Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Hivi unapotongozwa na ID ya mtu mnayefahamiana huwa unafanyaje?

Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi

Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako

Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki [emoji1787] lete namba nikutumie wasap
naomba nimtag mwenye hii ID mpk na picha mlizotumiana[emoji854]
 
Tujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi

Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako

Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki 🤣 lete namba nikutumie wasap
Watu na experience zenu😀
 
Back
Top Bottom