Hivi vigari vidogo vidogo vichafu vichafu vya zamani kama hasa IST na VITZ madereva vijana hawa wanafanya fujo sana barabarani

Kuna mambo mengine ukiwa km mwanaume unajidhalilisha kuja navyo kwa wanaume wenzio, hivi unaanzaje kukosoa size ya dick ya wanaume wenzio kisa chapisho je wewe umeprove hilo sometimes kias cha kuja kukomaza fuvu hapa ficha funza zako kichwani.


Hizo ni research za wanasayansi au wana saikolojia wewe, hazifanywi kwa lengo la kumdhalilisha au kukosoa maumbile ya mtu. Ni vitu vya kawaida katika ulimwengu wa watu waliosoma. Ungefika level ya angalau masters degree ungeelewa. Kuniambia kama mimi nime-prove hilo ni kuonyesha upeo mdogo wa elimu yako.

Kwa hiyo hawakuandika kwa kukudhalilisha mkuu. Usihofu, your size does not matter.
 
Kwahiyo nawewe unakuja nalo hapa utuminishe hivyo yan bora ungeongea kuhus hizo fujo za hao baadhi ya wanaomiliki hizo starlet au aliteza true tunaona barabarani fujo zao lakin umeenda deep et wanaomiliki v8 wanavibamia mkuu kuna vitu vinafikirisha ukiongea mtoto wa kiume mbele ya hadhara kisa research how did you prove it ww km ww
 
Sasa wewe mzee gani maneno kabao kuliko hata shangazi zako?
 
Maongezi hayana mipaka mtaenda wapi ndio maana hilo haliko kwenye thread. Kuna watu humu wameanza kuongea kulipana ili kufaana. Sasa mbona hili limekuvuta sana? Nadhani wewe unacho kimoja mbona umegusika sana? Nimesema isikutie hofu, tafuta namna nzuri ya kukipika, chachando, nazi, pilipili kidogo, binzari ya Kongo, na utaona utamu wake!
 
Ambavyo hujataja Passo na Starlet hata sijakuelewa!
 
"Shubaaamiti"
 
Experience unayo wewe mzee
Wewe ndio uliyesema ukifika umri fulani ukiwa utakuwa hivi kwa sababu hii. Sasa bilapersonal experience ungejuaje? Na mimi kwa taarifa yako siko huko nasema sana kwa sababu ni mwalimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…