Hivi videvu vya siku hizi

Ndevu ndio urithi pekee mzee wangu kaniachia,mzee ana ndevu kama osama,.kwa wanawake wengine ndevu uchafu
Uchafu wa ndevu unakuja pale ukiwa na matunzo mabovu,,.Mirefuuuu,rangi haileweki,ukila chakula vipande vinadondokea shabashhhhh ...Binafsi napenda mkaka atunze ndevu zake akinyoa kidevu kupata sipendi kabisa
 
Hehehehehe vp kuhusu mustache na wenyewe tuuache kdg au tuzitoe juu ya lips pale me ninazo na ndevu kwa kweli me ni handsome ukitaka kuniona serious njoo pm nikupe jina langu la Facebook ila usije tu kunianika huku
We zitunze tu zitakufaa wewe na baby wako....hizi nilizonazo hapa zinanitosha kuziangalia
 
Kuna jirani yangu ni mfupi alafu hana ndevu mtoto wangu nimemnunulia mpira juzi kati niliona hana mtu wa kucheza Nae nikaenda kumgongea mlango yule jamaa mke wake akafungua mlango nikamwambia amuamshe mume wake aje acheze na mtoto wangu
 
Sijapenda Ina maana umeshindwa kuvumilia mpaka asubuhi ndo ukaandika Uzi.. wewe Sasa saa saba usiku kama mchawi vile and you call yourself a wife material!!! How..? When...? And why...?
Posa niliyokuwa nataka kuleta naanza kusita!
 

Naona unataka wanaume wote wawe wako mpaka unakuja kutupigia kelele wakati wake zetu hawataki unayotaka wewe, we ongea na wakwako, usitusumbue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…