwanzo mwisho,Ila ndo ivo nishakubal matokeo.
Umechangia vizuri, Umeharibu uliposema wanaume weusi Fanya tafiti au ulizia Tabia za hao weupe ujue, usiamini tamthiliya. Usimuamini mtu kutokana na rangi yake. Jaribu kufuatilia Maisha ya dada zetu waliochukuliwa na wanaume happy weupe na Kuishi nao ughaibuni, utapata majibu.Sasa kwann usimwambii mwenzio kama humpend ili ajue na yy aanzishe maisha yake anaweza pata mtu atakae mpenda kuliko unavyomfanyia kumbuka huyo mchepuko wako nae ukimuoa utajikuta unamuona wakaida na hutompenda ...siku zote mapenz ya uhawara huwa hayaishi hamu hata mkae miaka 20 sababu kila mtu yupo kwake mkikutana kila mtu anakua hot hamjagusana kitu kimelegea ila ndoa uvumilivu mwenzio anashinda na wtt kaz za nyumban zote Zake stress kwenda mbele na bado mda wa tendo huwez kumpa maneno matamu yakumsahaulisha stress zake we ukigusa kiuno ukiona halegei unaweka mate unamaliza mchezo ..kwa stail hyo utamchukia mkeo maisha yako yote ...wanaume weus hamjui kuwapet pet wake zenu ni wabinafsi mnajijali nyie tu.
Ushukuru mungu, Kuna wenzako wametendwa vibaya.Ndio ...tumeoana mwaka wa 7 huu lkn kila cku kama mmeoana leo ...lkn mdg wangu mwaka wa 2 kwenye ndoa tyr malalamiko kibao