Una uhakika hujatumia chochote? Maana si kwa akili hizi.Kila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili aisee dar ni another New York In Tanzania
Endelea kuishi kwenye hifadhi ya taifaUna uhakika hujatumia chochote? Maana si kwa akili hizi.
Manzese kwa Mtogole...Kila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili aisee dar ni another New York In Tanzania
Joto lipo kwako wewe Masikini dar hamna jotoHahaha......... kwahiyo hutaki nitunze Mila zetu Mkuu? By the way DSM ni joto ndiyo maana nimevaa Shuka 😜
😆😆😆😆 yaan wanaoishi dar na kufurahia maisha hawazidi 20% ila waliobaki wanaishi maisha ya mateso sn pata picha mtu anagombania usafiri mpk viatu vinakatika anarudi home kiatu kashika mkononi unaonekana ka mwehu yaan😁😁😀😀na hili joto kajisweka huko buza kachumba ka1 choo na bafu la kushea halafu usiku tanesco wanakata umeme anakua kakaa kama kwenye microwave ila anajiona kawin maisha
Akili Yako wewe ndio ndogo unadhani Kila mtu anaajiriwa kama wewe unavyochunga ng'ombe ndio maana umeanza kuuliza Hilo swali sababu wewe ni mtumwa unatumikia mtu
Ukiona umefikia hatua hiyo achana na maisha maana dar ni ya watu kama sisi wenye pesa😆😆😆😆 yaan wanaoishi dar na kufurahia maisha hawazidi 20% ila waliobaki wanaishi maisha ya mateso sn pata picha mtu anagombania usafiri mpk viatu vinakatika anarudi home kiatu kashika mkononi unaonekana ka mwehu yaan
Wewe huna la kuniambia hata profile Yako inakuonesha ni mlugaluga tu endelea kujifurahishaWewe Hapa hujui umeajiriwa JF Bila Malipo alafu hujui?
Watu àmbao hata kupanda Ndege kwenda nje ya nchi ndîo mnaona Dsm ya maana na kudharau wamikoani
Key board worrier in makingKila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa.
Yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana.
Ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili
Aisee dar ni another New York In Tanzania
Endelea kukaa kwenye hifadhi ya taifa mkuu naona unajifarijiSisi ambao tumeishi majiji mengi kama Nairobi,Kampala,Pretoria,Addis Ababa au kule Kigali tunaona Dar inanuka uchafu na haifai kabisa kisifiwa
Wewe huna la kuniambia hata profile Yako inakuonesha ni mlugaluga tu endelea kujifurahisha
maskini waliofungwa kifikra mijini huwa na hofu, mtazamo na maoni tatanishi sana hususani kipindi wanapoteswa na joto kali sana na kupitia ugumu wa maisha katika maeneo wanayoishi. hawa huwa ni maskini jeuri.Kila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili aisee dar ni another New York In Tanzania
Wanawaongoza masikini kama wewe maana huku dar Matajiri kama Mimi wanatupigia magoti Yani tunawatuma kokoteWalugaluga ndîo wanaowaongoza Hapo Dsm na Tz Kwa ujumla.
Nyie kaeni kutoboa pua, kuweka bleach na kusuka kama Dada zenu
Wanawaongoza masikini kama wewe maana huku dar Matajiri kama Mimi wanatupigia magoti yanai tunawatuma kokote
Dalilii ya watu wa mikoani ndio maana mkiingia dar mnakua mapunga
Wewe ni jobless au panya road,mtu mwenye maisha ya maana hana mda wa kuandika upuuzi kama huo,una uwezo mdogo sana kiakili na una msongo wa mawazoKila nikitafakari kwamba Kuna binadamu wanaishi Tanzania hii nje ya dar es salaam huwa nashindwa kuelewa.
Yaani mtu unawezaje kuishi porini aisee kweli ndio maana dar ni ya wajanja nyie wa mikoani ni washamba sana.
Ndio maana mademu zenu wakija huku wanarudi na mimba sababu ya ushamba wao ya kushobokea jiji la kifahari kama hili
Aisee dar ni another New York In Tanzania
Pole sana mkuuJamiiForum ya zamani na ya sasa ni vitu viwili tofauti kuna kila aina yA WATU HUMU palikuwa panaheshimika sana ila siku hizi ni changamoto