Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
hii ni bayana man.Kama mwanamke amekupenda hawezi kukuletea jeuri..atakua na tabia mbaya kwa watu wengine huko ila akirudi kwako anakua mpole..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni bayana man.Kama mwanamke amekupenda hawezi kukuletea jeuri..atakua na tabia mbaya kwa watu wengine huko ila akirudi kwako anakua mpole..
Piga Kimya kimya na Tafuta AIR HOSTESS wa Lufthasa Air Line!! usiwe na maneno meeengi watoto wankua hao hakikisha unafanya kazi kwa kujituma akolee!! ili uanze kupiga safari za Dunian huko !! zingatia haya km siyo domo zege!!Najua humu wapo wanaJF waliowahi kukutana na aina hii ya wanawake ambao wenye vi tabia vya kiburi, dharau, kujisikia na majivuno either kutokana uzuli wao, kazi au anayoifanya n.k vinavyomfanya awe hivyo.
Hebu tupeane ni jinsi gani ya kudeal na aina hii ya wanawake ambao hutupa changamoto mpka mtu unatamani kukimbia nyumba umwachie kila Kitu au muachane tuu ili ubaki na amani.
Pumbaf!! huyo ni wewe deal na akili yako iliyo chakaa hiyo!! Mwanamke kulinga ni kawaida!! Aende wapi sasa?? acha ushamba hata akitaka mbebe! mpigie Magoti kiaina kwani utakufaaa?Najua humu wapo wanaJF waliowahi kukutana na aina hii ya wanawake ambao wenye vi tabia vya kiburi, dharau, kujisikia na majivuno either kutokana uzuli wao, kazi au anayoifanya n.k vinavyomfanya awe hivyo.
Hebu tupeane ni jinsi gani ya kudeal na aina hii ya wanawake ambao hutupa changamoto mpka mtu unatamani kukimbia nyumba umwachie kila Kitu au muachane tuu ili ubaki na amani.
Huwa iko hivyo yani🤩 unaempenda hakupendi ila usiemuwaza halali kwa mawazo juu yako!Pengine huyo huyo anaekufanyia kiburi, dharau, majivuno nk, kuna sehemu anapanyenyekea, very obidient na anaonekana best woman, jitafakari na utafute ambae anakuthamini
Mkuu, Nzi ndo inakuaje hio[emoji23]Kodisha wayahudi watano wamfire halafu wamrekodi, kidogo atakuwa na adabu, hivi unashindwa nini kumuacha kama hakueshimu? bro huyo takataka hakupendi, kama anakupenda kweli atakutii na kukusikiliza, wanawake huwa ni mavi mavi wakipenda asee, yaani hata ukimwambia umfire anakubali, hupendwi muache jikite kwenye mapunyeto, utaamua kutumia sabuni, mafuta au nzi kupigia puli
Kaa la moto ulishika utapata maumivu makali hadi utakapoliachia. Si kila vita vinafanikiwa kushinda kwa kupigana ila hata kunyoosha mikono ni sehemu ya ushindi pia.....Najua humu wapo wanaJF waliowahi kukutana na aina hii ya wanawake ambao wenye vi tabia vya kiburi, dharau, kujisikia na majivuno either kutokana uzuli wao, kazi au anayoifanya n.k vinavyomfanya awe hivyo.
Hebu tupeane ni jinsi gani ya kudeal na aina hii ya wanawake ambao hutupa changamoto mpka mtu unatamani kukimbia nyumba umwachie kila Kitu au muachane tuu ili ubaki na amani.
Kweli wanawake wapo wengi tena wazuri wanajua maana ya ndoaKaa la moto ulishika utapata maumivu makali hadi utakapoliachia. Si kila vita vinafanikiwa kushinda kwa kupigana ila hata kunyoosha mikono ni sehemu ya ushindi pia.....
Wanawake wapo wengi sana ni swala la kuzunguka tu mijini na vijijini utakutana nae m'moja ambaye hautatumia nguvu nyingi kumuelewesha unachotaka kwake. Atakupa.
So jikaze kijana achia ngazi pambana na uchumi huku unatafuta mwanamke mwingine.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huyo kabisaaa najisikia raha mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani napenda sana mtu akilalamika jua mi jeuri SIJUI naringa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamkomesha haswaaahYaani napenda sana mtu akilalamika jua mi jeuri SIJUI naringa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndyo ukweli wenyewe huu. [emoji23][emoji23]Namna ya kupambana na mwanamke mwenye dharau ni "kutafuta pesa mkuu"
Ukiona mke wako anakudharau tambua kwamba huna Pesa.
Hakuna mwanamke hapa duniani anaweza kumdharau mwanaume mwenye pesa.
Usipokuwa na pesa utaona kila rangi ndani ya nyumba.
Usije maindi ni mtizamo wangu ila una ukweli ndani yake.
Dad nawez kupat mawasioiano yako please 🙏Pengine huyo huyo anaekufanyia kiburi, dharau, majivuno nk, kuna sehemu anapanyenyekea, very obidient na anaonekana best woman, jitafakari na utafute ambae anakuthamini