Hivi Vijana wa CHADEMA Wanatumia kitu gani kinachoharibu uwezo wao wa kufikiri na kujenga hoja? Mbona hawana adabu wala hekima?

Mradi wangu upo katika nguvu za mikono yangu kulishika jembe kwenda shambani kulima
Unadhani kuandamana ni zoezi la siku moja? Subiri utaona nini kitaendelea. Na uhakikishe miradi yako ya wizi imekamilika, maana ikifika wakati huo na bado miradi yako haijakamilika, ndio utajua nini maana ya kuheshimu uchaguzi.
 
kwanza tuanzie hapa unao ushaidi wa video wa ao vijana wakitoa matusi

na una uhakika au ushaidi gani km ao vijana ni wa chadema
 
kwanza tuanzie hapa unao ushaidi wa video wa ao vijana wakitoa matusi

na una uhakika au ushaidi gani km ao vijana ni wa chadema
Nenda hata kwenye kurasa za mdude ukaangalie matusi anayoandika kule, kaangalie na kupitia kurasa za viongozi wa Bavicha wanachoandika katika kurasa zao za mitandao
 
Mpaka hapa hujaeleweka unauliza nini uko too general hata haijulikani unachotaka kusaidiwa
 
Sikushangaa plkuona post kama hii kutoka kwako.

Nilipoana nikasema kumbe ni wewe oiiii
 
Nimeandika hapa ili mpate kusaidiwa kupitia mawazo ya watu japo sijuwi Kama mnaweza kubadilika kwa hatua mliyofikia kwa Sasa ya kuporomosha matusi utazani gari lililokata breki
Nitajie kwenye CCM Nani anamaneno ya kiongozi
 
Kwanini vijana wa chadema hawawezi wakajenga hoja bila kutumia lugha ya matusi na kudhalilisha katika kuwasilishwa mawazo yao?
Mpaka hapa hujaeleweka unauliza nini uko too general hata haijulikani unachotaka kusaidiwa
 
Lakini bora wao kuliko wewe
Na ukitaka kuamini soma ulichoandika kama siyo wewe umeandika
 
Hakuna ubora kwa mtu anayetukana matusi kwa mtu anayetofautiana Naye mtizamo
ni sahihi pila ila huenda ikawa iyo siyo sababu pekee ya wao kujibu kwa mtindo huo
jinsi unavyowachukulia wao ndivyo wanavyokuchukulia pia
 
Ustaraabu wa kidemokrasia Ni kuwa hoja hujibiwa kwa hoja na ndio utamaduni ulio Bora na unaokubalika mahali popote pale
ni sahihi pila ila huenda ikawa iyo siyo sababu pekee ya wao kujibu kwa mtindo huo
jinsi unavyowachukulia wao ndivyo wanavyokuchukulia pia
 
Lucas jina lako tumechukua nipe na namba yako ya simu nawe nikuweke kwenye listi ya chawa kuelekea 2025.
Tunakupatia 5M kila mwezi,1M kila mwezi ya mawasiliano,pedi za mkeo zenye thamani ya laki moja kila mwezi,nyumba ya kuishi "Obey"
Hongera sana kwa kuandika "gazeti"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…