Hivi videvu vya siku hizi

Hivi videvu vya siku hizi

Uchafu wa ndevu unakuja pale ukiwa na matunzo mabovu,,.Mirefuuuu,rangi haileweki,ukila chakula vipande vinadondokea shabashhhhh ...Binafsi napenda mkaka atunze ndevu zake akinyoa kidevu kupata sipendi kabisa
[emoji51][emoji51] si mlisema ndevu nyingi ni uchafu leo mnadiitati tena na six + hela pia ukiwa ndevu hela lazima [emoji3061]🦄
 
Muwe mna vi prone basi...visichachamae sana vinatutisha mnakuwa kama Alshabaab au Boko Haram..

Hongera zenu mnaojua kuvisawazisha vizuri halafu vinywele viwe na texture ngumu hakika mnaupiga mwingi...

Ushimen shemeji wewe nakukodia trekta pale Kubota waje wazikate🤣🤣

View attachment 2748516
Huyu bwana ake nani!!! Anpandisha midadi.....mwambieni bwana
 
Back
Top Bottom