pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
mbona mi sikuhelewe hiyo balance unamaanisha nini kwani ngara bukoba kigoma sio sehemu ya tanzania? kuna ubaya gani mtu kutokufanya kazi ikulu kisa ametokea maeneo hayo.
Hujaelewa we mbulula soma hoja yake na utafakari kwanza kabla ya kuandika! tatizo unaonekana wewe ni MVIVU wa kufikiri!