Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
Sasa mbona mnatuchanganya mara tutafute hela mara tuwe na ndevu mara tuwe na gari😢😢😢😢 tushike lipi sasaMuwe mna vi prone basi...visichachamae sana vinatutisha mnakuwa kama Alshabaab au Boko Haram..
Hongera zenu mnaojua kuvisawazisha vizuri halafu vinywele viwe na texture ngumu hakika mnaupiga mwingi...
Ushimen shemeji wewe nakukodia trekta pale Kubota waje wazikate🤣🤣
View attachment 2748516
1.jikubaliDada, mm nna 29 age lkn kidevu kama cha mtoto hakina kitu kabisa
Looh hela ninayo ila kazi yangu inanibana kuwa na ndevu sasa mwingine kaniambia niwe na gari 🤣🤣🤣🤣🤣Tafuteni Hela,halafu mnyoe vizuri videvu vyenu🤣
hamnaga, labda kupandikiza na ni ghaliDaah nasikia Kuna booster za kuotesha ndevu.
[emoji23][emoji23] ebu fuga kwanza alafu ntakuelekeza.kazi gan maalum?... Au ndio ndevu huvuta sumu ya nge mwilini...?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa, kukwaruzana na nywelee siwezi.Hujampata fundi wewe
Swadaktaaa.mwanaume kufuga nywele ndefu na ndevu ni kukiaibisha kichwa... Kwa mwanamke kufuga nywele ni sifa mojawapo ya kuitwa mwanamke...
hiv wew umewahi kulinda ata cku 1...Swadaktaaa.
[emoji23]ngoja nifuge za kisasa ili kufkia kesho ziwe zimekua... Lakn baada ya somo nawafyeka wote...[emoji23][emoji23] ebu fuga kwanza alafu ntakuelekeza.
Kulinda nn?? [emoji23][emoji23][emoji23]hiv wew umewahi kulinda ata cku 1...
Zangu zipo vizuri sana, dadaz wengi huvutiwa nazo. Lakini nawapaga onyo[emoji23]Ndevu nyingine zipo zipo km brush la chachandu hazina ushirikiano kabisaa!! [emoji23]
Ndevu nyingine zipo km chachandu
JF Usiku wa manane... Na vinywaj vipo... Veep utajumuikaKulinda nn?? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huko siwagi mara kwa mara.JF Usiku wa manane... Na vinywaj vipo... Veep utajumuika
utakuja upige yowe siku wamezinyofoa bila ganzi...Zangu zipo vizuri sana, dadaz wengi huvutiwa nazo. Lakini nawapaga onyo[emoji23]