Hivi unawezaje kudeal na mwanamke mwenye dharau, majivuno, kiburi na kujisikia akiwa kama mwanamke wako?

Hivi unawezaje kudeal na mwanamke mwenye dharau, majivuno, kiburi na kujisikia akiwa kama mwanamke wako?

Mkuu ni ujinga sana kuuza furaha yako kwa mtu/vitu...wife pisi ila cjawahi na sifikirii kumuonyesha kwamba siwezi ishi bila ya yeye, mimi mwanamke atakapoacha kuwa chanzo cha furaha, msimamo wangu huwa sijali mtoto cjui mdogo wala nyumba sijui nini, naanza upya kuitafuta furaha sehemu nyingne! Usiweke furaha yako hovyo kwa sababu ya sijui uzuri, kazi au vitu mlivyochuma as long as mzima na unaweza tafuta vingine! Mwanamke akishakusoma na akajua umejaa, atakuumiza!
Daa apo kwenye akikusoma akijua umejaa apo ndo balaa zito lazima akuue kama hutaondoka mapema
 
Dah mtu akiwa kiburi, mimi huwa mara 6 yake...sibabaikii uzuri wala kazi ya kiumbe yeyote anaeitwa mwanamke! Hueleweki, off you go, nanyenyekea wazazi na pesa tu hata kuvipigania inapobidi! Mkuu kumbuka mwanamke sio ndugu yako ni mshirika wa maisha, maana yake lazima mfurahie muunganiko wenu, otherwise hamna mtu hapo! Mimi nshamwambia wife pale ambapo atabadilika na kuwa kero badala ya furaha tutaishia hapo.
Ndugu ni watoto
 
Back
Top Bottom