Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji51][emoji51] si mlisema ndevu nyingi ni uchafu leo mnadiitati tena na six + hela pia ukiwa ndevu hela lazima [emoji3061]š¦„Uchafu wa ndevu unakuja pale ukiwa na matunzo mabovu,,.Mirefuuuu,rangi haileweki,ukila chakula vipande vinadondokea shabashhhhh ...Binafsi napenda mkaka atunze ndevu zake akinyoa kidevu kupata sipendi kabisa
Dah Watu ni wajinga wallah š¤£š¤£š¤£š¤£Kuna jirani yangu ni mfupi alafu hana ndevu mtoto wangu nimemnunulia mpira juzi kati niliona hana mtu wa kucheza Nae nikaenda kumgongea mlango yule jamaa mke wake akafungua mlango nikamwambia amuamshe mume wake aje acheze na mtoto wangu
Hutu tumcgezo twenu tutakuja kuwatoa roho sikumoja!..Wife material nilikuwa nawaza REJESHO usingizi Sinaš
imani za kitapel hzo... Aliekwambia ni tapel shtuka kbsa yaan chomoka kama risas kabla hujavunwaWanaume wenye ndevu za hivyo wengi wao hawana hela but they are so good in bed hasa kwenye ku go down there.
Kaangalieni tamthilia ya hubana sisi wenye babyface tufanyeješ
Sijaambiwa nimeshuhudia kwa macho yangu. Kama wewe una videvu vya design hiyo na una pesa basi upo kwenye list ya wachache.imani za kitapel hzo... Aliekwambia ni tapel shtuka kbsa yaan chomoka kama risas kabla hujavunwa
Huyu bwana ake nani!!! Anpandisha midadi.....mwambieni bwanaMuwe mna vi prone basi...visichachamae sana vinatutisha mnakuwa kama Alshabaab au Boko Haram..
Hongera zenu mnaojua kuvisawazisha vizuri halafu vinywele viwe na texture ngumu hakika mnaupiga mwingi...
Ushimen shemeji wewe nakukodia trekta pale Kubota waje wazikateš¤£š¤£
View attachment 2748516
Bwana ake nani?Huyu bwana ake nani!!! Anpandisha midadi.....mwambieni bwana
Tumtajie jina la booster au tumuacheš¤£Anza na muonekano wa nje basi,,kwani vimegoma kuotašš?
We fatilia utakuja kuniambia šKama Kweli hiviš¤š„²š„²š„²š„²