Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 897
- 2,835
oooh asante mkuu 🙏✔✔✔
Asante sana mkuu.
Kuna mdau mmoja aliwahi pia kushare fursa ya kukodisha toroli kwaajili ya ujenzi.
Ni kweli na kama ukienda kuvinunua ukaja navyo wakajua unakodisha basiVitendea kazi Kama driller ya umeme,screwdriver,msumeno ya umeme,mafundi selemala wengi hawana mitaji ya kununua vifaa hivyo ama hawana access navyo bado wanatumia misumeno ya kutumia misuli,etc
mkuu naomba hapo ufafanue, kama kuna idea nyingine ya kuanza kutumia nguvukazi kwa tusio na kitu.kwann useme hauna mtaji mkuu angali upo hai na una afya njema?