Hivi unawezaje kuishi nje ya Dar es Salaam

Yaani hiyo hew chafu na malaana ya uraibu wa kokein , ushoga na usagaji imekuharibu akali yakoo.

Maana huku mikoani huwezi pata hayo malaana ,so umeigeuza akili yako uone huku ni porini
 
Ukiona unaishi sehemu unasikia joto ujue wewe ni masikini Sasa dar hamna joto Kwa sisi Matajiri
 
Dalilii ya watu wa mikoani ndio maana mkiingia dar mnakua mapunga
Kwa kila kundi la vijana 10 wa dar mapapai/mapunga watatu mpaka wanne,mleta mada wewe ni papai
😁😁😀😀na hili joto kajisweka huko buza kachumba ka1 choo na bafu la kushea halafu usiku tanesco wanakata umeme anakua kakaa kama kwenye microwave ila anajiona kawin maisha

Dalilii ya watu wa mikoani ndio maana mkiingia dar mnakua mapunga
 
Kwa kila kundi la vijana 10 wa dar mapapai/mapunga watatu mpaka wanne,mleta mada wewe ni papai
Hao mapunga ni watu wa aina Yako mnaotoka huko porini mnaokurupukia mji wa starehe kama dar halafu hamna pesa lazima mgeuke kuanza kuuza nukta
 
Utamu wa bia inywee bar za pembeni.
Halafu tajiri hanywi bar za mjini. ✍🏾
 
tunakoelekea inaenda kupoteza mvuto pataanza kuwa kama facebook
 
Yaani hiyo hew chafu na malaana ya uraibu wa kokein , ushoga na usagaji imekuharibu akali yakoo.

Maana huku mikoani huwezi pata hayo malaana ,so umeigeuza akili yako uone huku ni porini
Mashoga waliopo dar wametokea mikoani wamekurupukia jiji Sasa wanauza nukta sababu hawana pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…