Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Mbususu imesalimika kweli?
 
Wakuu huyu kashatoboa siri huku.
 
Mwanaume ni mwanaume tu πŸ˜„
Kwahyo atafanya ya kiuanaume. Mazoea yanapozidi ujue kuna kifuatacho. Uwe tu tayari
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]imenikuta hiii niko namtathimin bado huyu mwamba aiseeee
Tuwe tunakumbushana...sio unasubiri nimeshamwaga yote kisha unaniambia mimi fulani.
 
Enhee.. ikawaje sasa ukamtumia
 
Kuna huyo nilienda nae weee badae nikamuambia bwana mie fulani ahahaaa akasema alikuwa ananitania hapo kashaomba mtoko mara kibao shida nilikua mbali nae ningeonana nae kwa mara ya pili.
so unfair....Kama unanifahamu niambie toka mwanzo.
 
Hahaha, kumbe si ngumu sana!
Lakini mpaka hapo mlengwa ametoa ushirikiano mzuri, mfano nisipo jibiwa pm ugumu upo pale pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…