Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,433
- 3,210
Ukishaona unadharaulika sehem ujue kuna sehem ile heshima imepelekwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee umeongea vitu vya maana sanaDah mtu akiwa kiburi, mimi huwa mara 6 yake...sibabaikii uzuri wala kazi ya kiumbe yeyote anaeitwa mwanamke! Hueleweki, off you go, nanyenyekea wazazi na pesa tu hata kuvipigania inapobidi! Mkuu kumbuka mwanamke sio ndugu yako ni mshirika wa maisha, maana yake lazima mfurahie muunganiko wenu, otherwise hamna mtu hapo! Mimi nshamwambia wife pale ambapo atabadilika kuwa kero badala ya furaha tutaishia hapo.
Ni AOB.Sio lengo la thread kujadili mimi nikoje
Mkuu ni ujinga sana kuuza furaha yako kwa mtu/vitu...wife pisi ila cjawahi na sifikirii kumuonyesha kwamba siwezi ishi bila ya yeye, mimi mwanamke atakapoacha kuwa chanzo cha furaha, msimamo wangu huwa sijali mtoto cjui mdogo wala nyumba sijui nini, naanza upya kuitafuta furaha sehemu nyingne! Usiweke furaha yako hovyo kwa sababu ya sijui uzuri, kazi au vitu mlivyochuma as long as mzima na unaweza tafuta vingine! Mwanamke akishakusoma na akajua umejaa, atakuumiza!Aisee umeongea vitu vya maana sana
Yes na ndio kawaida ya mwanamke! Mwamba aachane tu huyo shemeji, mbona tushaachika sana na tunadunda na kupata wakali zaidiUkishaona unadharaulika sehem ujue kuna sehem ile heshima imepelekwa
Mpelekee Motoo
Basi hujapenda mkuu kutoka moyoniDah mtu akiwa kiburi, mimi huwa mara 6 yake...sibabaikii uzuri wala kazi ya kiumbe yeyote anaeitwa mwanamke! Hueleweki, off you go, nanyenyekea wazazi na pesa tu hata kuvipigania inapobidi! Mkuu kumbuka mwanamke sio ndugu yako ni mshirika wa maisha, maana yake lazima mfurahie muunganiko wenu, otherwise hamna mtu hapo! Mimi nshamwambia wife pale ambapo atabadilika na kuwa kero badala ya furaha tutaishia hapo.
Mfuko umejaa, unakula zako life utaona mapenzi ni ziadaTafuta hela kula maisha... Mapenzi yasizidi
akili..
nakazia
Hahahha mkuu nampenda sana mke wangu ila mapenz ya kuhisi cwezi ishi bila ya huyo nimpendae sina, au unaniletea upuuzi eti nampenda. Dah hiyo nawaachia wengine! Mim napenda sana mkuu na huwa nakaa na mwanamke mmoja tu huyohuyo, ila asinizingue! Hapa simaanishi kutokukosana kauli, hii inatokea lakini sio dharau au kiburi kwa kigezo cha uzuri au kazi yake, kwangu noBasi hujapenda mkuu kutoka moyoni
Asikwambie mtu mapenzi yanafedhehesha sana unaeza ukawa na mapesa lakini ukadharaulika na kitu kimoja tuu "MAPNZI"
Ila amini hivyo mkuu kuna wenzako kazi haziendi kisa Prisca kabadilika hataki pokea simu, kuna wenzako masomo hayaendi kisa mwajuma kamwambia mimi nawewe basi, kuna wenzako kwasasa wanashindia mipombe tuu kisa wametengwaHahahha mkuu nampenda sana mke wangu ila mapenz ya kuhisi cwezi ishi bila ya huyo nimpendae sina, au unaniletea upuuzi eti nampenda. Dah hiyo nawaachia wengine! Mim napenda sana mkuu na huwa nakaa na mwanamke mmoja tu huyohuyo, ila asinizingue! Hapa simaanishi kutokukosana kauli, hii inatokea lakini sio dharau au kiburi kwa kigezo cha uzuri au kazi yake, kwangu no
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ila amini hivyo mkuu kuna wenzako kazi haziendi kisa Prisca kabadilika hataki pokea simu, kuna wenzako masomo hayaendi kisa mwajuma kamwambia mimi nawewe basi, kuna wenzako kwasasa wanashindia mipombe tuu kisa wametengwa
"LOVE IS POWER"
Ni kweli kabisa, kuna kiumbe kinanitesa balaa kimeenda Tanga halafu hakipokei simu, hapa nilipo nina siku mbili sijapata usingizi kwa mawazo.Ila amini hivyo mkuu kuna wenzako kazi haziendi kisa Prisca kabadilika hataki pokea simu, kuna wenzako masomo hayaendi kisa mwajuma kamwambia mimi nawewe basi, kuna wenzako kwasasa wanashindia mipombe tuu kisa wametengwa
"LOVE IS POWER"
Najua humu wapo wanaJF waliowahi kukutana na aina hii ya wanawake ambao wenye vi tabia vya kiburi, dharau,kujisikia na majivuno either kutokana uzuli wao, kazi au anayoifanya n.k vinavyomfanya awe hivyo
Hebu tupeane ni jinsi gani ya kudeal na aina hii ya wanawake ambao hutupa changamoto mpka mtu unatamani kukimbia nyumba umwachie kila Kitu au muachane tuu ili ubaki na amani.
👍Tupo duniani kula raha,, so kama kitu hakikupi furaha na wewe ndio ulikichagua ina maana gani.??
Tafuta hela kula maisha... Mapenzi yasizidi akili..
Umemaliza kila kitu.Tafuta hela, story za kudharauliwa na upuuzi mwingine ni story za watu wasio na hela.
Unamuacha tu.Najua humu wapo wanaJF waliowahi kukutana na aina hii ya wanawake ambao wenye vi tabia vya kiburi, dharau, kujisikia na majivuno either kutokana uzuli wao, kazi au anayoifanya n.k vinavyomfanya awe hivyo
Hebu tupeane ni jinsi gani ya kudeal na aina hii ya wanawake ambao hutupa changamoto mpka mtu unatamani kukimbia nyumba umwachie kila Kitu au muachane tuu ili ubaki na amani.