Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hatuwezi juaHUU UZI AMEUONA NDUGU @MANENGELO,
LEJENDARI WA MIONGOZO??
TUANZIE HAPO KWANZA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu tutabadilika mkuuSharing is caring, ila watanzania wana uvivu wa asili, watayaacha hapa,hapa.
Hakika wote tungekuwa na mawazo kama haya, hawa wanaolilia ajira wasingekuepo.
Thanks nimeongeza kitu.
Nakuja mkuu,usijalimkuu naomba hapo ufafanue, kama kuna idea nyingine ya kuanza kutumia nguvukazi kwa tusio na kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
sawasawa mkuu usituchoke. na usituchoke pia.Nakuja mkuu,usijali
Kwa hio sawa. Fanya kama mwandishi alivyoshauri ila jua kwa asilimia kubwa, kama hautapata suluhisho ya hizo challenges nimezisema hapo LAZIMA MTAJI WAKO UTAUPOTEZA NA PIA BISHARA ITAFELI Tu. Simaanishi kuwa negative. Huo ni uhalisia tu. Mimi na experience kubwa tu katika kufanya investment Tanzania. Kwa hio sio kwamba nasema tu. Naandika kutokana na ujuzi wangu.
Hujaamua kutumia Ubongo wako mkuu ila naamini wewe ni Hatari na Noma zaidi yanguaisee CONTROLA we jamaa ni noma sanà!! ingawa mi mwenyewe ni mzee wa ma idea ila kwako nimenyoosha mikono!
Sent using Jamii Forums mobile app