Mbususu imesalimika kweli?Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi
Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako
Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone β unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki π€£ lete namba nikutumie wasap
Wakuu huyu kashatoboa siri huku.Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi
Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako
Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone β unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki [emoji1787] lete namba nikutumie wasap
Hahaa eti eeMtuvumilie tu lengo ni lilelile, upendo
Labda iwe hivyo, lakini bado kwa nature ya hapa bado si vyepesi.Wanafanya mazingira yawe rahisi kwanza then wanatembeza mtongozo
NdioooNa namba zinakuwa tofauti au?
Mwanaume ni mwanaume tu πWanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi
Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako
Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone β unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki π€£ lete namba nikutumie wasap
Enhee.. ikawaje sasa ukamtumiaWanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi
Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako
Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone β unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki π€£ lete namba nikutumie wasap
Yalaaaah hapa ndani kuna watu muda wote kichwa cha dyudyu kinawasha.Umeshabadili ID yako inayojulikana na mwana JF fulani. Ukafungua ID nyingine akaja akakutongoza.
Wewe unamjua yeye anadhani ni member mpya au mwingine.
Unamalizanaje naye.....unamkwepa? unamuignore au unaenda naye hadi mwisho?
AhNdiooo
so unfair....Kama unanifahamu niambie toka mwanzo.Kuna huyo nilienda nae weee badae nikamuambia bwana mie fulani ahahaaa akasema alikuwa ananitania hapo kashaomba mtoko mara kibao shida nilikua mbali nae ningeonana nae kwa mara ya pili.
Kuna ile mnazoeana jukwaan kama hiv badae wanakuja pm. Mnaendelea kuwasiliana mbeleni wataomba namba za simu haya sasa kwa atakaetoa lolote linaweza kutokea.Labda iwe hivyo, lakini bado kwa nature ya hapa bado si vyepesi.
Ndio au we unaonaje?Hahaa eti ee
Hahaaa mi sijasema.Ah
Mbona huo sasa ni kind of utapeli [emoji23][emoji23]
kwa hiyo mkuu wewe mzigo hautoi?Wee nenda naye hadi mwisho... watu wanatongoza maghost, ngoja yaje kuwatokea ya kuwatokea.
Ila watu kwanini wanapenda kutongoza tongoza hovyo?
Tongoza ila unachokitaka, hukipati ng'oo [emoji41][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Unarudi kusoma comments zakeEnhee.. ikawaje sasa ukamtumia
Hahaha, kumbe si ngumu sana!Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi
Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako
Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone β unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki [emoji1787] lete namba nikutumie wasap