Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Unavyopenda umbea sasa🤣🤣😂😂😂😂 bwana
Usifanye nirudie kusoma comments kwa umakini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavyopenda umbea sasa🤣🤣😂😂😂😂 bwana
Usifanye nirudie kusoma comments kwa umakini
Niko hapa nasubiri watu wakiazishiwa uzi na makaburi yao kufukuliwa 😬😂😂😂😂 bwana
Usifanye nirudie kusoma comments kwa umakini
We si umesema unalalaUnavyopenda umbea sasa🤣🤣
Na wao watatokezea kama misyuka huko kaburiniNiko hapa nasubiri watu wakiazishiwa uzi na makaburi yao kufukuliwa 😬
Kwan n vibaya?Unatongozwa na binti?
Sasa si unitongoze jamani?Kwan n vibaya?
Au mnathan hatunaga hisiya?
Dj djeeeeiiiii mlete Bujibuji na Ntongoze ya ray vannySasa si unitongoze jamani?
Not goodHahahhaaaa Jamani hizi keybord zingekuwa transparent tumuone mwamba alivyoloa
naomba nimtag mwenye hii ID mpk na picha mlizotumiana[emoji854]Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi
Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako
Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki [emoji1787] lete namba nikutumie wasap
Tulimalizana kimyakimya mkuuTabia mbaya
Ndugu yetu hapa aliishiwa pozi kabisa.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Utasutwa 😂naomba nimtag mwenye hii ID mpk na picha mlizotumiana[emoji854]
Jaman😂😂😂😆Lazma ni yule mwamba 🤣
[emoji28][emoji28][emoji28]bhana weweeUtasutwa [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]Tujifunzeni kuignore new iD.madhara ndo haya.Ilinitokea kwenye id ya Beesmom but uzuri wangu mi sicheleweshi au kuwa na tabia ya kila kinachotokea kumfungulia MTU thread,..nikamchana tu MI TO YEYE ULISHAWAHI NITONGOZA TAYARI.Rahisi kabisa and kimyakimya. Pia si kosa lake maana hajui that it's you
Hapana hua nalisikia tuDudu washa washa unalifahamu
Usijali,subiri msimu wa sikukuu 😄😄Sasa si unitongoze jamani?
Aaah Mungu atuhurumie.Wengine tunataka kutongoza kisha tuoe mkuu...
Watu na experience zenu😀Wanaanza kukuzoea jukwaani
Boom PM oh rafiki nakusabahi
Oh unaonekana uko charming sana kutokana na comments zako
Mara unapatikana wapi
Mmechat masaa ma3
Rafiki naomba nikuone ‘ unamwambia anza kutuma yako.
Anakwambia hii App ya jf inazingua picha haitoki 🤣 lete namba nikutumie wasap
Kidogo tu auntie 😆Watu na experience zenu😀