Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa wakike sawa😂Kuna booster inauzwa mnunulie🤣
[emoji1787] sawa mkuu, wanasema never say neverMkuu,
Nitakutumia picha ya uchebe wangu, jinsi nilivyoupruni, hakika utabadilli mtazamo wako. Na hivi unaanza kuota mvi ndio unazidi kunoga[emoji1787]
Kwann afanye hivyo ni sawa na mtu ana hela nyingi alafu agawe zote aanze upya huo ni umama soon anapoteza pambanoHuyo huwa na ndevu nyingi hapo kaviproone tu.
Soon namfikia comred Mbowe.
Legendary 🤣🤣🤣Yaani hizo zenye vimvi ndio hatari,,,unatamani uwe tu unamuangalia bby wako😁😁
Muogope Mungu wewe kijanana sisi wenye babyface tufanyeje😆
Mjini mambo ni mengi na hakuna anayetaka kubakia nyuma 😂😂😂Huyu Mzee wa mjini huyu,,,haiwezekani kidevu cheupe peee, kichwa cheusi tiii Kuna namna hapa😥😥😥
Hahahahaaa!!!!!Soon namfikia comred Mbowe.